ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Duh 🙄 ! 🙄Anaweza kuwa kamchezea faulo yule mbwa .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh 🙄 ! 🙄Anaweza kuwa kamchezea faulo yule mbwa .
Wewe umesema mkuu!!..labda ni mbio za Uraisi Ccm 2030.
Huoni alikuwa anakwenda kupata hiyo nguvu nje ya kigamboni?No, marehemu hakua na nguvu yeyote nje ya kigamboni...
Hii ni natural death, tusikufuru.
sababu ya Upumbafu wetu !Tunalogana sana Tanzania.
!!Wewe umesema mkuu!!
Migiro amewahi kuwa deputy pale UN...Huoni alikuwa anakwenda kupata hiyo nguvu nje ya kigamboni?
😳🙄..nguvu alikuwa anakwenda kuipata UN-WHO.
Waliokuwa wanautaka urais miaka ya AshaROSE Ndio haohao wa 2030?Migiro amewahi kuwa deputy pale UN...
Nafasi kubwa kuliko ya marehemu, alikua na nguvu ya kumtisha nani?
DR Ndugulile hakuwa kijana, miaka 55 unasemaje huyu ni kijana?Kilicho muondoa Dida ndiyo kilicho muondoa Ndugulile.. vijana tunajisahau sana
Najaribu kukwambia kwamba, watanzania wana tabia ya kumtukuza mtu aliyewatumikia...Waliokuwa wanautaka urais miaka ya AshaROSE Ndio haohao wa 2030?
Ifike wakati sasa viongozi wetu waziamini hospitali zetu watibiwe hapa hapa nchiniWahindi ni kama wanatumalizia viongozi wetu
Sikuogopeshi nenda kafanye utafiti Mloganzila utakubaliana na mimiAcha kutuogopesha, mkuu. Hospitali zetu sasa hivi zina wataalamu wabobevu na vifaa vya kisasa. Ulimwengu umeshakuwa kama kijiji.
Kwani hukuona wakati ule iwapo Lodi Lofa asingeamuru - Hilo kata! Kata na lile! Hilo nalo kata pia! Kata hayo yote! - leo hii Asha angepita kwenye historia kama foma prezidenti wa JMT?Migiro amewahi kuwa deputy pale UN...
Nafasi kubwa kuliko ya marehemu, alikua na nguvu ya kumtisha nani?
Haha sidhani...Kwani hukuona wakati ule iwapo Lodi Lofa asingeamuru - Hilo kata! Kata na lile! Hilo nalo kata pia! Kata hayo yote! - leo hii Asha angepita kwenye historia kama foma prezidenti wa JMT?
Najaribu kukwambia kwamba, watanzania wana tabia ya kumtukuza mtu aliyewatumikia...
Hawaangalii umaarufu wako huko duniani.
Waanze kusomesha watoto wao ktk shule za ummaIfike wakati sasa viongozi wetu waziamini hospitali zetu watibiwe hapa hapa nchini
Jina kamili Pili MIsana anafanya biashara ya Sober house Kigamboni....mara kadhaa anadondoshwa kwenye kura za maoni,,,halafu ni mashalaah mambo fulani kalio tamu kubwa kubwa analo 😍Sister Pili ndio yupi mkuu
Hawa wanaccm, wezi wa kura ni wauwaji sana! Wanaua wapinzani kwenye uenyekiti wa mitaa tu! Ni watu wa hovyo sana! Acha na wao wafe tu!Yale yale ya Jembe Magu, ila sio kesi kwa tulioshtuka hapo kuna mkono wa mtu, ila mungu ailaze roho ya marehem mahali pema pema peponi....