Pole sana Dada BantuKaka Faustine jamani, yaani huu msiba mwenzenu umenivuruga. Ni family friend. Nashindwa nampigia simu dada yake kumpa pole au naenda uwiii.
Hii familia wana roho nzuri, pamoja kuwa na pesa ila wana upendo sana. Vizuri havidumu π
Ulale mahala pema, peponi Kaka Faustine. Dah hee!!!
Kwa Cheo alichokuwa Nacho (R.I.P) Dkt. Faustine Ndungulile asingeweza kuwa Mbunge tena acheni maneno ya kijinga na uchonganishi kama kitu haukijui subiri ueleweshwe.Kuna jitu huko Kaskazini saa hizi limejawa na furaha! Kuna mijitu nuksi sana.
Nabii wa kughushi!Hii nchi hii!!!...I saw it coming
CCM hampendi Watu wenye akili. Mnapenda kuona watu wote hawana akili.Ila nyinyi akili zenu ni mchanganyiko wa mavi sijui na vitu gani...
Huyu hakua na sifa za ubunge tayari, kwasababu ya ukurugenzi WHO kwanini wamuuwe kwasababu ya ubunge?
Hata kujiongeza hamuwezi?
Halafu ni mazee mazima nyinyi!
Asee.
Hiyo mbona sio unabii maana miaka yote hiyo hutokea na bado. Yaani bado ajali sasaGENTAMYCINE unabii wako unazidi kutimia. Ulisema patakuwa na RIP nyingi mno kuelekea uchaguzi wa 2025
Alikuwa anaumwa nini kwani ?Makonda ana dawa, anyway, alitolewa kwenye uwaziri kwa sababu ya frequent trips za kwenda India kwa matibabu.
R. I. P, kigamboni imepoteza
Kivipi ?mbona alikuwa hana mpango wa kugombea ubunge Kigamboni maana alikuwa amechagulia kwenda majuu kuhudumu .Kuna jitu huko Kaskazini saa hizi limejawa na furaha! Kuna mijitu nuksi sana.
Kwani uongo?Nakuona unapotaka kuelekea....!!!
Ahsante sana Uhakiki πππnyie kifo mmhhh!!!Pole sana Dada Bantu
Sidhani kama 'Mzee Fulani' atakubaliana na wewe.Vizuri havidumu π