Mwenye kujua Mheshimiwa aliwezaje kupenya mpaka kupata nafasi kubwa vile kwenye Chama?
Pia, mwenye kujua elimu yake (ya juu kabisa), uzoefu kwenye Chama na kimataifa. Ukilinganisha na Dr. Balozi Comrade Mheshimiwa Emmanuel Nchimbi (PhD).. Asanteni.
Pia, mwenye kujua elimu yake (ya juu kabisa), uzoefu kwenye Chama na kimataifa. Ukilinganisha na Dr. Balozi Comrade Mheshimiwa Emmanuel Nchimbi (PhD).. Asanteni.