Dkt. Gwajima: Nikiwa nyumbani mimi ni Mama Vicky na navaa kitenge changu

Dkt. Gwajima: Nikiwa nyumbani mimi ni Mama Vicky na navaa kitenge changu

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
"Kokote alipo Laazizi wangu Advocate Gwajima
anisikie yeye ndiyo injinia wangu na saa kumi na mbili asubuhi kashanipigia simu na tumezungumza yanayotuhusu na ratiba zake nazijua na yeye zangu anazijua na najua watoto wangu wapo wapi.

Mume wangu kaona vipaji vyangu na mimi nimeona vyake tukashirikiana na kusaidiana, sina haja ya kuringa sababu mimi Waziri na yeye sio waziri.

Nikiwa nyumbani mimi ni Mama Vicky na navaa kitenge changu" Mhe. Dkt Dorothy Gwajima ni waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
FeM9QIcB_400x400.jpg
 
"Kokote alipo Laazizi wangu Advocate Gwajima
anisikie yeye ndiyo injinia wangu na saa kumi na mbili asubuhi kashanipigia simu na tumezungumza yanayotuhusu na ratiba zake nazijua na yeye zangu anazijua na najua watoto wangu wapo wapi.

Mume wangu kaona vipaji vyangu na mimi nimeona vyake tukashirikiana na kusaidiana, sina haja ya kuringa sababu mimi Waziri na yeye sio waziri.

Nikiwa nyumbani mimi ni Mama Vicky na navaa kitenge changu" Mhe. Dkt Dorothy Gwajima ni waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
View attachment 3261039
Dr Doroth naamini sasa umekuwa mama mwema na bora....
Hutamnasa vibao vile tena.....back 2003.......siku hazigandiiii.....Amen
 
Dr Doroth naamini sasa umekuwa mama mwema na bora....
Hutamnasa vibao vile tena.....back 2003.......siku hazigandiiii.....Amen
Kweli Wanaume tunafanyiwaga ukatili ila hatusemagi tu 🙌
 
"Kokote alipo Laazizi wangu Advocate Gwajima
anisikie yeye ndiyo injinia wangu na saa kumi na mbili asubuhi kashanipigia simu na tumezungumza yanayotuhusu na ratiba zake nazijua na yeye zangu anazijua na najua watoto wangu wapo wapi.

Mume wangu kaona vipaji vyangu na mimi nimeona vyake tukashirikiana na kusaidiana, sina haja ya kuringa sababu mimi Waziri na yeye sio waziri.

Nikiwa nyumbani mimi ni Mama Vicky na navaa kitenge changu" Mhe. Dkt Dorothy Gwajima ni waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
View attachment 3261039
Jambo jema sana.
 
"Kokote alipo Laazizi wangu Advocate Gwajima
anisikie yeye ndiyo injinia wangu na saa kumi na mbili asubuhi kashanipigia simu na tumezungumza yanayotuhusu na ratiba zake nazijua na yeye zangu anazijua na najua watoto wangu wapo wapi.

Mume wangu kaona vipaji vyangu na mimi nimeona vyake tukashirikiana na kusaidiana, sina haja ya kuringa sababu mimi Waziri na yeye sio waziri.

Nikiwa nyumbani mimi ni Mama Vicky na navaa kitenge changu" Mhe. Dkt Dorothy Gwajima ni waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
Kazi juu ya kaziView attachment 3261039
Screenshot_20250306_124900_Instagram.jpg
 
"Kokote alipo Laazizi wangu Advocate Gwajima
anisikie yeye ndiyo injinia wangu na saa kumi na mbili asubuhi kashanipigia simu na tumezungumza yanayotuhusu na ratiba zake nazijua na yeye zangu anazijua na najua watoto wangu wapo wapi.

Mume wangu kaona vipaji vyangu na mimi nimeona vyake tukashirikiana na kusaidiana, sina haja ya kuringa sababu mimi Waziri na yeye sio waziri.

Nikiwa nyumbani mimi ni Mama Vicky na navaa kitenge changu" Mhe. Dkt Dorothy Gwajima ni waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
View attachment 3261039
mwambieni avae dera
 
Dr Doroth naamini sasa umekuwa mama mwema na bora....
Hutamnasa vibao vile tena.....back 2003.......siku hazigandiiii.....Amen
Wee mzee alikula mabanzi???😂
 
Dr Doroth naamini sasa umekuwa mama mwema na bora....
Hutamnasa vibao vile tena.....back 2003.......siku hazigandiiii.....Amen
Ukiona mwanamke anajitapa sana mitandaoni kwamba mimi na mfanyie vizuri sana mumewangu, mimi ni mama bora mara namheshimi mume wangu, jua hilo ni garasa tu tupu
 
Back
Top Bottom