Dkt. Gwajima D naleta malalamiko kuhusu SHK.Zaid Makubuli na mada za ukabila kuhusu wanawake

Dkt. Gwajima D naleta malalamiko kuhusu SHK.Zaid Makubuli na mada za ukabila kuhusu wanawake

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Nimejaribu kufichua ila lijafanyiwa kazi na serikali inatakiwa kuchukua sheria kali kwa watu kama hawa wakina shk zid makubuli kuhusu na chuki za kupandikiza haswa makabila.

Dkt. Gwajima D

nafahamu TCRA na wizara yako mnaweza kuwashugulikia wote walishiriki kutoa kipindi hiki online kuhusu mada.

YAJUE MAKABILA YANAYOFA KUOA NA YASIO FAA KUOA"HAPA NDIO TUMEANGUKA WANAUME WENGI"-SHK.ZAID MAKUBULI​



View: https://www.youtube.com/watch?v=9Be9zcMEsag&t=468s
 
Huyo sheikh ni mpuuzi, watu tunaoa mwanamke wa kabila au dini yoyote, awe amekeketwa au hajakeketwa hatuna ubaguzi huo maadam tumependana imetoka hiyo
 
Nimejaribu kufichua ila lijafanyiwa kazi na serikali inatakiwa kuchukua sheria kali kwa watu kama hawa wakina shk zid makubuli kuhusu na chuki za kupandikiza haswa makabila.

Dkt. Gwajima D

nafahamu TCRA na wizara yako mnaweza kuwashugulikia wote walishiriki kutoa kipindi hiki online kuhusu mada.

YAJUE MAKABILA YANAYOFA KUOA NA YASIO FAA KUOA"HAPA NDIO TUMEANGUKA WANAUME WENGI"-SHK.ZAID MAKUBULI​



View: https://www.youtube.com/watch?v=9Be9zcMEsag&t=468s

Sasa kama Nyie wachawi msiambiwe 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom