Dkt. Dorothy Gwajima ndiye waziri anayekubalika kwasasa nchini Tanzania

Huyu Bi Mkubwa kiukweli anawatendea haki watanzania,Binafsi ndiye alifaa Kuwa Rais wa hii nchi!
Na hii ndo ilikuwa point yako 😂

Urais ni ahadi toka kwa mungu muumba Kaka... Akishapanga itakuwa tu! Utumie nguvu na usitumie, itakuwa tu!

Ni kweli Mama Dkt. Gwajima D anafanya vyema ingawa bin-Adam hatuishiwi na ya kusema, ila kwa kumpamba sana mpaka kumpa hadhi ya juu kuzidi aliyeko kwenye kiti ni ukosefu wa adabu na chuki binafsi.

Wanawake saiv ni game changers! Kongole kwao, ila pia baadhi yetu/yenu tunatumia/mnatumia nguvu nyingi sana kuwapa sifa na hadhi hadi wasizostahili na kuwa-disvalue wanaume.

HIYO SIO SAWA!
 
Kisa upepo wa waliotumwa na Afande au Kuna jingine? 😁😁
 
tumtafutie Jimbo la kugombea 2025 ili awe mbunge kamili sasa aendeelee na nafasi yake. Tumpe Jimbo la kaka yake pale kawe
 
Dalali wa mbuga atampiga chini sasa hivi.

Mapambio anataka yawe yake tu.
Mkuu una kiona mbali.

Maana tukifurahishwa na teuzi flani na tukapaza sauti kuunga mkono kuwa 'hili sasa ni jembe', muda huo huo utenguzi unafuata ama kubadilishiwa Wizara!

Ref to: 'Uenezi' wa Makonda, Uwaziri wa aridhi wa Slaa, Uwaziri wa nishati wa Kalemani na baadhi yao ambao sijawakumbuka!

Kumbe inatakiwa sifa na utukufu zimwendee yeye pekee?
 
Hakika Ni wazir ambaye ameamua kuwa karbu zaid na raia. big up Dr Gwajima
Na ndio inapaswa kiongozi kuwa karibu na watu wake, ukaribunna raia ndo utajua Nini wanachi wanataka sio kiongozi unataka... Citizen voice is national voice cause are ones with needs not leaders 😊
 
Naunga mkono hoja anastahili sijui kwann walimuondoa afya kule Kuna upuuzi mwingi sana unafanyika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…