Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

amezungumza kama mzazi au mlezi na aliyazungumza katika kongamano lililokuwa likijadili jambo husika.
Sisi tunajua kauli ya serikali ni hii.
Screenshot_20230323-140642.jpg
 
Kwa hiyo wewe unaona hilo suala halina tija kwa taifa?
Yaani wewe huoni umuhimu wa Mwakyembe kulizungumzia?
Nini kinakuuma kwa yeye kulizungumzia?
Huyo MWAKIEMBE hana moral authority yoyote ya kuzungumzia ushoga.

Jitu JIZI FISADI limezeeka na kujichokea linawezaje kufokea ushoga?

Linatiririsha maudenda linatuzuga linapambana na vinyesi.
 
Dkt Mwakyembe na viongozi wengine wakubwa Serikalini tafadhali zungumzie mambo yenye tija katika Taifa letu ikiwemo ajira, elimu, miundombinu nakadhalika.

Swala la ushoga ni jambo la kipuuzi na halifai hata kidogo kuzungumzia. Swala hilo linahusiana na malezi kwahiyo wazazi na walezi wanapaswa kubeba hili jukumu. Kiongozi mkubwa serikalini unapozungumzia ni sawa na kushusha hadhi yako kwasababu ni swala linalohusiana na makalio leo hii tujadili makalio tutakuwa watu wa hovyo.

Wananchi wanataka kufahamu kuwa ni lini watapata ajira, ni lini gharama za maisha zitashuka, ni lini kodi itakuwa rafiki kwa wananchi na mengineyo mengi.
Nina wasiwasi na wewe,napata mashaka na wewe,Yan kiongoz asikemee kufilana .duuuuu dunia imeisha au wewe ni mmoja wào.kuna wakati napata tabu kidogo juu ya uwezo na fikra za watu hum jf.napata mashaka kidogo
 
umekimbilia Huku kuandika ujinga wako na unaona shida tukiwajadili mnatakiwa mjadiliwe na mtungiwe sheria kali, sheria ya sasa haiwatoshi badilikeni hampo salama tabia za kijinga hizi pelekeni kwa wajinga wenzenu ulaya huko,
 
Dkt Mwakyembe na viongozi wengine wakubwa Serikalini tafadhali zungumzie mambo yenye tija katika Taifa letu ikiwemo ajira, elimu, miundombinu nakadhalika.

Swala la ushoga ni jambo la kipuuzi na halifai hata kidogo kuzungumzia. Swala hilo linahusiana na malezi kwahiyo wazazi na walezi wanapaswa kubeba hili jukumu. Kiongozi mkubwa serikalini unapozungumzia ni sawa na kushusha hadhi yako kwasababu ni swala linalohusiana na makalio leo hii tujadili makalio tutakuwa watu wa hovyo.

Wananchi wanataka kufahamu kuwa ni lini watapata ajira, ni lini gharama za maisha zitashuka, ni lini kodi itakuwa rafiki kwa wananchi na mengineyo mengi.
Mwakyembe hana hadhi kihivyo.

Siku zote ni mtafuta kick.

Ndiyo maana kaweza kuongea anavyoongea.
 
Imagine kina mama wanajifungulia chini, maji bado changamoto, umeme wa manati halafu eti kama taifa tukae tunafatilia vinyeo vya watu!!

Ujinga all the way.
Nasikia wanawatanguliza vikongwe kwenye hii vita ya vinyesi.

Lengo ni kwamba, hawa vikongwe hata wakishughulikiwa na mabeberu haina shida sana kwa sababu wamekaribia kujifia.

Kwahiyo tegemea kuwaona vikongwe wengine wakijitokeza kwenye hii vita ya vinyesi.
 
Mwakyembe ameongea yake na wewe ongea yako hatuwezi nchi nzima tuzungumzie ajira ambazo hazipatikani na hazitapatikana. Sasa kama wanaume wanataka kufilana hata hizo ajira zikija hawawezi kufanya. Kwa sababu pamoja na mambo mengine Ushoga umesababishw akwa kiasi kikubw na uvivu na uzembe hivyo vijana wanakimbilia maisha rahisi
Comment yangu Bora ni hii
 
Mwanasiasa ni mwanasiasa, kwa hiyo hapo mwanzoni alikuwa hajui kama anawajua hao aliowaongelea mpaka hili tukio? Kwamba anasubiri nini kama anaona ana wajibu wa kutoa taarifa kwa vyombo husika?
Mwanasiasa si wa kumwamini, kuna anachotafuta.
Anatafuta KIKI KWA PIKIPIKI.

Amekuwa waziri kwa miaka SALASINI na hatukuona anafokea mashoga.

Leo limejichokea limezeeka linatiririsha maudenda ndo linajifanya linapambana na vinyesi.

Hii SIO KWELI.
 
Dkt Mwakyembe na viongozi wengine wakubwa Serikalini tafadhali zungumzie mambo yenye tija katika Taifa letu ikiwemo ajira, elimu, miundombinu nakadhalika.

