Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Kinacho furahisha zaid kwenye hili sakata la ushoga na mashoga. Miaka khadhaa iliyopita hapa mtaani kwetu NARUNG'OMBE na SIKUKUU DSM tuLIkuwa tunaongopeana kwamba haya mambo ni ya WAARABU na WAISLAM. Hatimae muda wakuwajua wenyemali umefika sasa Dunia nnzima inafahamu ni baba la mababa UNITED STATE OF AMERICA (US) na wadogo zake UROPEAN UNION (EU)
 
Aisee! Yule alikuwa mwanamke kabisa anavaa sketi yani huwezi jua Ni mwanaume. Picha zake ziliwekwa kwenye front page ya magazeti ya shigongo. Siku hizi mtu ana ndevu anajifanya shoga Kama yule wa Kenya waliyemuua juzi.
Nakumbuka enzi zile, Magazeti ya udaku yalikuwa ya Sanifu, Kasheshe, Komesha, ni tsh=/ mia yule kenge alikuwa na sura ya kike full, ila mziki wa Taarabu umechangia pakubwa sana kuwakuza hawa viumbe.
 
Duuh kwa hio mzee Alson anatuletea maigizo ya kaole au sio? Yaan kila kitu kikaeleweka alafu analeta kujifanya Serikali haijui kumbe unajua kila kitu na amesema atataja sasa acha ataje maana Serikali inajua Ila imeficha Siri kutoka kwenye kiapo kua nitaficha Siri unajua ile ya nitaficha Siri sasa Siri ndio km hizo, mzee Alson Anika TU hakuna namna hio Siri sisi wengine tulikua hatuijui kumbe Serikali inajua na imeficha Siri ya baraza la mawaziri,
 
Hawa marekani ni shetani mwenyewe. Serikali ichukue hatua kali wala sio kusema mungu tuhurumie tu. Na huyo makamu wao akija akitaja suala la mashoga azomewe bila kujali.
 
Kwa hayo, jukwaa hili tulifanye la mashoga kufunguka kiroho safi ili kuwanusuru wengine.

Vijana, hata wazee, ambao mnajutia hali hiyo fungukeni ili muweze/tuweze kuwanusuru watoto ili tuweze kwa pamoja kuwa na mbinu za kukabiliana na kuishinda hii hali.

Naamini pamoja tutaweza.
 
N
Naona ushoga ushakuwa ni kama kick Fulani hivi ya watu kutoka nayo
 
Nilishawahi kusikia hilo jina na chanzo nilikuja kusikia ni kama karma baba yake alishawahi kufanya michezo mibaya watoto wa watu ndo chanzo

Alishakufa na kutoa harufu kama ni huyo.
Wakaja kufuatia wengine wengine ila hawakuvuma kama yule buibui asee.
Ila pale Travetinne na Lango Jiji pamechangia pakubwa sana kuwaharibu vijana.
Mimi mpaka wa leo nikimuona kijana anasikiliza Taarabu namuangalia mara mbili mbili.
 
Wakaja kufuatia wengine wengine ila hawakuvuma kama yule buibui asee.
Ila pale Travetinne na Lango Jiji pamechangia pakubwa sana kuwaharibu vijana.
Mimi mpaka wa leo nikimuona kijana anasikiliza Taarabu namuangalia mara mbili mbili.
Alikuwa anaitwa kasimu alikuwa na saluni ....mzee wake alikuwa anajifanya mtu wa dini kumbe ana historia ya kula watoto wa watu akapewa kama laana yatakuja tokea kwa mwanamke ndo hivyo mwanae akawa punga maarufu.

Siku alikuja misikiti ikikataa kumswali na alikuwa anatoa harufu ..kingine alikuwa mrefu kweny ngoma zile za Goi(majini) haswa wadigo humkosi ..Halafu alikuwa ukkmcheka anakupiga makofi😂😂😂
 
Mtahimili masharti kutoka wasaidizi wa budget ya nchi?
 
Ha! Aisee nakumbuka kitabu kimoja cha tamthilia iliyo andikwa na PATRICK CK inaitwa ANT EZEKIEL aisee WAANDISHI WANANDOTO KAMA SIO WANAYAFAHAMU HAYA MAMBO KWA KINA
 
Ha! Aisee nakumbuka kitabu kimoja cha tamthilia iliyo andikwa na PATRICK CK inaitwa ANT EZEKIEL aisee WAANDISHI WANANDOTO KAMA SIO WANAYAFAHAMU HAYA MAMBO KWA KINA
Emu type dodoso hicho kitabu kinaelezea nini kuhusu huyo ANT EZEKIEL alikuakuaje akafanyafanyaje mpaka akamuandikia kitabu nini kisa na chanzo?
 
Wakaja kufuatia wengine wengine ila hawakuvuma kama yule buibui asee.
Ila pale Travetinne na Lango Jiji pamechangia pakubwa sana kuwaharibu vijana.
Mimi mpaka wa leo nikimuona kijana anasikiliza Taarabu namuangalia mara mbili mbili.
Dume Rijali kabisa unasikiliza taarabu? Hata kama ni blood brother lazima nicheze mbali nawe nikikutilia shaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…