Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Siasa za kitapeli tu hizi. Propaganda.
 
Hivi akuteue nani wakati unapinga ushoga?
Ukipinga ushoga sahau kuhusu teuzi hata tumisaada hutokaa upate.

Ndio maana kina lema,lisu ukiwauliza kuhusu ushoga hawasemi kitu cha kueleweka na hutakaa ujue msimamo wao

Hata serikal yetu ni hivyo hivyo haina majibu,wanalilia ndani kimya kimya tu,hawataki lakin hawana meno ya kusemea kisa njaa.

Hapo kwa Mwakyembe kajilipua na anaijua hiyo vita kuwa ni ngumu,mwakyembe ni mzee wa vita nzito nzito kumbuka ile ishu ya richmond

Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
 
Naungu mkono....mimi nimtu wa Ndandalo hapa Kyela...ila tangu Harrison apigwe chini anafuta njia ya kurudi kwenye ulingo ila Kwa Kyela asahau labda huko Mbwani.
Acha uongo bana, Mwakyembe toka awe nje ya ulingo, hapo kyela amewahi fanya nini cha kumsema kuwa anatafuta njia, mzee wa watu kakaa kimya hata mkutano wa kijijini kwao tu pale kilanga kata ya ikolo hajawahi itisha hata kikao. zaidi ya kuhudhuria chaguzi za ndani ya chama tu

Kama humpendi mtu usimpakazie vitu

Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
 
Aisee hivi wao wanafaidika na nini

Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu Oxpower wewe ni mkongwe hapa jamvini nakuomba unisome tena katika comment yangu ya kwanza .

Sijasema tukae kimya kisa serikali inajua .

Ila mimi nasimama kuukataa unafiki wa huyo Alison , sababu kawa waziri wa sheria na nyanja zingine kubwa sio kuwa hakujua kuwa serikali haijui wala haina majina ya wahusika la Hasha .

Ila yeye anajaribu kujiweka mbele ati atawataja kwa minajiri ya kuwapa infomation serikali angali akijua fika serikali inajua kila kitu .

Je nikisema ni cheap politics nakosea ?
Je nikiuliza why hakuwataja siku aliyofanya press conference mpaka aweke ahadi ni kutafuta kurudi magazetini kwa kitu kilicho wazi nakosea ?

Je mimi ni nani nikubali kumuona mtu anamtukana mtoto wangu kilema ilihali na yeye ni kilema toka mda ?

Unafiki ni pale kutafuta nguvu ya umma kwa kitu kinachojulikana vilivyo na pia na wewe msaka nguvu ya umma ni wale wale .
Ni hayo ndugu .
Mimi hapa nasimama kuukataa unafiki wa Alison .
 
Rafiki tafadhali naomba rejea vizuri habari za Richmond alafu njoo unieleze kujitoa kwa Alison katika hizo mambo .
 
Sijasema kulazimishwa na ndio maana nimesema mashoga wapo na hufanya huo ushoga, sasa kipi zaidi chenye kuhitajika? Au huo Marekani wanataka nini zaidi?
Nyie ndio mna kiherehere cha kuwazungumzia mashoga kila siku.

Hizi habari hazikuwepo isipokuwa zimekuja kutokana na kiherehere chenu cha kuchokonoa chokonoa makaburi.

Wazungu hawajamlazimisha yeyote kufirwa. Nyie mnafirwa kwa kupenda kwenu msiwasingizie wazungu.
 
Mtunzi aniwie radhi! Maana hili janga ni kama aliliota kabla halijafikia hapa! Kwa faida ya watakao weza kukisoma!
 
Haya mambo jinsi wanavyo yazungumzia ndivyo yanavyozidi kuenea kwa kasi ni bora wangekaa kimya wakapambana kimya kimya.

Binafsi nimekuja kujua neno shoga nilipofikisha 28 Yrs. Haya mambo yapo tangu kuubwa kwa ulimwengu na wala hayawezi kuisha kwa namna yoyote ile.

Serikali ipambane kutatua matatizo ya watanzania ambayo ni umaskini,Shida za watanzania sio ushoga bali umaskini, ajira, mifumuko ya bei na n.k.
 
MODS NASHANGAA KUUNGANISHA MADA ambazo zina maudhui tofauti.
Mada yangu ilikuwa na maudhui ya kuonyesha mtiririko wa nchi za magharibi na mipango yao ya mbele juu ya Afrika.
Hotuba ya Mwakyembe ilikuwa ni kielelezo TU.

MODS mjifunze kuwa kunaweza kuwa na tofauti kubwa kati ya mada zifuatazo

-Jua limetoka leo
-Jua limechelewa kutoka leo
-Hatimaye jua limetoka leo
-Jua lilitakiwa lisitoke leo
-Kwa nini jua halikutakiwa kutoka leo

Vichwa hivyo vina maudhui tofauti na habari zilizomo kuhusu jua, michango yake ni tofauti sana.
Siwafundishi kazi, lakini kazi kwenu!!
 
Mwakyembe alishabugi
 
Hakika, ni taifa la hasara sana linaloachana na issue halisi kwenda kufuatilia watu wanavyofanya mapenzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…