Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
Alikuwa clouds fm njia panda
Mmmmmmhmn uliconfirm alikuwa ameota matiti au pengine alikuwa anastuff sponges kwenye kifua kuweka muonekano wa matiti au pengine alifanyiwa transplant of which i doubt maana ni expensive kwa wakati huo uliosema nani atakuwa alimlipia?!Kwann aote matiti kama sio hormone
MuddyAunty Suzy au Muddy...?
Nisome tenaMbona sasa kama unamshambulia mwakyembe, kwan amefanya vibaya kusema anawatambua na kuwajua wahusika wa kampeni za ushoga hapa Tanzania na wageni kutoka nje ya inchi?!
Nisome tena utaelewa nazungumza nini mkuu.Kwani ukisema na wewe ni shoga kuna shida gani?
Pole demi 😜🤗🤗🤗Maandishi hayaonekani, wengine tuna tatizo la macho
Enzi hizo nipo Kino I think ni standard three hivi nimeliskia sana hilo jina aisee. Wazee wa Magoti...!Muddy
Arudi kwani alienda wapMwakyembe sio wa kumwamini anataka kurudi siasani.
Hawa wazee waliokwishajichokea na waliokwisha kula sana keki ya Taifa ndiyo wa kuwatanguliza mbele kwenye hii vita ya ushoga. Hawa hata wakipigwa ban na sunctiins mbalimbali wala haina noma, wanakuwa hawana cha kupoteza kwa sasa. Wameshafaidi dunia vya kutosha.
Mnawatanguliza vikongwe sio?
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
Mkuu ulikuwaga mzima karne ya 6 baada ya Kristo?Enzi hizo nipo Kino I think ni standard three hivi nimeliskia sana hilo jina aisee. Wazee wa Magoti...!
Noma sana arif...!
Mkuu ulikuwaga mzima karne ya 6 baada ya Kristo?
Wasije wakatupiga ban za kwenda kwao pia wakatunyima michongo. Ikiwa China mwenyewe ame surrender kwenye hili la mashoga na wasagaji sisi ni nani?Mnawatanguliza vikongwe sio?
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbinu ya kivita hiyo mzee. [emoji28]
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ikiwa China mwenyewe ame surrender kwenye hili la mashoga na wasagaji sisi ni nani?
Haikuwa kuongopeana. Hili suala lipo sana Zanzibar, Tanga, Lamu, Mombasa na Dsm. Kwa sasa limezagaa. Na waarabu wana hii michezo sana sema wao huwa wanapinga hadharani ila wanatenda gizani. Waislamu mimi sitaki wazungumzia.Kinacho furahisha zaid kwenye hili sakata la ushoga na mashoga. Miaka khadhaa iliyopita hapa mtaani kwetu NARUNG'OMBE na SIKUKUU DSM tuLIkuwa tunaongopeana kwamba haya mambo ni ya WAARABU na WAISLAM. Hatimae muda wakuwajua wenyemali umefika sasa Dunia nnzima inafahamu ni baba la mababa UNITED STATE OF AMERICA (US) na wadogo zake UROPEAN UNION (EU)
Ushoga ni kiki ya kisiasa.Naona ushoga ushakuwa ni kama kick Fulani hivi ya watu kutoka nayo