Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Makyembe ni mpumbavu sana aache kucheza na akili zetu, huu upumbavu wake unatusaidia nini sisi kama raia wanyonge wa nchi hii??

Kuna kitu kipo nyuma yao na hawa wako kundi wana malengo na maslahi yao, mbona makyembe anawashwa washwa hivi??

Nchi inaelekea kwenye uchaguzi, ni vurugu tu na ujinga ujinga tu lengo lao kuu, ni kupoteza kelele nyingi zisipigwe kuhusu tume huru ya uchaguzi na katiba mpya hilo tu hamna kitu kingine hapa

Tanzania tuna shida kubwa sana, raia tunahitaji katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, hapa kila rangi utaona na kila neno utasikia lengo ni kupoteza mda tu,

Ushoga ni siri usikute hata makyembe speakers hazipo sawa, kwani nani anajua?????
 
Kwa taarifa yako haya mambo yalivuma sana 2016 kuna mradi maarufu ulikuja miaka hiyo,ulikuja ma miongozo yake mmoja wapo ulishikwa kwa clip na mh pale..wananchi wa shy pamoja na baraza la madiwani waliamua kufunga ofisi mojawapo iliyojazwa na mh wakiwa na vilainishi kwa ajili ya kupewa mashoga ,uzi upo humu pia..hakuna siri mkuu haya mambo yapo mda tu ss hivi watu wanashtuka akati miradi ipo na inaenandelea kuchanja mbuga na mashirika yanatekeleza kama kawaida kwa kivuli cha ukimwi.
Sasa hautaki wapewe vilainishi kwanini?

Huoni hatari iliyopo ya kusambazwa ukimwi endapo hawatapewa vilainishi na condoms, kisha maambukizi yasambae kwenye jamii maana nyie ndio walaji wa mashoga.
 
Mwakyembe hayawani au kanyimwa ruzuku?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]
 
Huna taarifa kiongozi,kuna taasisi zinatafuta vijana na kuwapa mafunzo na pesa juu ili waliwe au wale tigo.niliposikia niliumia sana

Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
Hakuna kitu kama hichi, hizi ni propaganda za kisanii zinazoongozwa na kiranja wa mashoga ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE.

Hakunaga mtu anafundishwa kuliwa kijambio.
 
Kunalishoga lilitaka kunilete ukhanidi wake hapo Liquid uhasibu niliwaza wiki nzima nikajua kweli huu ushetani kumbeupo.

Mungu atuhurumie aondoe Roho za kushetani kwa hawawatu.
 
hivi hayo aliyoyasema kuhusu ushoga ni sahihi?,kwanini asiwape hixo taatifa serikali kimyakimya,ili wahusika wadakwe?
 
Nakubaliana na wewe mkuu. Ngoja tusubiri jina la Mkurugenzi wa ushoga na watenda kazi wake wamikoa na Wilaya.
Hahaha bwana James delicious alitajwa na kigwa bungeni. Waziri akaishia aibu. Sijui yule anacheo gani ? Maisha yake ni ya wazi mnoo. Hajifichi
 
Utafiti ndio wapewe na pesa?

Wewe utakuwa mburula ambaye haujawahi kukanyaga chuo kikuu. Na si ajabu ulihitimu SENTI KAJAMBA.

Utafiti kama huo ni kawaida sana kuwepo fungu la fedha kwa ajili ya kuwahoji wahusika. Hakunaga utafiti wa dezo dezo wa kuokota watu barabarani unawahoji bure bure kienyeji.

Research Questionnaires zote ambazo ni HOJAJI za kuandikwa au za kujazwa data, lazima wahusika waitwe mahali walipiwe na usafiri. Ndio maana wanapewa hiyo elfu tano. Na sio kwamba wanapewa hela ya KUFUNDISHWA USHOGA.

Nyie ndio mnawafundisha watoto ushoga huko majumbani, na tuna habari mnajifanya ni wajomba kumbe mafirauni. Usisingizie RESEARCH QUESTIONNAIRES.
 
Ulinzi wa Mungu uwe juu yako daktari mwakyembe hiyo vita ni kama corona baba ila Neema ya Mungu inakutosha R.ip Magufuli.
 
Nakumbuka huko Njombe walipelekewa vilainishi wabanduane vzr...Hizi NGO baadhi hovyo sana.
 
Makyembe ni mpumbavu sana aache kucheza na akili zetu, huu upumbavu wake unatusaidia nini sisi kama raia wanyonge wa nchi hii??

Kuna kitu kipo nyuma yao na hawa wako kundi wana malengo na maslahi yao, mbona makyembe anawashwa washwa hivi??

Nchi inaelekea kwenye uchaguzi, ni vurugu tu na ujinga ujinga tu lengo lao kuu, ni kupoteza kelele nyingi zisipigwe kuhusu tume huru ya uchaguzi na katiba mpya hilo tu hamna kitu kingine hapa

Tanzania tuna shida kubwa sana, raia tunahitaji katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, hapa kila rangi utaona na kila neno utasikia lengo ni kupoteza mda tu,

Ushoga ni siri usikute hata makyembe speakers hazipo sawa, kwani nani anajua?????
Na kwa jinsi haya manyumbu yanavyoshabikia ushoga, hata hiyo katiba na tume ya uchaguzi haitakuja kuwepo.

Yaani hapa wanapigwa KATAFUNUA ZA KIJASUSI za kuwapoteza kwenye mambo yasiyo na tija.
 
Back
Top Bottom