Jane mzembe tu, anajificha mnoo,Huyo Jane huenda kakosa teuzi,
😀😀
Kwani yuko kwenye ligi mkuu?Huyo Jane huenda kakosa teuzi,
😀😀
Wapenzi wa JPM hatupo kama nyie, tukiona ovu tunasema wazi kama alivyofanya muungwana Jane Lowassa hata Na mama D ni muungwana.Hata wewe Janee? My God!!!!
Sawa mpenzi.Wapenzi wa JPM hatupo kama nyie, tukiona ovu tunasema wazi kama alivyofanya muungwana Jane Lowassa hata Na mama D ni muungwana.
Hapa kwa Got Homis nakukatalia.huu mtandao wa wizi ,ni mbovu sana.mimi ninao kazini lakini imenilazimu kuuachaHapana wewe ndiye una upungufu wa uelewa. Pamoja na mapungufu yaliyopo ya eekta ya afya, ila kulikuwa na wizi sana na mlizooea kuiba mno na kutoa huduma mbovu bila kujua wajibu wenu. Acha awanyooshe kabisa mlijijaza uzembe. Kikubwa mfano wa kuacha kutumia GOT HOMIS sekta ya afya inaibiwa mno. Pia waziri huyu anayo dhamira ya kazi toka moyoni mwake. Labda lile tukio la mkunga ndiyo linahitaji busara juu yake.
Una hakika hii account yako hawaja hack!!??Ukimfuatilia vizuri wala hata hakuna anayemnyoosha hadi sasa. Yeye ni full kubwabwaja tu. Yaani hata haeleweki kama kweli yupo serious au labda anafanyia mzaha hiyo kazi. Huyu waziri utendaji wake haueleweki kabisa.