Acha kuziba ufahamu wako, leo hii viongozi waanze kujadili mada za makalio si watakuwa watu wa hovyo? Wajadili mambo yenye tija katika taifa habari za makalio ni upuuzi mtupu ndio maana mtu mwenye akili timamu hawezi kuzungumzia, unapozungumzia mambo ya kuchokonoa makalio utaonekana mjinga, zungumzia mambo ya maana kama ajira miundombinu na mengineyolazima utakuwa shoga wewe, unaona wakihangaika na nyinyi ni hatari
ungenielewa kwanza nasema nn ,ungelingua nimemanisha nn ...umejibu bila kunielewa nasema nn nivema ungeniuliza namanisha nn ...na lisu hajawahi tamka huo upuuzi ila alijibu jambo kwamaneno ya kisheria kipindi hard talk BBC....kwamba hawezi ingilia mambo ya faragha zawatu na katiba ya nchi yetu inakataza hilo na Ili swala la ushongo nchini Tanzania lisitekelezwe au litekelezwe ifumuliwe au iangaliwe upya na sio kwasasa ,kimsingi ukifatilia Kwa ukaribu au undani kupitia Sheria hiyo ushoga umeruhusiwa kitambo nchini na utekelezaji wake niwasiri ....... Jiulize ni lini wewe umehojiwa na hata babako kwann unapendelea kulala pamoja na umri huo na wanaume wezakoAcha ujinga basi wewe, huyo Jamaa si ndiye alitetea kabisa hao kenge akidai hawezi kuingilia mambo ya faragha za Watu? Kupakuana vinyesi ndiyo mambo ya faragha? Nimekutukana kwa kilugha [emoji57]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
INDEED.Acha kuziba ufahamu wako, leo hii viongozi waanze kujadili mada za makalio si watakuwa watu wa hovyo? Wajadili mambo yenye tija katika taifa habari za makalio ni upuuzi mtupu ndio maana mtu mwenye akili timamu hawezi kuzungumzia, unapozungumzia mambo ya kuchokonoa makalio utaonekana mjinga, zungumzia mambo ya maana kama ajira miundombinu na mengineyo
Anataka kuleta confusion tu huyu ZEE LA USHOGA MWAKIEMBEHaikuwa na haja ya kutoa tangazo angewasema direct.
Viongozi wangapi wamepita na hawajawahi kuzungumzia huo upuuzi yeye kawezaje, kiongozi ukishazungumzia ujinga watu wanakudharauAnataka kuleta confusion tu huyu ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE
Twende taratibu mjukuuAnataka kuleta confusion tu huyu ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umejua kunichekesha walai [emoji1787][emoji1787][emoji119]
Sawa bibi, nasubiri mwongozo wako kwa heshima [emoji18][emoji847]Twende taratibu mjukuu
Wewe ni mjinga sana, hiyo ni RESEARCH QUESTIONNAIRE ambayo imeandaliwa na CHUO CHA MUHIMBILI kwa ajili ya kupata taarifa za homosexuality for academic purposes.
Huwezi kushughulika na ushoga bila kuelewa ushoga ni nini haswa, unakurupuka kama nyumbu na stori za jumla jumla za mabeberu, mara sijui unataka kuliwa kinyeo!
Ndio maana hawa wasomi wa MUHIMBILI wakaandaa madodoso ili kufanya utafiti wa ushoga nchini, na hiyo ilikuwa ni njia moja wapo ya kupata data kupitia hayo madodoso.
Kiranja wenu ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE anawaingiza chaka sana.
kiongozi ukishazungumzia ujinga watu wanakudharau
Tatizo sio kulawitiana tatizo kuhamasisha kurubuni na kulaghai watu wajiingize kwa hivo vitendoHakika, ni taifa la hasara sana linaloachana na issue halisi kwenda kufuatilia watu wanavyofanya mapenzi.
Sawa, lakini kumbuka sharti la kwanza la hizo dodoso ni kwamba, mahojaji (interviewees) wa hizo dodoso lazima wawe mashoga, na nina wasiwasi sana ilikuwaje wewe ukaenda huko!Kuna wapo walioendelea na hiyo project mkuu na sijataka nizungumze yote hapa- usiropokwe tu bila fact
Na siwezi weka personality za watu hapa coz i know - watu tulioudhuria kwenye ilee interview hapa wapo na wameona so nikianza kusema kuna watu walishiriki tendo watajisikiaje! Mkuu japo kuwa hawatanijua wazi lakini watahisi anaweza akawa fulani au fulani so usijiongeleshe ili upate mihemko ya wengine [emoji1478]
hakuna vita tulowahi kushinda,sababu hatuko serious. na hii naona tukishindwa mchana kweupeDkt Mwakyembe na viongozi wengine wakubwa Serikalini tafadhali zungumzie mambo yenye tija katika Taifa letu ikiwemo ajira, elimu, miundombinu nakadhalika.
Swala la ushoga ni jambo la kipuuzi na halifai hata kidogo kuzungumzia. Swala hilo linahusiana na malezi kwahiyo wazazi na walezi wanapaswa kubeba hili jukumu. Kiongozi mkubwa serikalini unapozungumzia ni sawa na kushusha hadhi yako kwasababu ni swala linalohusiana na makalio leo hii tujadili makalio tutakuwa watu wa hovyo.
Wananchi wanataka kufahamu kuwa ni lini watapata ajira, ni lini gharama za maisha zitashuka, ni lini kodi itakuwa rafiki kwa wananchi na mengineyo mengi.
Wananchi watasinzia kwasababu maswali yao ya lini watapata ajira, lini gharama za maisha zitashuka bado hayajajibiwaUnaweza kulea watoto wako vizuri lakini wakaenda kuharibikia mtaani, ni jukumu letu sote, nyumbani, mitaani, ibadani nk.