Swala la ushoga ni jambo la kipuuzi na halifai hata kidogo kuzungumzia. Swala hilo linahusiana na malezi kwahiyo wazazi na walezi wanapaswa kubeba hili jukumu. Kiongozi mkubwa serikalini unapozungumzia ni sawa na kushusha hadhi yako kwasababu ni swala linalohusiana na makalio leo hii tujadili makalio tutakuwa watu wa hovyo.

Wananchi wanataka kufahamu kuwa ni lini watapata ajira, ni lini gharama za maisha zitashuka, ni lini kodi itakuwa rafiki kwa wananchi na mengineyo mengi.
Liendelee kufichwa au mnataka TU lifichwe Ili ccm waendelee kunufaika nalo
 
Cjaelewa hapo wanawatengeneza au wanawaibua,nahisi Huyu dada hukufanya utafiti yakinifu,kilichokuwa kinafanyika ni kuwabaini ,wanaelimishwa namna ya kujikinga na HIV wanapewa huduma za kitabibu IE uzazi wa mpango ,condom kupima HIV,PrEP nk ndo lilikuwa Lengo kuu la mradi,na si kwamba waliishia hapo miradi inaendelea kama kawaida inabadilishwa majina tu,kingine mbona kuwaattack Local NGOs while zinakuwa funded na int.NGOs na wala hazizungumziwi. Wao ni watekelezaji wa mwisho tu
 
Cjaelewa hapo wanawatengeneza au wanawaibua,nahisi Huyu dada hukufanya utafiti yakinifu,kilichokuwa kinafanyika ni kuwabaini ,wanaelimishwa namna ya kujikinga na HIV wanapewa huduma za kitabibu IE uzazi wa mpango ,condom kupima HIV,PrEP nk ndo lilikuwa Lengo kuu la mradi,na si kwamba waliishia hapo miradi inaendelea kama kawaida inabadilishwa majina tu,kingine mbona kuwaattack Local NGOs while zinakuwa funded na int.NGOs na wala hazizungumziwi. Wao ni watekelezaji wa mwisho tu
Huyo dada ni Mbwigila tu.
Anachofanya ni kupotosha. Hayo mashirika yana miradi yenye component ya kuwahudumia hao watu kama sehemu ya intervention na hawapo mashoga pekee, kuna watumiaji wa madawa ya kulevya na malaya wanaojiuza na wengineo ambao ni underserved.

Yeye anavyoongea utadhani labda wanawaandikisha na kwenda kuwaf**ranisha. Inawezekana, labda wapo wanao watengeneza, dunia kubwa hiim
 
Mzee alipataje namba zao mpaka hao viongozi wa huo mtandao?
Maana nasikiaga kwamba hivi vyama vya siri kama "furiimathoni" huwezi kujua siri zao mpaka uwe mwanachama[emoji848]
Kwa taarifa yako haya mambo yalivuma sana 2016 kuna mradi maarufu ulikuja miaka hiyo,ulikuja ma miongozo yake mmoja wapo ulishikwa kwa clip na mh pale..wananchi wa shy pamoja na baraza la madiwani waliamua kufunga ofisi mojawapo iliyojazwa na mh wakiwa na vilainishi kwa ajili ya kupewa mashoga ,uzi upo humu pia..hakuna siri mkuu haya mambo yapo mda tu ss hivi watu wanashtuka akati miradi ipo na inaenandelea kuchanja mbuga na mashirika yanatekeleza kama kawaida kwa kivuli cha ukimwi.
 
Huyo dada ni Mbwigila tu.
Anachofanya ni kupotosha. Hayo mashirika yana miradi yenye component ya kuwahudumia hao watu kama sehemu ya intervention na hawapo mashoga pekee, kuna watumiaji wa madawa ya kulevya na malaya wanaojiuza na wengineo ambao ni underserved.
Yeye anavyoongea utadhani labda wanawaandikisha na kwenda kuwaf**ranisha.
Inawezekana, labda wapo wanao watengeneza, dunia kubwa hiim
Amehemukwa aisee tatizo alikuwa anaenda kufanya utafiti kama mwizi ,kw nn basi aliwahoji watekelezaji wa mradi yy alitumia fikra zake binafsi na umbea wa mtaani au pengine hakuhoji mnufaika wa mradi hata mmoja.

Kwa anaetambua miradi hii vilivo hawezi kubaliana Naye, kaenda na upepo wa sasa alijua ataeleweka kwa empty set wengi.
 
Waziri wa zamani wa wizara mbalimbali amesema kuna chama la mashoga hapa Tanzania na wana uongozi wao wa kitaifa na kimataifa, kimkoa na kiwilaya atawataja na kukabidhi majina yao kwa mamlaka husika ili wachukue hatua.

