Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
UD kuna lecturer shoga na analazimisha vijana kumla la sivyo anawashika Supp.Tunaomba kufahamu ni chuo gani? Na sehemu wanayo kwenda
Usikute yeye ndo mwakilishi kijiji kwaoNGO yake itakuwa imetajwa na Mwakyembe
Mwakyembe kuna vitu ameongea vina ka ukweli, ila siyo mtu wa kumuamini sana.Nimejaribu kutafakari taarifa ya mwakyembe siielewi.
1. Ni mbinu Zipi alizotumia kubaini hawa mashoga, serikali haikuweza?
2. Ana mantiki gani Kuja hadharani kujimwabafai yeyé kama yeyé. Kwa Nini asingeyapeleka hayo majina mapema. Kimyakimya.?
3. Nilitegemea nisikie akisema alishawasilsha majina Mda mrefu lakini hayajafanyiwa Kazi.
4. Je agenda ya ushoga imekuja kufifisha madai ya msingi ya wananchi na kuficha mazaifu makubwa ya serikali Awamu ya sita?
Chief Mwakyembe yuko sahihi ni juzi tu nimepata taarifa za mdada wa mtaani yupo kwenye hayo mafunzo na hivi leo jamaa walimjia na Cruiser yao kitaani nikachoka yaaaani.Hivi kabisa unamuamini Harison [emoji23][emoji23].
Makatazo ya jambo huwa hayapewi promo, ukiona jambo linasemwa sana jua wanaolisema sema wanalitaka.
Mwiko huwa hautangazwi
Ulitaka awataje lini, labda alikuwa hajakamilisha uchunguzi wake, kwahiyo unampinga??Ana nia nzuri...
Alikuwa wapi siku zote?
Kwa nini sasa?
Je, kuna wasiojulikana huko?
Mashirika mengi yanafundisha elimu ya mahusiano, afya ya uzazi, jinsi na jinsia. Tukiweza kutofautisha haya mambo tutafanikiwa sana hii vita.Chief Mwakyembe yuko sahihi ni juzi tu nimepata taarifa za mdada wa mtaani yupo kwenye hayo mafunzo na hivi leo jamaa walimjia na Cruiser yao kitaani nikachoka yaaaani.
Naungu mkomo....mimi nimtu wa Ndandalo hapa Kyela...ila tangu Harrison apigwe chini anafuta njia ya kurudi kwenye ulingo ila Kwa Kyela asahau labda huko Mbwani.
Ww sometimes kuna baadhi ya taarifa zinaleakage kwa manufaa zaidi unaweza kuta system imevujisha makusudi kuliokoa taifa....vitu huwa planned hawakurupuku
Halafu huwa sielewi kwann akitokea kiongozi akawa anafanya kampeni ya kutokomeza mashoga huwa kunatokea watu na vikundi vyao kumpinga, hawa watu wanakuwa na ajenda gani nyuma ya pazia, wanafurahia haya mambo au?
Hatujui tufiche wapi watoto wetu.
SureMiaka 20 ijayo tutakuwa na taifa la hovyo Sana.
Na wewe lazima mwanao awe shoga.Yani! Kama majinga vile. Kupenda kupinga kila kitu hadi vya msingi. Ila hii hata wapinge, message imetufikia sisi wazazi. Hatutakubali kuenezwa kwa mambo haya kwa makusudi kiasi hiki.
Wala sipo huko. Inakuwaje MTU binafsi anakuwa na taarifa za nchi nzima serikali haijuiWewe nawe ni wq upinde? Inamaana tatizo mtaani kwako hujaliona? Badala umsifie mwanaume katoka hadharani kulaani wewe unamuaattack!? Una akili wewe?