Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Nimefuatilia press conference ya Dr H Mwakyembe juu ya mikakati ya USAID shirika la misaada la Marekani katika jitihada zai kuanzisha mtandao wa mashoga kwa vijana nchini.
Kama Mwakyembe kapata hadi machapisho ya mikakati hiyo, basi tujue Serikali ina habari na mipango hiyo. Maana yake vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vina habari ya mipango hii, na viongozi wetu lazima wako briefed na ushetani huu.
Lakini wako kimyaa utafikiri hawapo nchini.
Nia ya mipango hii ni African depopulation. Nia ni kupunguza idadi ya waafrika masikini na hatimaye kuwatawala.
Mashoga hawazaliani.
Hii ni lazima ni strategy ya muda wa miaka si chini ya 50, ili iwazalie matunda wanayotegemea.
Mipango ya kishenzi kama hii hawawezi kuipeleka nchi zinazo jielewa kama China su Uarabuni.
Nampongeza Rais Museveni na Bunge la Uganda kwa kuwatemea mate usoni hawa watu wasio na haya wala moyo wa kumheshimu Mungu Muumba wa vyote.
Serikali yetu tukufu, AMKA NA SEMA NENO!
Kama Mwakyembe kapata hadi machapisho ya mikakati hiyo, basi tujue Serikali ina habari na mipango hiyo. Maana yake vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vina habari ya mipango hii, na viongozi wetu lazima wako briefed na ushetani huu.
Lakini wako kimyaa utafikiri hawapo nchini.
Nia ya mipango hii ni African depopulation. Nia ni kupunguza idadi ya waafrika masikini na hatimaye kuwatawala.
Mashoga hawazaliani.
Hii ni lazima ni strategy ya muda wa miaka si chini ya 50, ili iwazalie matunda wanayotegemea.
Mipango ya kishenzi kama hii hawawezi kuipeleka nchi zinazo jielewa kama China su Uarabuni.
Nampongeza Rais Museveni na Bunge la Uganda kwa kuwatemea mate usoni hawa watu wasio na haya wala moyo wa kumheshimu Mungu Muumba wa vyote.
Serikali yetu tukufu, AMKA NA SEMA NENO!