Dah pole sana mwanamama wa kibantuKaka Faustine jamani, yaani huu msiba mwenzenu umenivuruga. Ni family friend. Nashindwa nampigia simu dada yake kumpa pole au naenda uwiii.
Hii familia wana roho nzuri, pamoja kuwa na pesa ila wana upendo sana. Vizuri havidumu 😭
Ulale mahala pema, peponi Kaka Faustine. Dah hee!!!
Amekula pesa zako, au? Emu fafanua, mkuu. Isijekuwa ameenda zake bila kukurejesha fedha ulizomkopesha.Wamekula sana pesa ata ivyo . Analetwa na cargo gani
Ni ushauri mzuri. Lakini nani atamkataza nani asiende wapi kutafuta matibabu ya afya yake mwenyewe?Apumzike kwa Amanin Dr. Faustine, matibabu ya huko India ni vizuri serikali ikayatathmini kama kwa sasa yana umhimu baada ya serikali kuboresha huduma za afya hapa nchini, vile vile kama taifa lazima tuna maadui wasioitakia nchi yetu mema hivyo hizo loopholes za viongozi kutibiwa India ni hatari sana. Kifo kipo lkn baadhi ya vifo vinakuwa na lesson to learn on how to adjust some issues as a country.
If you were thus living in the present or future, you wouldn't be here gloating over events that are past, from whose occurrence you clearly seem to wish for some hopeful future outcome.I can't deal with your delusion are you living in the past?
Ndugulile mbona alitangaza hagombei tena baada ya kupata job WHODahhh. Tulisikia tetesi nyingi kuwa Bashite analitaka Jimbo lako 2025🤔
Hali inatisha sana, kama ndo hivyo.My problem is not actually about the mistake itself. My grave concern is that they are being paid by our very taxes only to underperform like this!
Najiuliza tu, hali ya mikataba yetu ikoje? Dah! Tuna safari ndefu sana kama taifa.
Aliondoka na Emirates first class, anarudishwa kama mzigo.Wamekula sana pesa ata ivyo . Analetwa na cargo gani
It makes a lot of sense.Ukweli ninachojua huwa ana ugonjwa wa moyo ila sikujua ni serious kiasi hiki. Hata akiwa waziri safari za kwenda check up India zilikuwa nyingi tu.
JPM NAYE MLISEMA MOYO,MOYO.It makes a lot of sense.
Sasa mbona kuna wachawi humu wanasema jamaa amenyweshwa kemikali ya polonium? Hawa viumbe wanadamu hawanaga dogo hawa!
Hakuna kifo cha ghafla mtu pekee ambaye ana weza kufa kikawa kifo cha ghafla ni mtoto mwenye miezi miwili au miaka miwiliGhafla sana!
Imekuwa ghafla sana ugonjwa huo ulikuwa tangu lini?
Mtoto mdogo wewe tulia Huwezi kuyaelewa haya mambo. Pumzika Ndugulile , hakika ulikuwa mtu thabiti.Ndugulile mbona alitangaza hagombei tena baada ya kupata job WHO
Hata tukijua yote hayo haitasaidia kituDuh,
Aliumwa lini? Tanzania yetu ina mambo
----
Huu utaratibu tuliojiwekea wa kutangaza kifo cha mtu tu bila kujali aliugua au ni ajali ni mbaya sana
Kwenye taarifa rasmi ya Bunge inaonesha kafariki 2025??? bahati mbaya?
Sasa jamii inabaki na mtanziko na sintofahamu kubwa..
1.Aliumwa
2 Kama aliumwa aliumwa nini na alianza lini?
3.Ajali?
4.Matibabu India ilikuwaje?
5.Chronic deaseases? Taarifa haisemi...
Ndungulile ni mtu mkubwa sana kuacha kujibu hayo maswali kwenye taarifa rasmi ya Kifo chake...
Tunaweza dhani ni jambo jema na privacy lakini minongono na 'umbea ' na 'siasa' zetu, ikatugharimu baadae...
Binafsi nilipenda sana hustle zake,
Poleni sana familia ya Dr. Faustine.
Pumzika kwa amani kaka.
UgonjwaChanzo cha kifo?
It proves the Qur'an is actually a re-writing and re-arrangement out of the Bible.To God belongs what He takes and what He gives, and everything with Him has a specified term.
Si unajua magonjwa hatari kwa sasa ni yale ya mtindo wa maisha - yasiyoambukizika?JPM NAYE MLISEMA MOYO,MOYO.
SAA100 MOYO VIPI?