WAIKORU
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 1,586
- 2,454
Itafte clip usikilize then utajua yeye(dr.gwajima? Ndo lisema hivo.Kwani Dr Dorothy ndo kasema maneno hayo? Aliyesema hayo maneno ni mchangiaji Kama wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itafte clip usikilize then utajua yeye(dr.gwajima? Ndo lisema hivo.Kwani Dr Dorothy ndo kasema maneno hayo? Aliyesema hayo maneno ni mchangiaji Kama wewe.
AMEEEN kwa herufi kubwa.Kama ilivyo desturi
Kila darasa kuna mtu mmoja mwenye vituko hivyo hivyo kwa familia....kijiji...ukoo...
Hata vikundi vya hisa.
Na kila awamu kuna waziri mmoja atakuwa na show off sana.
Ila naona awamu hii imetokea kwenye uhai wa mtu.
Mungu awape nguvu madaktari wasitekeleze kwa lengo la kumkomoa
Wewe unaona Wizara ya Afya inahtaji Field Marshal??watanzania mmejaaliwa kwa kupigana majungu na fitina,
mkimuona kiongozi yuko makini na anabana ubadhirifu basi njia pekee ya kumchafua ni kuanzisha majungu na fitina.
nashauri viongozi wa juu kamwe wasisikilize na kufuata majungu na fitina maaana tabia hii imeshamiri sana.....isiachwe ipigwe vita. utafiti unaonyesha viongozi weledi huwa wana undiwa zegwe/jungu na kikundi cha watu wachache, Majungu na fitina ni mbinu pekee ya kuwaondoa viongozi wazuri na weledi, kamwe mamlaka za uteuzi msikubali kuendeshwa au kusikiliza majungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hii serikali inapeleka kiasi gani hadi ziibiwe na nyingine zibaki?Pigeni kazi acheni majungu, watu wa afya asilimia kubwa hasa hizi hospitali za serikali ovyo kweli, wameishia kuendekeza wizi wa dawa kuwaibia wagonjwa huku wagonjwa wakijifia kama kuku wa kideli mawodini mfano Hospitali ya mwananyamala na Amana.
Chief samahani, kuna sehemu kwenye wasifu wake kumeonensha yeye ana PhD? Au ni MPH?Atanii anaposema yeye ni field Marshall kwenye hiyo wizara ni hivi:
Yeye ni M.D by trade na ame practice hiyo kazi at delivery level
Amekuwa DMO na RMO anajua how government policies ought to be implement and supervised
Amefanya kazi wizarani kama mkurugenzi wa afya responsible kutunga policies za afya
Amekuwa katibu mkuu TAMISEMI upande wa afya responsible for supervision on health outcome and quality of delivery
Na sasa ni waziri, ni M.D. na ana PHD ya health management usifanye mchezo; you can’t get a qualified person to run that ministry than her.
Dr Gwajima anaijua hiyo wizara, na wewe mleta mada ni kiazi isiojua lolote, anachofanya ni trouble shooting how things ought to work tatizo mmezoea upuuzi kwenye hiyo wizara.
Kwanini usikae kimya tuu unapoona mtu anafanya mambo ya kitaaluma kwenye sector ambayo uelewi usimamizi wake.
Dr Gwajima ni field Marshall kweli, uwezi wewe kujifananisha nae wewe ata chembe ni mpuuzi tu.
Other than being a qualified M.D ana PhD pia ya Health Management unajua wanasomea mambo gani?Chief samahani, kuna sehemu kwenye wasifu wake kumeonensha yeye ana PhD? Au ni MPH?
Ni ngumu kuielewa sekta ya Afya. Ni kweli kuna matatizo ya watumishi, lakini kuna matatizo makubwa zaidi ya kimfumo na kiutawala hususani kwenye miundombinu ya vifaa tiba na dawa.Kwanini hospital iwaambie watu paracetamol zimeisha wakati wanazo; si ndio ujinga wanataka watu waende kwenye pharmacy zao wakawalangue.
Halafu unakuta jitu linamuona waziri anatafuta sifa wakati kuna mijitu huko kwenye vituo vya afya aina maadili ya kazi.
