Pre GE2025 Dkt. Emmanuel Nchimbi: Mwenyekiti wetu amefanya mambo makubwa bila majivuno. Angekuwa mwingine kafanya hakuna rangi tungeacha kuiona

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mimi mwenyewe namuunga mkono, tungeona rangi zote na masimango juu!
Ukweli hauumi tu bali ukikaa vibaya unakufanya 'usahaulike'
Your browser is not able to display this video.
 
naona vita marehemu inaendelea.

Mwambieni Nchimbi, kwa maneno hayo tu hafai tena kuitwa Dr.. tutamuita kwa jina lake Emmanuel Nchimbi.

Tutampima na kuwapima kwa matokeo ya kazi yao na sio blah blah, vijembe na taarabu.
 
Ushasema wewe ni shabiki wa Samia na hata huko kukosoa unakozungumzia huwa humkosoi Samia huwa unakosoa mambo ambayo hayamuhusishi Samia.

Hivyo unavyomuona wewe Samia kwamba ni bora na kafanya makubwa kuliko wote waliyomtangulia ni katika sehemu ya ushabiki wako kwake tu japo hilo wewe huwezi kuona au kukiri, kama ambavyo waliyomshabikia Magufuli na wapo mashabiki wa Kikwete na Mkapa hadi leo.

Kwangu mimi kumsifia kiongozi si tatizo ila inapofikia hali hadi ya kushindwa kumkosoa penye makosa au kutotaka akosolewe huo unakuwa ni upuuzi na bora anayefanya hivyo kimasilahi naweza kumuelewa kuliko anayefanya hivyo kiushabiki tu aweza kuwa hata ana matatizo ya akili.
 
Namba ndio zinaongea sio porojo zenu

View: https://www.instagram.com/p/C2QQGqssLrP/?igsh=MWZlYzllZW56YXdpbA==
 
Mambo gani yangu yaende wakati hakuna anaenifahamu huko ccm? Kimsingi nafurahia Kwa kuturejeshea thamani ya Kilimo ,Mimi ni mkulima naona tofauti kutoka kukosa soko Hadi kupata soko zuri.
Narudia tena mkuu kuwa hii nchi ni kubwa na ina matatizo sugu mengi tu, wewe kama shabiki wa Samia na sie tusio mashabiki lazima tutofautiane mitazamo. Wewe unamtazama Samia anayofanya na kupambwa nayo ndio maana hata serikali ikinunua madawati kwako ni jambo kubwa na sifa kwa Samia ila wengine tunatizama nchi kwa ujumla wake.
 
Serikali zenu za ๐ŸŒˆ zilifanya yapi ya maana zaidi ya kusumbua awamu za Waislamu?
 
Kumbuka mkuu hiyo ni serikali na hayo majukumu yake ya kawaida tu na sio msaada wa Bakhresa au Mo hapo, sasa sijui cha ajabu unachotaka kutushangaza sisi ni kipi?
Majukumu ya kawaida ila Kwa Kasi kubwa kushinda zingine,that is the point.

Unaweza maliza mbio ila usimalize Kwa wakati na mwingine.

Samia anawapelekea Moto ๐ŸŒˆ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