Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We nyumbu huwezi elewaSamia kukataa Kwenda kwenye Msiba wa Sarungi inaleta picha mbaya! Ni visasi ndani ya nafsi, Taasisi ya Ikulu haina ushauri mzuri juu ya mwenendo wa Rais, tunajua kisa ni @MariaSTsehai, kifupi Rais wa Nchi kaharibu,,,
Kutoka X
Una akiliLwaitama ni mpuuzi. Hata kama mimi ningekuwa Rais siwezi kwenda msiba wa mtu anayenitukana mitandaoni. Huo msiba unamhusu Maria kwa 100%. Kila mtu abebe msalaba wake. Pia msiba ni jambo la kifamilia zaidi.
Ulivyo jinga unazungumzia nchi ya kusadikikaHajafa Maria kafa Prof. Sarungi zingatia nafasi yake Tanganyika kwenye chama na serikali.. It is more about government protocals
Km ni mpuuzi mnalalamika nini kutohudhuria huo msiba. Mapumbavu nyie. Maria ni laana amemharibia babakeNi "mpuuzi" kama wapuuzi wanaomiuta mpuuzi wakitetea upuuzi wa wapuuzi waliojaa upuuzi kwa kutumia dhamana na ofisi za umma kipuuzi kwa kufanya upuuzi
Heri wapumbavu kuliko machawa kama wewe. Kwani amekutuma umtetee chawa wewe audhubillahi mina shaitwan rajiim?Km ni mpuuzi mnalalamika nini kutohudhuria huo msiba. Mapumbavu nyie. Maria ni laana amemharibia babake
Na wewe ni hovyo! Ma ccm yana visasi kama Lucifer!Lwaitama ni mpuuzi. Hata kama mimi ningekuwa Rais siwezi kwenda msiba wa mtu anayenitukana mitandaoni. Huo msiba unamhusu Maria kwa 100%. Kila mtu abebe msalaba wake. Pia msiba ni jambo la kifamilia zaidi.
Kwa Tz, msiba ni jambo la kifamilia, kijamii na kisiasa. Usisahau hilo.Lwaitama ni mpuuzi. Hata kama mimi ningekuwa Rais siwezi kwenda msiba wa mtu anayenitukana mitandaoni. Huo msiba unamhusu Maria kwa 100%. Kila mtu abebe msalaba wake. Pia msiba ni jambo la kifamilia zaidi.
Watoto wa juzi hawa hakuna kitu wanajua zaidi ya bando na smart phone mimi binafsi nimeshangaa sana mtu kama Prof Sarungi kuzikwa kama ajalitumikia Taifa nimeshangaa sana maana pana kipindi aliamua kwenda Hospital ya Tumbi kuhudumia wagonjwa wanaopata ajali kibaha maana yeye ni mtaalamu wa mifupa alikua anatibu wachezaji bure kama alivyomtibu George Masatu alieumia akicheza Timu ya Taifa huku FAT ikimtelekeza.Hajafa Maria kafa Prof. Sarungi zingatia nafasi yake Tanganyika kwenye chama na serikali.. It is more about government protocals
Samia ni mswahili wa kutupa, mwenye vinyongo na visasi na ana roho ya kichawiLwaitama ni mpuuzi. Hata kama mimi ningekuwa Rais siwezi kwenda msiba wa mtu anayenitukana mitandaoni. Huo msiba unamhusu Maria kwa 100%. Kila mtu abebe msalaba wake. Pia msiba ni jambo la kifamilia zaidi.
Tanzania wanaharakati wanataka kumpunguzia rais madaraka mengi sana aliyonayo kwenye katiba, na kumuongezea mengine ambayo hana hata kikatiba.
Yani ukifuatilia hizi kelele unaweza kufikiri Samia akitweet kitu Profesa Sarungi anaweza kufufuka.
We Specialize in Contradiction.
Bingwa kabisa alikuwaWatoto wa juzi hawa hakuna kitu wanajua zaidi ya bando na smart phone mimi binafsi nimeshangaa sana mtu kama Prof Sarungi kuzikwa kama ajalitumikia Taifa nimeshangaa saba maana pana kipindi aliamua kwenda Hospital ya Tumbi kuhudumia wagonjwa wanaopata ajali kibaha maana yeye ni mtaalamu wa mifupa alikua anatibu wachezaji bure kama alivyomtibu George Masatu alieumia akicheza Timu ya Taifa huku FAT ikimtelekeza.
Ni lini Maria amemtukana Rais? Usiishi kwa kukariri.Lwaitama ni mpuuzi. Hata kama mimi ningekuwa Rais siwezi kwenda msiba wa mtu anayenitukana mitandaoni. Huo msiba unamhusu Maria kwa 100%. Kila mtu abebe msalaba wake. Pia msiba ni jambo la kifamilia zaidi.
Unajuaje familia ya Sarungi inataka hayo mambo?Mkuu, yaani Msiba wa Prof. Sarungi Mwakilishi wa Rais ni Riz1, Naibu Waziri...? Kwa nini asimtume PM au DP wake kuupa uzito Uwakilishi wake...? Ni bora angekausha tu kwa vile wote tunajua bifu lake na Maria. Yaani Maria angechukulia poa akaja, sasa hivi angekuwa Segerea.