TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Hilo lilikuwa linajulikana tangu alivyotolewa ubalozi na kabla hata chongolo hajajiuzulu😄😄
Ilikuwa ni suala la muda tu 😁
Ilikuwa ni suala la muda tu 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini anafaaa katika nafasi hiyo kulingana na siasa ngumu za sasa mkuuDr.Nchimbi anafaa kwa nyakati hizi.
Sidhani kama Samia hana tahadhari kiasi hiki mkuu [emoji3]Kimbisa na Sofia simba mjengoni 2025 [emoji1787][emoji1787] .mama samia kwisha habari yake ameshatekwaa.
Hapo naungana na wewe.Huyu jamaa ana fitina yuko tayari akuondoshe duniani. Amina Chifupa nyota ilipong'ara, Nchimbi alimfitini mno binti wa watu. Ipyana aliposhinda UVCCM ,Nchimbi hakukubali kushindwa. Ipi alikufa kwa mazingira ya kutatanisha. MAKONDA ACHUNGE SANA YAANI. AKIMZIDI JAMAA UMAARUFU TU,BAASII,. HATA CHAI PALE LUMUMBA ASINYWE.Fitina imerudi home...kazi kwenu
Majangili yote yamerudi kwenye systemFitina imerudi home...kazi kwenu
Wanakuja kivingine hawa wana kundi lao. Mama kaingia mazima [emoji1787][emoji1787]Mtandao si ulipiga shoti mbili-kumi na tano?
Hayati akamrejesha yule Mmasai kundini kwake kwa kumpa mwanae kiti pale kilingeni Chimwaga?
Akigeuka nyuma hawapo CCM unafiki ndio nyumbani. [emoji1787]mnasemaga hivyo hivyo
Kwamba wameamua kusahau ya nyuma? [emoji3526]Wanakuja kivingine hawa wana kundi lao. Mama kaingia mazima [emoji1787][emoji1787]
Hana ujasiri wa kuwatema salama yake awakumbatie tu . Chuma kilikua hakiogopi majina ya watu na umaarufu wao.Sidhani kama Samia hana tahadhari kiasi hiki mkuu [emoji3]
Kwamba wameamua kusahau ya nyuma? [emoji3526]Wanakuja kivingine hawa wana kundi lao. Mama kaingia mazima [emoji1787][emoji1787]
ni Wale waleSafi sana
Tuna Imani na Dr Nchimbi
Sema humjui vizuri hilo ni kundi Lowassa halikufaaIlikua swala la muda, huyu Nchimbi ametajwa sana kushika nafasi hii, bahati nzuri yupo nje ya makundi.
Mifumo mifumo mama wewe hujampeleka mwanao akagombee chipukizi kama mwigulu?Watu ni walewale wanabadilishwa kutoka huku kwenda kule, toa huyu rudisha huyu.
Hakuna jipya.
Kwanini Jiwe alimtosa wakati wa kipindi chake??Majangili yote yamerudi kwenye system
Mwanasiasa akikwambia saahizi ni usiku toka nje ukahakikishe.Kwamba wameamua kusahau ya nyuma? [emoji3526]