KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
N
Na ataitema tu...😅Ushalipwa tayari[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ataitema tu...😅Ushalipwa tayari[emoji23][emoji23]
labda kama alidanganya umri , Festus Limbu ninayemjua mimi hawezi kuwa kijana hivyo60yrz old
Mtajwa hapo juu aliwahi Mbunge Jimbo la Magu, lakini pia aliwahi kuwa Naibu waziri wa fedha katika awamu ya 3 akishughulikia masuala ya SERA na Mipango ya wizara hiyo.
Na kwa hakika kazi yake ilionekana na inaonekana mpaka wa leo na kuifaidisha nchi na wananchi pakubwa. Dr. Limbu is among economic genius hapa Tanzania.
Pamoja na mambo mengine mengi aliyowahi kuyafanya katika nchi hii kwa maslahi mapana ya nchi na kwa manufaa ya wananchi wote.
Dr. FESTUS BULUGU LIMBU ni mzalendo wa kweli, mchapakazi mahiri, mwenye uthubutu wa kusema na kutenda, nachelea kusema mzalendo huyu anaweza kuipaisha Tanzania sio tu kiuchumi bali pia kijamii na kisiasa na hatimae kubadili kabisa hali za maisha ya waTz kua bora zaidi na yanye furaha zaidi kuliko wakati mwingine wowote.
Dr. FESTUS BULUGU LIMBU ana uzoefu katika uongozi na utumishi wa umma.
Anachukia Rushwa kwa maneno na vitendo, ni mkweli na muwazi,
Ni mtulivu, mkimya na mpole asiependa uonevu wa aina yeyote, popote na kwa yeyote.
Ana maamuzi magumu na wala hana haya kuchukua hatua kwa yeyote atakae enda kinyume na mipango na Sheria za nchi. Rejea alivyo kua naibu waziri wa fedha.
Ni muadilifu na mpenda Amani, umoja na mshikamano.
Ni Baba wa familia, Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu.
Hana kundi wala makundi, kundi lake ni waTanzania wote.
Kwa ujasiri mkubwa nadhani anafaa na ana sifa zote kwa nafasi ya Juu zaidi humu nchini siku za usoni.
Ni furaha kuona wengi wa waTz wameanza kumfikiria mapema.
Ama hakika Dr FESTUS BULUGU LIMBU ni NYOTA YA MATUMAINI TANZANIA.
Mungu Ibariki Tanzania na watu wake.
Mtajwa hapo juu aliwahi Mbunge Jimbo la Magu, lakini pia aliwahi kuwa Naibu waziri wa fedha katika awamu ya 3 akishughulikia masuala ya SERA na Mipango ya wizara hiyo.
Na kwa hakika kazi yake ilionekana na inaonekana mpaka wa leo na kuifaidisha nchi na wananchi pakubwa. Dr. Limbu is among economic genius hapa Tanzania.
Pamoja na mambo mengine mengi aliyowahi kuyafanya katika nchi hii kwa maslahi mapana ya nchi na kwa manufaa ya wananchi wote.
Dr. FESTUS BULUGU LIMBU ni mzalendo wa kweli, mchapakazi mahiri, mwenye uthubutu wa kusema na kutenda, nachelea kusema mzalendo huyu anaweza kuipaisha Tanzania sio tu kiuchumi bali pia kijamii na kisiasa na hatimae kubadili kabisa hali za maisha ya waTz kua bora zaidi na yanye furaha zaidi kuliko wakati mwingine wowote.
Dr. FESTUS BULUGU LIMBU ana uzoefu katika uongozi na utumishi wa umma.
Anachukia Rushwa kwa maneno na vitendo, ni mkweli na muwazi,
Ni mtulivu, mkimya na mpole asiependa uonevu wa aina yeyote, popote na kwa yeyote.
Ana maamuzi magumu na wala hana haya kuchukua hatua kwa yeyote atakae enda kinyume na mipango na Sheria za nchi. Rejea alivyo kua naibu waziri wa fedha.
Ni muadilifu na mpenda Amani, umoja na mshikamano.
Ni Baba wa familia, Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu.
Hana kundi wala makundi, kundi lake ni waTanzania wote.
Kwa ujasiri mkubwa nadhani anafaa na ana sifa zote kwa nafasi ya Juu zaidi humu nchini siku za usoni.
Ni furaha kuona wengi wa waTz wameanza kumfikiria mapema.
Ama hakika Dr FESTUS BULUGU LIMBU ni NYOTA YA MATUMAINI TANZANIA.
Mungu Ibariki Tanzania na watu wake.
Aliongoza jimbo kwa miaka 15,sio mitano,na hakushindwa uchaguzi,bali uchaguzi uliofuata hakugombea kabisa kwa hiari yakeKama alishapewa Jimbo kwa miaka mitano kisha akashindwa kulilinda na kudondokea pua Uchaguzi uliofuata basi ni uzembe
Hivi mtu anapokuwa 'anashughulikia' uchumi anakuwa anafanya nini?Alikua udsm then udom but now anafanya kazi na shirika moja hivi la kimataifa akishughulikia uchumi
Bado yupo hai huyu?Mtajwa hapo juu aliwahi Mbunge Jimbo la Magu, lakini pia aliwahi kuwa Naibu waziri wa fedha katika awamu ya 3 akishughulikia masuala ya SERA na Mipango ya wizara hiyo.
