Dkt. Dorothy Gwajima ndiye waziri anayekubalika kwasasa nchini Tanzania

Dkt. Dorothy Gwajima ndiye waziri anayekubalika kwasasa nchini Tanzania

UMUGHAKA

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2021
Posts
2,753
Reaction score
12,932
20240820_182513.jpg


Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!


Kwanza kabisa nipende kukiri hadharani ya kwamba,Binafsi huyu ndiye waziri ninaye mkubali Kwa Sasa nchi Tanzania.

Huyu waziri anazosifa kadhaa ambazo zinamfanya aendelee kukubalika Kwa Watanzania kibwena.

SIFA ZINAZOMFANYA KUPENDWA NA WATANZANIA WALIO WENGI
1. Ni mzuri wa Sura na Umbo (Uzuri wake unaendana na Roho yake nzuri)

2. Siyo mtu wa kujikweza

3. Siyo mtu wa dharau kama walivyo mawaziri wengine

4. Mpenda haki

5. Siyo mtu wa hasira za Kijinga

6. Anapenda kusikiliza kila mtu (Ukipitia kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii unakuta anajibu komenti za wananchi Kwa upole na nidhamu ya hali ya juuu,hata kama ukiwa umekwazika utashusha hasira zako)

7. Anachukia sana uovu na Uonevu

8. Ni mtu ambaye madaraka hayajamfanya akengeuke kama mawaziri vishoka wengine!

9. Siyo mtu wa kuongea ongea sana Bali ni mtendaji sana kitu amabacho kinafanya kazi zake ziongee sana kuliko Mdomo wake kama walivyo mawaziri wengine wapiga zomari

Yaani kiukweli nikiamua kuziweka hapa Sifa zake ni nyingi mno,itoshe kusema hapa Rais Samia alitutendea haki watanzania.

Ningekuwa Rais Samia au Mshauri wake,nadhani huyu angetufaa Kuwa WAZIRI WA MAMBO YA NDANI

Nadhani pia ukarimu wake na hofu ni matokea Bora ya kumuabudu Mungu,huyu mama anamuabudu Mungu katika roho na kweli,siyo kama waigizaji wengine walioko kwenye Baraza la mawaziri.

Hongera sana Mh Dkt. Gwajima D
 
MIMI hapa

UMUGHAKA ongezana hii ndio Waziri pekee mwenye uthubutu wa kutoa personal number (Namba yake binafsi) likitokea lolote unamcheck anaweka mambo sawa yeye km yeye, wengine waige basi eeh waachia Namba tukiwa na masuala yametukaba direct kwa Waziri
Huyu Bi Mkubwa kiukweli anawatendea haki watanzania,Binafsi ndiye alifaa Kuwa Rais wa hii nchi!
 
Nadhani pia ukarimu wake na hofu ni matokea Bora ya kumuabudu Mungu,huyu mama anamuabudu Mungu katika roho na kweli,siyo kama waigizaji wengine walioko kwenye Baraza la mawaziri.
Kuweni makini, shemeji yake kule Kawe annasema uinjilishaji ni kazi yake
 
Back
Top Bottom