MgosiMnubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2022
- 890
- 1,487
Kifo ni fumbo
R.I.P Mh.ndugulile
R.I.P Mh.ndugulile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ni Kifo.Dah! Jamani..shida nini tena??
Mkuu wacha hizi.. unless unamjua vizur..Makonda ana dawa, anyway, alitolewa kwenye uwaziri kwa sababu ya frequent trips za kwenda India kwa matibabu.
R. I. P, kigamboni imepoteza
R.I.P Dr.Faustine 🤭Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile 1969-2024
Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) anasikitika kutangaza kifo cha Mbunge wa Kigamboni, Mheshimiwa Dkt. Faustine Ndugulile kilichotokea usiku wa kuamkia leo tarehe 27 Novemba, 2025 nchini India alipokuwa akipatiwa matibabu.
"Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika, Mheshimiwa Dkt. Faustine Ndugulile.
Kwa niaba ya Wabunge natoa pole kwa familia, wakazi wa Kigamboni na Watanzania wote. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi", amesema.
Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia inaendelea kuratibu shughuli za mazishi na taarifa zaidi zitaendelela kutolewa.
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA, APUMZIKE KWA AMANI.
Imetolewa na: Kitengo cha Mawasiliano na Elimu kwa Umma, Ofisi ya Bunge, DODOMA 27 Novemba, 2024
View attachment 3162820
Huu ni Msiba Mkubwa sana hasa kwa Wanachama wa JamiiForums kwa kumpoteza Mwenzao @Dr F. Ndugulile.
View attachment 3162839
Watu wanamalizana kwa sababu ya madarakaKuna mambo huko kwenye power corridor ni magum kweli aisee
Mapema sana dr, Mungu rehemu nafsi yakeMhe. Dkt. Faustine Ndugulile 1969-2024
Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) anasikitika kutangaza kifo cha Mbunge wa Kigamboni, Mheshimiwa Dkt. Faustine Ndugulile kilichotokea usiku wa kuamkia leo tarehe 27 Novemba, 2025 nchini India alipokuwa akipatiwa matibabu.
"Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika, Mheshimiwa Dkt. Faustine Ndugulile.
Kwa niaba ya Wabunge natoa pole kwa familia, wakazi wa Kigamboni na Watanzania wote. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi", amesema.
Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia inaendelea kuratibu shughuli za mazishi na taarifa zaidi zitaendelela kutolewa.
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA, APUMZIKE KWA AMANI.
Imetolewa na: Kitengo cha Mawasiliano na Elimu kwa Umma, Ofisi ya Bunge, DODOMA 27 Novemba, 2024
View attachment 3162820
Huu ni Msiba Mkubwa sana hasa kwa Wanachama wa JamiiForums kwa kumpoteza Mwenzao @Dr F. Ndugulile.
View attachment 3162839
Acha upumbavu wee mjinga.Dahhh. Tulisikia tetesi nyingi kuwa Bashite analitaka Jimbo lako 2025🤔
Si alikua keshaenda WHO, si asingeweza gombea tena?Dahhh. Tulisikia tetesi nyingi kuwa Bashite analitaka Jimbo lako 2025🤔
Huenda ni kweli kabisa. Inawezakana sanaDahhh. Tulisikia tetesi nyingi kuwa Bashite analitaka Jimbo lako 2025🤔
Kvp mkuu?Hii nchi hii!!!...I saw it coming
Ndo akili za mtu mweusi, mlitaka muishi milele?Watu wanamalizana kwa sababu ya madaraka