Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

tanzania haisapoti ushoga kamwe, inafahamika upo na serikali inashughulika nao kimya kimya bila kuropoka hovyo na hatimaye kuharibu diplomasia ya nje, Tanzania inaulaani ushoga, lakini kupiga kelele na matamko hakusaidii endapo hakuna actions za kiakili zinazoendelea chini chini, mwizi wetu atakamatwa kimya kimya!
 
tanzania haisapoti ushoga kamwe, inafahamika upo inashughulika nao kimya kimya bila kuropoka hovyo na hatimaye kuharibu diplomasia ya nje, Tanzania inaulaani ushoga, lakini kupiga kelele na matamko hakusaidii endapo hakuna actions za kiakili zinazoendelea chini chini, mwizi wetu atakamatwa kimya kimya!
Unamdanganya mwenzako, mashoga wapo kibao miaka na miaka.
 
Jambo hata liwe jema likigubikwa na nia ovu si jambo jema tena. Mwaka 2018 Mwakyembe akiwa kwenye baraza la Mawaziri swala la vita ya ushoga lilipamba moto baada ya Paul Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam kutangaza vita kali sana dhidi ya watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja.

Pamoja na vita kupamba moto serikali yetu chini ya Rais Magufuli ilijitenga na Makonda na kampeni yake kwa kile ilichokiita si msimamo wa serikali bali ni mawazo binafsi ya Makonda na kwamba serikali bado inaheshimu katiba na mikataba ya kimataifa iliyoiingia.

Rejea Serikali: Kampeni ya kupambana na Ushoga ya RC Makonda sio msimamo wa nchi
Katika kipindi hiki Dr Mwakyembe na wenzake wote waliokuwa vipenzi wa Magufuli walikaa kimya hakuna mtu aliyejitokeza kumuunga mkono Paul Makonda kwenye vita ya ushoga. Walimwacha Paul Makonda akikaangika kimataifa akipata kibano cha vikwazo mbalimbali mpaka sasa Paul Makonda haruhusiwi kukanyaga Ulaya. Kwa kauli hiyo ya serikali, serikali iliweza kupata misaada na mikopo mbalimbali kimataifa pamoja na kwamba uhusiano wa serikali ya awamu ya Tano kimataifa haukuwa mzuri sana.

Baada ya Rais Samia Suluhu kuingia ikulu ni wazi kwamba ushirikiano wa kimataifa umeimarika sana, serikali yetu inaweza kushirikiana na kupata Wawekezaji kutoka mataifa mbalimbali nje ya bara la Afrika. Sasa kumeibuka tena hili swala la vita ya ushoga watu walewale Mwakyembe, Majaliwa, Mpango, Ndugai etc waliomshauri Rais Magufuli amkane Makonda na kampeni ya vita dhidi ya watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja wanaibuka kama vinara wa vita dhidi ya ushoga ni nini kimebadilika?

Watu hao ni vipenzi wa mwendazake bila shaka hawafurahii kuona Mama Samia akifanya vizuri katika ushirikiano wa kimataifa na kuvutia Wawekezaji hivyo hii vita ya ushoga ni kama kichaka tu, lengo Lao Mama Samia aingie katika mtego huo ili nchi sasa ipate vikwazo kabambe sifa yake kimataifa iharibike, uwekezaji ushuke aweze kufeli. Hii ni vita ya madaraka inaonekana ndani ya CCM bado ni mbichi. Ukiangalia hata timing ya hizi press conference za Mwakyembe ni siku moja kabla ya ujio wa Makamu wa Rais wa Marekani. Ni kweli hili swala limeibuliwa na Uganda lakini hawa kina Mwakyembe wameona ni vyema wapite na upepo huu maana hakuna nafasi nyingine watapata ya kumharibia Mama Samia.

Chonde Chonde Mama Samia wakati kama huu ni wa kuwa makini sana na maamuzi yako, maadui zako wanakusubiri mitego yao inashawishi na kutamanisha sana
Wametumwa
 
Nyie mnaosali kwan hamuamin Mungu atamuinua Samia hata akipigwa ban ama ndo kusema apa ni vita ya wanadam , Allah hausik
 
Nimejaribu kutafakari taarifa ya Mwakyembe siielewi.

1. Ni mbinu zipi alizotumia kubaini hawa mashoga, serikali haikuweza?

2. Ana mantiki gani kuja hadharani kujimwabafai yeyé kama yeyé. Kwanini asingeyapeleka hayo majina mapema. Kimyakimya.?

3. Nilitegemea nisikie akisema alishawasilsha majina muda mrefu lakini hayajafanyiwa Kazi.

4. Je agenda ya ushoga imekuja kufifisha madai ya msingi ya wananchi na kuficha madhaifu makubwa ya Serikali awamu ya sita?
 
Mtakapojua lengo kuu la hizi promo za ushoga mnaojifanya kuzipinga, mtakua msha chelewa.

Kaeni kwenye vimbwetaa vya wanafunzi wa chuo, jinsi wanavyohamasika kuingia huko, hata wasiojua wanajisemea "tukashuhudie kwann unazungumzwa sana" wanaishia kugeuzana zamu zamu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtakapojua lengo kuu la hizi promo za ushoga mnaojifanya kuzipinga, mtakua msha chelewa.

Kaeni kwenye vimbwetaa vya wanafunzi wa chuo, jinsi wanavyohamasika kuingia huko, hata wasiojua wanajisemea "tukashuhudie kwann unazungumzwa sana" wanaishia kugeuzana zamu zamu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ningekuwa moderator ushakula life ban kitambo sana na mashoga wenzio.
 
Mtakapojua lengo kuu la hizi promo za ushoga mnaojifanya kuzipinga, mtakua msha chelewa.

Kaeni kwenye vimbwetaa vya wanafunzi wa chuo, jinsi wanavyohamasika kuingia huko, hata wasiojua wanajisemea "tukashuhudie kwann unazungumzwa sana" wanaishia kugeuzana zamu zamu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunaomba kufahamu ni chuo gani? Na sehemu wanayo kwenda
 
Nimejaribu kutafakari taarifa ya mwakyembe siielewi.

1. Ni mbinu Zipi alizotumia kubaini hawa mashoga, serikali haikuweza?

2. Ana mantiki gani Kuja hadharani kujimwabafai yeyé kama yeyé. Kwa Nini asingeyapeleka hayo majina mapema. Kimyakimya.?

3. Nilitegemea nisikie akisema alishawasilsha majina Mda mrefu lakini hayajafanyiwa Kazi.

4. Je agenda ya ushoga imekuja kufifisha madai ya msingi ya wananchi na kuficha mazaifu makubwa ya serikali Awamu ya sita?
Wewe nawe ni wq upinde? Inamaana tatizo mtaani kwako hujaliona? Badala umsifie mwanaume katoka hadharani kulaani wewe unamuaattack!? Una akili wewe?
 
Tumeshangaa anaposema ni mtandao mkubwa wenye viongozi kuanzia ngazi ya taifa, mkoa na wilaya, na anasema hayo mashoga yapo kitambo sana tu na yanatuchora
 
Mtakapojua lengo kuu la hizi promo za ushoga mnaojifanya kuzipinga, mtakua msha chelewa.

Kaeni kwenye vimbwetaa vya wanafunzi wa chuo, jinsi wanavyohamasika kuingia huko, hata wasiojua wanajisemea "tukashuhudie kwann unazungumzwa sana" wanaishia kugeuzana zamu zamu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnageuzana kwa raha zenu [emoji3]
 
Back
Top Bottom