Dkt. Dorothy Gwajima ana kitu atafika mbali

sure kipindi kile labda sababu ya ugeni kiukweli alikuwa kama mtu wa hovyo kumbe yupo smart. nadhani shida ilikuwa yule msaidizi wake yule alikuwa kiazi sana pengine ndo alikuwa ana mpollute huyu aunt. kwa sasa gwajima anafanya kazi kwa weledi bila mihemko kabisa
 
Ungekuwa wewe ungefanya tofauti? Ukiwa unakula na kipofu usimshike mkono wewe kula naye tu.
 
Sijui kama kuna waziri smart kushinda huyu mama...yeye na silaa ndo naona wanaupiga mwngi the rest ni kusifia ujinga kila sikuu. Hwatimizi wajibu kujipendekeza kwa Rais na kumchosha tu mama wa watu
 
Naona unataka kuwa chawa wa daktari, pambana mkuu hii dunia sio sehemu salama kwa watu wavivu
 
Anaweza kufika mbali lakini mfumo ukamzuiya, ni kiongozi mzuri sana tokea akiwa mtendaji wizara ya afya na hata udaktari wake sina wasiwasi kabisa kwamba alikua mtabibu mzuri.
ila tumpunguzie sifa maana anaweza kujikuta pabaya kwa vile sifa zote njema na nzuri ni kwa mmoja tu.

waziri najua utaupitia uzi huu, toka ndani ya moyo wangu nakupongeza na kukutakia heri zote njema na mungu akuwezeshe iwe rahisi kazi yako na uzidi kupata kibali mbele ya wakuu ili kilichowekwa na Mungu ndani yako kiwe faida kwa wote.
 
Alikua anakera sana yani jins alivokua akifanya kazi mim adi leo simuelew kabisa sabu nahis akija rais kama jiwe atakua kama vile tena
 
Wewe mwenyewe ni chizi tayari
 
Naona Gwajima ameanza kampeini mapema sana
 
Naona unataka kuwa chawa wa daktari, pambana mkuu hii dunia sio sehemu salama kwa watu wavivu

Kuna level sisi watu wa aina yangu tumevuka zamani sana. Nyie vilaza na maskini wa fikra ndo mnaweza fikiria. Ukisoma nyuzi zangu utagundua ni mtu independent najitegemea kifikra, kiuchumi na kiimani. Sina rafiki wala adui wa kudumu. Nina maslahi ya Tanzania ya kidumu tu.

Na bahati mbaya au nzuri hata Dkt Gwajima sifahamiani naye na hatujawahi kutana. So ukifikiria hivyo ni haki yako ya kimsingi wala hupaswi kupotezwa. Nakupongeza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…