Ndio maana nikauliza,una uhakika ana PhD au MPH?! Maana kwenye wasifu wake wa Tamisemi haioneshi kama ana PhDOther than being a qualified M.D ana PhD pia ya Health Management unajua wanasomea mambo gani?
So far Dr Gwajima amekuwa akionyesha mostly inappropriate operation methods which provides a window for embezzlement na unethical medical practices.Ni ngumu kuielewa sekta ya Afya. Ni kweli kuna matatizo ya watumishi, lakini kuna matatizo makubwa zaidi ya kimfumo na kiutawala hususani kwenye miundombinu ya vifaa tiba na dawa.
Tuliza akili,halafu jaribu kung’amua hayo kwenye pande zote mbili. Trust me,akiongea kiongozi utaona 100% watumishi wana matatizo lakini pia hao watumishi wakipewa nafasi ya kuzungumza utagundua pia upande wa pili una matatizo makubwa sana.
It doesn’t matter masters or doctorate ndio yale yale muhimu anaijua hiyo sector. Besides sio tu kasomea public health amefanyia kazi hiyo knowledge that counts the most work experience ni muhimu kushinda PhD without work experience.Ndio maana nikauliza,una uhakika ana PhD au MPH?! Maana kwenye wasifu wake wa Tamisemi haioneshi kama ana PhD
Unapata wapi ujasiri wa kumkosoa na kumnanga mwanaccm mwenzako!! Maana yake unampinga Mwenyekiti wako wa chama aliyemteua?Ukimfuatilia vizuri wala hata hakuna anayemnyoosha hadi sasa. Yeye ni full kubwabwaja tu. Yaani hata haeleweki kama kweli yupo serious au labda anafanyia mzaha hiyo kazi. Huyu waziri utendaji wake haueleweki kabisa.
So tumekubaliana hana PhD ila ana MPH na experience ya kutosha. Mengine nimekuelewa.It doesn’t masters or doctorate ndio yale yale muhimu anaijua hiyo sector. Besides sio tu kasomea public health amefanyia kazi hiyo knowledge that counts the most work experience kushinda mtu mwenye PhD without work experience.
Hii post akiina Magu lazima akumbushie ile kauli yake ya 'nikamteua waziri kichaa kama mimi'!Tahadhima kwenu wajumbe wa bodi huru!
KWA muda sasa nimekuwa nikimfuatilia kwa karibu Waziri huyu toka alipoteuliwa na Rais Magufuli kuwa Waziri wa Afya. Namzungumzia Dk. Dorothy Gwajima.
Kila ofisi zilizochini yake anapoingia huwadhalilisha sana madaktari wenzake. Dk. Gwajima anamtazama kila mtu kuwa ni mwizi na kujitapa kuwa hakuna anayejua kila kitu katika wizara hiyo kama yeye.
"Hivi mnajua mimi ni Field Marshal wa sekta ya afya?" anawafokea madaktari Bingwa zaidi yake na kuongeza, "kama ningekuwa Mwanasheria mngenidanganya sana" kuonesha kuwa mtangulizi wake Mwanasheria, Ummy Mwalimu alikuwa akidanganywa sana. Huku ni kumdharau Waziri mwenzie aliyeaminiwa na Rais Magufuli.
Lakini hata "body language" ya mama huyu inaonesha kuhemka mno kiasi Cha kufanana na kina mama "ndala ndefu" wa huko Tandale wanaochambana bombani huku ameshika kiuno.
Cha ajabu, kama alivyowahi kufanya Dk. Hamisi Kigwangala "mzee wa kukurupuka" naye kila anapotaka kuwadhalilisha wahudumu wa sekta hiyo ni lazima awe mbele ya kamera ili aonekane. Huyu mama ameenda mbali kiasi Cha kutorokwa hata na haiba na staha ya mwanamke wa Kitanzania mbele ya wanaume.
"Field Marshal" ni cheo Cha juu na Cha mwisho jeshini. Hivi, Dk. Gwajima anadhani ni Bingwa wa afya kuliko maprofesa wote wa tiba nchini? Kwani kuongoza ni lazima kudhalilisha wenzako hadharani?
