Duh,
Aliumwa lini? Tanzania yetu ina mambo
----
Huu utaratibu tuliojiwekea wa kutangaza kifo cha mtu tu bila kujali aliugua au ni ajali ni mbaya sana
Kwenye taarifa rasmi ya Bunge inaonesha kafariki 2025??? bahati mbaya?
Sasa jamii inabaki na mtanziko na sintofahamu kubwa..
1.Aliumwa
2 Kama aliumwa aliumwa nini na alianza lini?
3.Ajali?
4.Matibabu India ilikuwaje?
5.Chronic deaseases? Taarifa haisemi...
Ndungulile ni mtu mkubwa sana kuacha kujibu hayo maswali kwenye taarifa rasmi ya Kifo chake...
Tunaweza dhani ni jambo jema na privacy lakini minongono na 'umbea ' na 'siasa' zetu, ikatugharimu baadae...
Binafsi nilipenda sana hustle zake,
Poleni sana familia ya Dr. Faustine.
Pumzika kwa amani kaka.