TANZIA Dkt. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia

TANZIA Dkt. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia

Unajua mtu akishaugua, mara nyingi maazimio mengine yote huwa yanarukwa? Yule atakayepinga matibabu ya nje ndiye ataonekana mchawi haswa.

Halafu, suala la kuwatibia nje siyo kwamba linatokana na utaalamu zaidi. Nadhani wengi wanakimbilia huko kiusalama. Ni kama vile humu ndani hatuaminiani.

Hapo kiongozi anaona bora akazungukwe na jopo la madaktari wasiomfahamu, kuliko hawa wetu ambao anadhani wanaweza kumleftisha muda wowote hata kama siku zake hazijatimu.
Ukisoma vitabu vingi vya kijasusi, viongozi smart na tishio wanauwawa kirahisi sana wanapokuwa nje mipaka Yao ya nchi, hivyo ni vizuri viongozi wakaondoa mentality ya kutibiwa nje ya nchi kama security ya maisha Yao.
 
Mkuu, ulishawahi kutaka ukatibiwe India au SA, mtu akakuzuia kwani? Suala la kiafya - nani na wapi mtu atibiwe - ni uamuzi binafsi.
Ndugu yangu hapa tunazungumzia mitizamo ya matibabu ya viongozi wetu potentials kufanyika nje ya nchi hususani India Kila wakati na kurudishwa wafu. Hili ni suala la mabadiliko ya kisera na Wala si Sheria kwamba kwa kuwa huduma za kitabibu zomeboreshwa hapa nchini basi priority ya matibabu kwa viongozi wa kitaifa iwe hapa nchini, sijui umenielewa ni suala la kisera ambalo in future linaweza kubadilishwa likawa sheria endapo it will be proven wealth while.
 
Hii inasikitisha sana, idara zote za kitabibu katika hospital zetu za kitaifa zimeimarishwa sana, JKCI, MNH, Mloganzila, Benjamin Mkapa Dom etc, Kwa nini viongozi wakatibiwe nje na mara nyingi wakirudi kama cargo?? Kwa hiyo wananchi wanatuhadaa wanapotuambia huduma za kitabibu ktk hosptali zetu zimaimarika kiasi cha wageni kutoka mataifa ya nje kuja kutibiwa hapa nchini?!! Kama viongozi hawawi mfano wa kuigwa tutaendelea kuwaamini vipi?!! Je, ni JPM pekee ndo alikuwa mzalendo wa kweli!
Wanatuhadaa kwa kweli.
 
Ndugu yangu hapa tunazungumzia mitizamo ya matibabu ya viongozi wetu potentials kufanyika nje ya nchi hususani India Kila wakati na kurudishwa wafu. Hili ni suala la mabadiliko ya kisera na Wala si Sheria kwamba kwa kuwa huduma za kitabibu zomeboreshwa hapa nchini basi priority ya matibabu kwa viongozi wa kitaifa iwe hapa nchini, sijui umenielewa ni suala la kisera ambalo in future linaweza kubadilishwa likawa sheria endapo it will be proven wealth while.
Hawezi kukuelewa huyo akili kisoda.
 
Kweli hapa Kuna changamoto, lakini in the context ya government intervention ktk matibabu ya viongozi wa kiserikali, India and some countries not the right choice kwa sasa. Ni haki ya mgonjwa kwa kuzingatia uwezo wake atibiwe anapotaka lkn kwa viongozi wa kiserikali ni vizuri kuwa na right and safe country choice lkn pia kipao mbele kikiwa kuwapatia matibabu ndani ya nchi.
Muhimu kuwa na uwezo wa kujitibia mwenyewe tu hasa kama unaonekana ni threat kwa wengine. Hizi serikali zetu za kiafrika sio kuziamini kabisa.
 
Mkurugenzi mtarajiwa wa WHO kaenda kupata matibabu nje ya bara lake , ina maana kwa zaidi ya nchi 50 zilizopo barani hapa hamna hata nchi moja yenye medical facilities za kufichia aibu ndogondogo kama hizi ?

Umeongea jambo zito sana.
Mifumo yetu ya elimu bado ni ya kikoloni.
Wanafunzi wa vyuo wengi ni watu wazima wenye stress za maisha . Ili Kupata wataalamu wa ukweli wenye vipaji vya kuzaliwa na sio kukimbilia Kozi zenye ajira inabidi masomo yote ya ujuzi yazingatie vipaji tangu shule ya msingi. Hapo tutapata walimu, wachumi, wahasibu, ,madaktari na maengineer wazuri na wenye ufanisi mzuri sana bila kukimbilia fedha kabla ya huduma
 
Back
Top Bottom