Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Nina page 32 tu za mwanzo. Nakiomba mkuu kama unacho chote. Nirushie PM kama unaona kukiweka hapa siyo poa. Asante!Aliandika pia kitabu cha SIRI YA NGONO TAMU nina softcopy yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina page 32 tu za mwanzo. Nakiomba mkuu kama unacho chote. Nirushie PM kama unaona kukiweka hapa siyo poa. Asante!Aliandika pia kitabu cha SIRI YA NGONO TAMU nina softcopy yake
Ndiyo nimemaliza kukisoma. Hajafikia level ya Prof. Kezilahabi kifalsafa na hata kiuandishi lakini yuko mbioni. Ni tamthiliya inayopaswa kusomwa kwa uangalifu na ni wazi inapiga nyundo sana sawa tu na Kaptula la Marx ya Kezilahabi. Kizibo sijui anaweza kumwakilisha Nyerere au Magufuli; na Madalena nadhani ni Mama. Falsafa ya tapo la Existentialism inachomoza hapa na pale - maisha yanachekwa pamoja na wayaishiyo. Hata urafiki uliopo baina ya Shetani na Mungu unasailiwa pamoja na michezo mingine ya maisha. Ni kitabu kizuri sana japo hakitakaa kisomwe mashuleni!Nimekipata
Bado bossMkuu ushakipata kitabu?
Nakiomba tafadhaliAliandika pia kitabu cha SIRI YA NGONO TAMU nina softcopy yake
Kwamba vimepata "Menstrual Cramps" daah noma sanaNdiyo nimemaliza kukisoma. Hajafikia level ya Prof. Kezilahabi kifalsafa na hata kiuandishi lakini yuko mbioni. Ni tanthiliya inayopaswa kusomwa kwa uangalifu na ni wazi inapiga nyundo sana sawa tu na Kaptula la Marx ya Kezilahabi. Kizibo sijui anaweza kumwakilisha Nyerere au Magufuli; na Madalena nadhani ni Mama. Falsafa ya tapo la Existentialism inachomoza hapa na pale - maisha yanachekwa pamoja na wayaishiyo. Hata urafiki uliopo baina ya Shetani na Mungu unasailiwa pamoja na michezo mingine ya maisha. Ni kitabu kizuri sana japo hakitakaa kisomwe mashuleni!View attachment 2965171View attachment 2965172View attachment 2965173View attachment 2965174View attachment 2965175View attachment 2965176View attachment 2965177View attachment 2965178
kaka, kama una kitabu kingine Cha mwandishi huyu Dkt.Dyaboli Mojo naomba aisee,Nimekipata
kaka, kama unakitabu chake kingine cha Dkt.Dyaboli unaweza share na sisi. Asante.Ndiyo nimemaliza kukisoma. Hajafikia level ya Prof. Kezilahabi kifalsafa na hata kiuandishi lakini yuko mbioni. Ni tanthiliya inayopaswa kusomwa kwa uangalifu na ni wazi inapiga nyundo sana sawa tu na Kaptula la Marx ya Kezilahabi. Kizibo sijui anaweza kumwakilisha Nyerere au Magufuli; na Madalena nadhani ni Mama. Falsafa ya tapo la Existentialism inachomoza hapa na pale - maisha yanachekwa pamoja na wayaishiyo. Hata urafiki uliopo baina ya Shetani na Mungu unasailiwa pamoja na michezo mingine ya maisha. Ni kitabu kizuri sana japo hakitakaa kisomwe mashuleni!View attachment 2965171View attachment 2965172View attachment 2965173View attachment 2965174View attachment 2965175View attachment 2965176View attachment 2965177View attachment 2965178