Chawa kama chawa.Hata hiyo Bandari kwani ni Bandari ya kwanza kuendeshwa na private sector hapa Duniani? Pesa zote zitakuwa Zinaenda DP World?
Nasisitiza hakuna kibaya amefanya ni vile wengi mna akili fupi tuu.
Uovu Huvuma kuliko wema ,ndio maana sio rahisi hivyo by the way ni miaka 3 tuu so Bado sanaHuyu mwamba itachukua muda sana watu kumsahau unaweza kudhani bado yupo hai kumbe keshaoza.
Atutajie hayo makubwa ni yapi?Hapa naona Katibu Mkuu ametupa Jiwe gizani.
Swali ni nani huyo ambae alikuwa anajigamba sana? ππππ
Bila shaka johnthebaptist atakuwa anamfahamu πππ
Huyu kaja kuvuruga chama;JPM aliwaweka pembeni watu wa ovyo wengi sana na wengi Samia anawarudisha,subirini moto uwake!Hapa naona Katibu Mkuu ametupa Jiwe gizani.
Swali ni nani huyo ambae alikuwa anajigamba sana? ππππ
Bila shaka johnthebaptist atakuwa anamfahamu πππ
Aondolewe na nani Kwa mfano? Legacy π€ͺπ€ͺHuyu kaja kuvuruga chama;JPM aliwaweka pembeni watu wa ovyo wengi sana na wengi Samia anawarudisha,subirini moto uwake!
Samia ataondolewa kwenye kiti kwa aibu kubwa sana!
Kwani Samia aimbwi?Hakuna pambio ambalo halikuimbwa, tumepitia mengi acha tu!
Hujui kinachoendelea,mtabaki midomo wazi mwaka huu!Aondolewe na nani Kwa mfano? Legacy π€ͺπ€ͺ
Aliropoka....Yule RC wa tabora Mwanri.....Jiwe alisema eti Mungu atampongeza yeye Jiwe Kwa kufanya kazi kubwa na kwamba atakuwa Kiongozi wa malaika π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Naona unajitoa ufahamu na kuvaa miwani ya mbao ππAtutajie hayo makubwa ni yapi?
Wote walikuwa waropokajiAliropoka....Yule RC wa tabora Mwanri.....
Hakuna kitu kinachoonekana kwa macho hapo zaidi ya porojo barabara kibao za mitaa Dar es salaam zimesimamishwa toka 2021 watu wanapita kwenye madibwi kama vyura-Maelfu ya Ajira
-Maelfu ya miradi ya maji
-Mafanikio sekta ya michezo
-Mafanikio makubwa sekta ya Afya
-Mafanikio makubwa sekta ya Elimu
-Ameirudisha heshima ya Kilimo
-Ameirudisha Diplomasia ya Tanzania iliyohatibiwa
-Mafanikio mkubwa kwenye Utalii
-Mafanikio makubwa kwenye miundombinu kuanzia viwanja vya ndege, Bandari Hadi Barabara
-Ameweka rekodi ya kukusanya pesa nyingi haijawahi tokea
-Mafanikio mkubwa kwenye biashara, uwekezaji,viwanda na Uchumi
Hayo ni Baadhi tuu ambayo yalimshinda Mwendazake akisingizia Sgr,bwawa na blaa blaa zingine zisizo na msingi π€£π€£π€£
View: https://www.instagram.com/p/C2JwdLot0EP/?igsh=MWhmbzNobjM5b2h3bA==
Jinga kabisa, sahivi hata zikinunuliwa chaki tunaambiwa mama amelipaHapa naona Katibu Mkuu ametupa Jiwe gizani.
Swali ni nani huyo ambae alikuwa anajigamba sana? ππππ
Bila shaka johnthebaptist atakuwa anamfahamu πππ
Mpaka sahivi ni waropokaji tupuWote walikuwa waropokaji
Duuu sasa hakuna waropokaji? Huyu wa Dar?Wote walikuwa waropokaji
Chini ya Nvhimni zama za kusifu na kuabufu zinaomyeshwa mlango wa kutokeaKule kulikuwa na mapambio.....Sasa ni kusifu na kuabudu, waumini ni wale wale aliyebadilika ni mkalia kiti cha enzi.
Naona unajitoa ufahamu ππππHakuna kitu kinachoonekana kwa macho hapo zaidi ya porojo barabara kibao za mitaa Dar es salaam zimesimamishwa toka 2021 watu wanapita kwenye madibwi kama vyura