Na kwa hakika kazi yake ilionekana na inaonekana mpaka wa leo na kuifaidisha nchi na wananchi pakubwa. Dr. Limbu is among economic genius hapa Tanzania.
Pamoja na mambo mengine mengi aliyowahi kuyafanya katika nchi hii kwa maslahi mapana ya nchi na kwa manufaa ya wananchi wote.
Dr. FESTUS BULUGU LIMBU ni mzalendo wa kweli, mchapakazi mahiri, mwenye uthubutu wa kusema na kutenda, nachelea kusema mzalendo huyu anaweza kuipaisha Tanzania sio tu kiuchumi bali pia kijamii na kisiasa na hatimae kubadili kabisa hali za maisha ya waTz kua bora zaidi na yanye furaha zaidi kuliko wakati mwingine wowote.
Dr. FESTUS BULUGU LIMBU ana uzoefu katika uongozi na utumishi wa umma.
Anachukia Rushwa kwa maneno na vitendo, ni mkweli na muwazi,
Ni mtulivu, mkimya na mpole asiependa uonevu wa aina yeyote, popote na kwa yeyote.
Ana maamuzi magumu na wala hana haya kuchukua hatua kwa yeyote atakae enda kinyume na mipango na Sheria za nchi. Rejea alivyo kua naibu waziri wa fedha.
Ni muadilifu na mpenda Amani, umoja na mshikamano.
Ni Baba wa familia, Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu.
Hana kundi wala makundi, kundi lake ni waTanzania wote.
Kwa ujasiri mkubwa nadhani anafaa na ana sifa zote kwa nafasi ya Juu zaidi humu nchini siku za usoni.
Ni furaha kuona wengi wa waTz wameanza kumfikiria mapema.
Ama hakika Dr FESTUS BULUGU LIMBU ni NYOTA YA MATUMAINI TANZANIA.
Mungu Ibariki Tanzania na watu wake.
Hata Prof. Kabudi alikuwa vizuri kabla ya kuingia kwenye mfumoMtajwa hapo juu aliwahi Mbunge Jimbo la Magu, lakini pia aliwahi kuwa Naibu waziri wa fedha katika awamu ya 3 akishughulikia masuala ya SERA na Mipango ya wizara hiyo.
Na kwa hakika kazi yake ilionekana na inaonekana mpaka wa leo na kuifaidisha nchi na wananchi pakubwa. Dr. Limbu is among economic genius hapa Tanzania.
Pamoja na mambo mengine mengi aliyowahi kuyafanya katika nchi hii kwa maslahi mapana ya nchi na kwa manufaa ya wananchi wote.
Dr. FESTUS BULUGU LIMBU ni mzalendo wa kweli, mchapakazi mahiri, mwenye uthubutu wa kusema na kutenda, nachelea kusema mzalendo huyu anaweza kuipaisha Tanzania sio tu kiuchumi bali pia kijamii na kisiasa na hatimae kubadili kabisa hali za maisha ya waTz kua bora zaidi na yanye furaha zaidi kuliko wakati mwingine wowote.
Dr. FESTUS BULUGU LIMBU ana uzoefu katika uongozi na utumishi wa umma.
Anachukia Rushwa kwa maneno na vitendo, ni mkweli na muwazi,
Ni mtulivu, mkimya na mpole asiependa uonevu wa aina yeyote, popote na kwa yeyote.
Ana maamuzi magumu na wala hana haya kuchukua hatua kwa yeyote atakae enda kinyume na mipango na Sheria za nchi. Rejea alivyo kua naibu waziri wa fedha.
Ni muadilifu na mpenda Amani, umoja na mshikamano.
Ni Baba wa familia, Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu.
Hana kundi wala makundi, kundi lake ni waTanzania wote.
Kwa ujasiri mkubwa nadhani anafaa na ana sifa zote kwa nafasi ya Juu zaidi humu nchini siku za usoni.
Ni furaha kuona wengi wa waTz wameanza kumfikiria mapema.
Ama hakika Dr FESTUS BULUGU LIMBU ni NYOTA YA MATUMAINI TANZANIA.
Mungu Ibariki Tanzania na watu wake.
wakati muafaka itajulikanaOk,ni vema muanzisha UZI atuambie huyu Mchumi Dr.Limbu tumpe nafasi gani ya juu Serikalinimaana ameshakuwa Mbunge,Naibu Waziri,Mkufunzi nk,bado ipi??![]()
vema sana kiongozi kuweka records sawaAliongoza jimbo kwa miaka 15,sio mitano,na hakushindwa uchaguzi,bali uchaguzi uliofuata hakugombea kabisa kwa hiari yake