TANZIA Dkt. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia

Hapa Tanzania ukiwa smart sana kiakili, hama nchi ukazitumie kwingine au fanya biashara kimya kimya. Don't expose your talents.
 
Ww jamaa
 
Katika Qur'an:

Surah Al-A'raf (7:34): "Kila ummah (jamii) ina muda wake. Na wakati wake ukifika, hawawezi kucheleweshwa wala kuharakishwa hata kidogo." Hii inathibitisha kwamba kila nafsi ina muda maalum wa kuishi, na kifo hakijali mipango yetu.

Surah Al-Ankabut (29:57): "Kila nafsi itapata mauti. Kisha mtarejeshwa kwa Mola wenu." Aya hii inatufundisha kwamba kifo ni hakika, na hatuwezi kuepuka wala kuchelewesha wakati wake.


Katika Hadithi:

Mtume Muhammad (S.A.W) alisema: “Mchana na usiku ni wake Allah, na kila kilichomo ndani ya dunia na mbingu ni chini ya idhini yake. Kifo kitakuja kwa kila nafsi katika wakati wake, na hakuna anayeweza kuzuia." (Sahih Muslim) Hadithi hii inasisitiza kwamba hakuna anayeweza kupanga kifo au kujua wakati wake, kwani ni jambo linalosimamiwa na Allah pekee.


Ujumbe:

Mafundisho haya yanatufundisha kuwa, ingawa tunafanya mipango na juhudi za maisha yetu duniani, hatufai kuwa na dhana kwamba tutaishi milele. Kifo kitakuja kwa wakati wake, na tunapaswa kuwa tayari kwa ajili yake kwa kufanya matendo mema, kuishi kwa uadilifu, na kumtegemea Allah katika kila hali.
 
Huyu mheshimiwa yawezekana alifariki siku kadhaa huko nyuma, ila kwa mambo ya siasa wameamua kutuchanganya juu kwa juu na jambo la leo.

Kwamba wakifanya yao akili za watanzania ziwe kwa marehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…