Wakati yule "mkata viuno" aliyetembea na Ilani ya CCM akijiita "ninja" huyu kaja na skafu ya bendera akijiita "Field Marshal". Mwendo uleule wa kukurupuka na kujipendekeza.
My Take: Napendekeza madaktari wafuatilie faili lake la matibabu anakotibiwa kuona anasumbuliwa na ugonjwa gani? Yapo baadhi ya magonjwa ambayo humfanya mtu ku-react ukichaa kama mama huyu.
Lakini pia wadadisi wachunguze mahusiano yake ya ndoa. Je, ana familia au ni mtalikiwa? Maana mahusiano ya ndoa na familia yakiwa salama pia huleta utulivu katika uongozi wenye staha, hekima, busara na maarifa. Huwezi kukufanya kuwa wizara hiyo imeoza kiasi kwamba waliopita kabla yake hawakufanya chochote. By the way, si tunaambiwa utawala wa Magufuli umeondoa ufisadi na uzembe kazini?
Nawasilisha.
Ndio matatizo ya wasukuma na ushamba wao.Tahadhima kwenu wajumbe wa bodi huru!
KWA muda sasa nimekuwa nikimfuatilia kwa karibu Waziri huyu toka alipoteuliwa na Rais Magufuli kuwa Waziri wa Afya. Namzungumzia Dk. Dorothy Gwajima.
Kila ofisi zilizochini yake anapoingia huwadhalilisha sana madaktari wenzake. Dk. Gwajima anamtazama kila mtu kuwa ni mwizi na kujitapa kuwa hakuna anayejua kila kitu katika wizara hiyo kama yeye.
"Hivi mnajua mimi ni Field Marshal wa sekta ya afya?" anawafokea madaktari Bingwa zaidi yake na kuongeza, "kama ningekuwa Mwanasheria mngenidanganya sana" kuonesha kuwa mtangulizi wake Mwanasheria, Ummy Mwalimu alikuwa akidanganywa sana. Huku ni kumdharau Waziri mwenzie aliyeaminiwa na Rais Magufuli.
Lakini hata "body language" ya mama huyu inaonesha kuhemka mno kiasi Cha kufanana na kina mama "ndala ndefu" wa huko Tandale wanaochambana bombani huku ameshika kiuno.
Cha ajabu, kama alivyowahi kufanya Dk. Hamisi Kigwangala "mzee wa kukurupuka" naye kila anapotaka kuwadhalilisha wahudumu wa sekta hiyo ni lazima awe mbele ya kamera ili aonekane. Huyu mama ameenda mbali kiasi Cha kutorokwa hata na haiba na staha ya mwanamke wa Kitanzania mbele ya wanaume.
"Field Marshal" ni cheo Cha juu na Cha mwisho jeshini. Hivi, Dk. Gwajima anadhani ni Bingwa wa afya kuliko maprofesa wote wa tiba nchini? Kwani kuongoza ni lazima kudhalilisha wenzako hadharani?
Wakati yule "mkata viuno" aliyetembea na Ilani ya CCM akijiita "ninja" huyu kaja na skafu ya bendera akijiita "Field Marshal". Mwendo uleule wa kukurupuka na kujipendekeza.
My Take: Napendekeza madaktari wafuatilie faili lake la matibabu anakotibiwa kuona anasumbuliwa na ugonjwa gani? Yapo baadhi ya magonjwa ambayo humfanya mtu ku-react ukichaa kama mama huyu.
Lakini pia wadadisi wachunguze mahusiano yake ya ndoa. Je, ana familia au ni mtalikiwa? Maana mahusiano ya ndoa na familia yakiwa salama pia huleta utulivu katika uongozi wenye staha, hekima, busara na maarifa. Huwezi kukufanya kuwa wizara hiyo imeoza kiasi kwamba waliopita kabla yake hawakufanya chochote. By the way, si tunaambiwa utawala wa Magufuli umeondoa ufisadi na uzembe kazini?
Nawasilisha.
Wewe jamaa wafamasia wamegugegedea mkeo au?..Acha mnyoooshwe ninyi madokta na wafamasia mliozoea kuiba iba dawa zetu. usikute wewe ni mfamasia unataka tukuonee huruma hapa. Ndugu waziri fanya kazi yako