Amesema anayo majina yao wote namba zao za simu na washirika wao wote

USSR

----
Mashoga wana mkurugenzi mkuu wao kabisa wa kuendeleza masuala ya ushoga Tanzania, jina lake ninalo na hata namba yake pia, nitawasilisha serikalini. Pia kuna wenyeviti wa mikoa na mtandao wa ufuatiliaji hadi vijijini

Kuna wahamasishaji wa masuala ya ushoga ngazi ya kanda, ninayo orodha ya majina yao pamoja na namba zao za simu. Na wahamasishaji hawa wapo kwa miaka mingi tu, naomba mtambue ndugu zangu hali ni mbaya sana

Kuna dodoso maalum la masuala ya ushoga ambalo ukilijaza linapelekwa Marekani, na pia kuna mwongozo maalum wa mafunzo ya mabadiliko ya tabia na mawasiliano ya wanaume wanaofanya ngono na wanaume wenzao, mwongozo huo upo

Na tumekaa na vijana ambao ni mashoga, niwaambie tu wanatamani kabisa kurudi katika hali ya zamani, ukimuuliza aliingiaje, mwingine anakwambia nilianza kidogo kidogo darasa la tatu hata sijui niliingiaje, na natamani kurudi. Ukimsikiliza machozi yanataka kutoka

"Sheria yetu ya kudhibiti ushoga inahitaji marekebisho, inapaswa kuwa na meno ya kutosha na kung'ata. Mfano kwa msagaji adhabu yake ni kati ya mwaka mmoja na miaka mitano jela au faini kati ya shilingi laki moja na laki tatu, na sheria hii inaangalia zaidi kufanyika kwa tendo, kuna umuhimu ikaangalia na mazingira ya kupelekea jinai hiyo kufanyika, na mara nyingi anakamatwa shoga lakini baasha hakamatwi

Kwa kufuru,upuuzi, uchafu na uasi na ushetani unaoufanywa na wanadamu hapa duniani, unafanya yaliyofanywa na Sodoma na Gomora kuwa 'cha mtoto

Kule Marekani, watoto wa miaka 5-7 wanafundishwa kwamba, umezaliwa na sehemu za siri za kiume lakini ukijisikia na ukipenda, unaweza ukaamua kuendelea kuwa mwanaume au la, na unaweza ukaoa mwanaume au mwanamke


Mwaka 2016 Serikali yetu ilimfukuza mwakilishi wa Mfuko wa Ukimwi wa Rais wa Marekani alituharibia watoto wetu sana, lakini sasa kuna mwanaume mwingine kutoka Marekani yupo hapa Dar es Salaam anatuharibia watoto wa kiume, na taarifa zake tumeshaziwasilisha polisi

Chanzo: Jambo TV
Mwakyembe hayawani au kanyimwa ruzuku. Alikuwa wapi miaka yote tangu atambue uchafu huu?
 
Ndugu Oxpower wewe ni mkongwe hapa jamvini nakuomba unisome tena katika comment yangu ya kwanza .

Sijasema tukae kimya kisa serikali inajua .

Ila mimi nasimama kuukataa unafiki wa huyo Alison , sababu kawa waziri wa sheria na nyanja zingine kubwa sio kuwa hakujua kuwa serikali haijui wala haina majina ya wahusika la Hasha .

Ila yeye anajaribu kujiweka mbele ati atawataja kwa minajiri ya kuwapa infomation serikali angali akijua fika serikali inajua kila kitu .

Je nikisema ni cheap politics nakosea ?
Je nikiuliza why hakuwataja siku aliyofanya press conference mpaka aweke ahadi ni kutafuta kurudi magazetini kwa kitu kilicho wazi nakosea ?

Je mimi ni nani nikubali kumuona mtu anamtukana mtoto wangu kilema ilihali na yeye ni kilema toka mda ?

Unafiki ni pale kutafuta nguvu ya umma kwa kitu kinachojulikana vilivyo na pia na wewe msaka nguvu ya umma ni wale wale .
Ni hayo ndugu .
Mimi hapa nasimama kuukataa unafiki wa Alison .
SIJAONA UNAFIKI WA MWAKYEMBE

Kila jambo linawakati wake,na wakati unategemeana na matukio yaliyopo. Yani ni sawa et naanza kujenga nyumbs leo unasema ni mnafiki kwanini sikujenga zamani na nilikua nmepanga.

Zingatia jukwaa alilozungumzia,kulikua na nini hadi akasema hivyo?

Mwakyembe ametushtua wengi na ametuambia wazi kuwa serikali yetu inayajua haya na imekaa kimya.

Amesema atataja!we unasema kwanini hajataja leo?kiongozi huoni kama unampangia mbinu wakati hata hujui hiyo list kaipataje?

Mwakyembe katika hili sioni kama ameleta cheap politics kwanza kwakua yupo CCM,na ameinanga serikali ya CCM,hivyo hapo hawezi pata teuzi yoyote kwakua anapingana na mabeberu yanatotupa misaada.

Binafsi naona tuungane nae hasa kwakua ametangaza vita ngumu,hapo sio CCM wala CDM watakua upande wake.

Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom