Pre GE2025 Dkt. Emmanuel Nchimbi ateuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM kumrithi Daniel Chongolo

Pre GE2025 Dkt. Emmanuel Nchimbi ateuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM kumrithi Daniel Chongolo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Fitina imerudi home...kazi kwenu
Hapo naungana na wewe.Huyu jamaa ana fitina yuko tayari akuondoshe duniani. Amina Chifupa nyota ilipong'ara, Nchimbi alimfitini mno binti wa watu. Ipyana aliposhinda UVCCM ,Nchimbi hakukubali kushindwa. Ipi alikufa kwa mazingira ya kutatanisha. MAKONDA ACHUNGE SANA YAANI. AKIMZIDI JAMAA UMAARUFU TU,BAASII,. HATA CHAI PALE LUMUMBA ASINYWE.
 
Back
Top Bottom