GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwangu Mimi lazima tu utashika Adabu zako zote.Wewe ni mashine ya matusi. Hongera sana Popoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwangu Mimi lazima tu utashika Adabu zako zote.Wewe ni mashine ya matusi. Hongera sana Popoma.
Kwahiyo marehemu alikuwa anamtukana au vipiLwaitama ni mpuuzi. Hata kama mimi ningekuwa Rais siwezi kwenda msiba wa mtu anayenitukana mitandaoni. Huo msiba unamhusu Maria kwa 100%. Kila mtu abebe msalaba wake. Pia msiba ni jambo la kifamilia zaidi.
Marehemu Philemon Sarungi na Maria ni watu wawili tofauti.Lwaitama ni mpuuzi. Hata kama mimi ningekuwa Rais siwezi kwenda msiba wa mtu anayenitukana mitandaoni. Huo msiba unamhusu Maria kwa 100%. Kila mtu abebe msalaba wake. Pia msiba ni jambo la kifamilia zaidi.
Msiba ni jambo binafsi la familia.Sasa kwanini unafikiri watu wanataka kumpa rais madaraka makubwa zaidi kwa kuhudhuria misiba? Halazimishwi ila ni mategemeo ya watu atoe salamu au kuhudhuria msiba wa mstaafu kama huyu.
kama unajua hayo ma beef sawa ila mategemeo ya watu hayakwepeki
Wapumbavu kupitilizaMsiba ni jambo binafsi la familia.
Huu ni msiba wa familia ya Sarungi, licha ya kwamba Prof. Philemon Sarungi alikuwa mtumishi wa umma.
Wewe kama si mtu wa familia huna haki ya kutaka msiba wa familia ya watu uweje.
Unaweza kulazimisha rais atoe salamu za rambirambi kwa familia wakati marehemu kaacha wosia rais asihusike kabisa na msiba huo, na rais kashaambiwa, ndiyo maana hakutoa hata salamu za rambirambi, na wewe unapiga kelele kwa kutojua hizo habari, kwa sababu si sehemu ya familia.
Waacheni watu wamzike baba yao wanavyotaka.
Msiweke siasa kwenye misiba ya watu.
Je Samia anamfahamu Sarungi?Samia kukataa Kwenda kwenye Msiba wa Sarungi inaleta picha mbaya! Ni visasi ndani ya nafsi, Taasisi ya Ikulu haina ushauri mzuri juu ya mwenendo wa Rais, tunajua kisa ni Maria Sarungi, kifupi Rais wa Nchi kaharibu.
Kutoka X.
View attachment 3267742
Angekuwa kajambakanani kama mimi na wewe, sawa. Public figure hiyo ndiyo maana hata taasisi za serikali zimetoa pole na baadhi ya viongozi kuhudhuria mazishi.Msiba ni jambo binafsi la familia.
Huu ni msiba wa familia ya Sarungi, licha ya kwamba Prof. Philemon Sarungi alikuwa mtumishi wa umma.
Wewe kama si mtu wa familia huna haki ya kutaka msiba wa familia ya watu uweje.
Unaweza kulazimisha rais atoe salamu za rambirambi kwa familia wakati marehemu kaacha wosia rais asihusike kabisa na msiba huo, na rais kashaambiwa, ndiyo maana hakutoa hata salamu za rambirambi, na wewe unapiga kelele kwa kutojua hizo habari, kwa sababu si sehemu ya familia.
Waacheni watu wamzike baba yao wanavyotaka.
Msiweke siasa kwenye misiba ya watu.
Hujaelewa somo bado.Angekuwa kajambakanani kama mimi na wewe, sawa. Public figure hiyo ndiyo maana hata taasisi za serikali zimetoa pole na baadhi ya viongozi kuhudhuria mazishi.
Hili jawabu 👆 👆 limekaa kitaalam zaidiTanzania wanaharakati wanataka kumpunguzia rais madaraka mengi sana aliyonayo kwenye katiba, na kumuongezea mengine ambayo hana hata kikatiba.
Yani ukifuatilia hizi kelele unaweza kufikiri Samia akitweet kitu Profesa Sarungi anaweza kufufuka.
We Specialize in Contradiction.
Hata kwa hoja ya "msiba ni jambo la jamii" kuna muktadha wa mambo fulani ya msiba kuachiwa familia.Msiba ni jambo la kijamii
Aliyekwambia mimi ni mfuasi au mwanachama wa CHADEMA ni nani?🤔Siku CHADEMA mkishika dola badilisheni katiba kuwe na kifungu kinachomlazimisha Rais kuhudhuria misiba. Vinginevyo ulichoandika ni upumbavu mtupu.
Kama ambavyo aliudhuria msiba wa mtu mdogo Bwana Mafuru kwa kuupa uzito na kupuuza msiba wa Waziri wa ulinzi Mstaafu Profesa Sarungi.Angeenda au asingeenda, haongezi wala kupunguza chochote kile.
Trivial issue.
Asante sana umenena vyema.Siasa kwenye misiba siyo jambo jema kabisa. Mara nyingi familia inasahaulika inaishia protocol kwa watu wasiohusika kabisa na mashada wanaweka waoMsiba ni jambo binafsi la familia.
Huu ni msiba wa familia ya Sarungi, licha ya kwamba Prof. Philemon Sarungi alikuwa mtumishi wa umma.
Wewe kama si mtu wa familia huna haki ya kutaka msiba wa familia ya watu uweje.
Unaweza kulazimisha rais atoe salamu za rambirambi kwa familia wakati marehemu kaacha wosia rais asihusike kabisa na msiba huo, na rais kashaambiwa, ndiyo maana hakutoa hata salamu za rambirambi, na wewe unapiga kelele kwa kutojua hizo habari, kwa sababu si sehemu ya familia.
Waacheni watu wamzike baba yao wanavyotaka.
Msiweke siasa kwenye misiba ya watu.
Sasa pale wewe ulimsikia nani akisema anawakilisha serikali?maana ata Waziri wa Afya au Naibu wake hakuwepo!Lini Profesa Sarungi aliwahi kumkemea mwanawe hadharani kwa tabia zake mbovu kama mwanaharamu; wakati mzee alifanya kazi vizuri na kustaafu serikalini?
Tuuache huu mjadala. Isitoshe kwa upande wa Chama alihudhuria Makamu Mwenyekiti Mzee Wasira na Serikali ilipeleka mwakilishi. Siyo misiba yote Mhe. Rais anahudhuria. Mfano hai, Mhe. Rais hakwenda Namibia kumzika Baba wa Taifa hilo, Sam Nujoma. Kwa CCM alikwenda KM, Balozi Dk. Nchimbi na Serikali VP Dk. Mpango. Pumzika kwa amani Profesa Sarungi.🙏🙏🙏
Professor Sarungi amewai kuwa Waziri wa ulinzi, kwaiyo pia JWTZ walipaswa kuhusika na mazishi yake.Asante sana umenena vyema.Siasa kwenye misiba siyo jambo jema kabisa. Mara nyingi familia inasahaulika inaishia protocol kwa watu wasiohusika kabisa na mashada wanaweka wao
Kuna binti mmoja alinisimulia jinsi alivyokasirika msiba wa baba yake ulivyotekwa na wanasiasa maarufu, wakaanza kutoa hotuba zao mpaka za kisiasa msibani kwao huyo binti.Asante sana umenena vyema.Siasa kwenye misiba siyo jambo jema kabisa. Mara nyingi familia inasahaulika inaishia protocol kwa watu wasiohusika kabisa na mashada wanaweka wao
Mkuu,Professor Sarungi amewai kuwa Waziri wa ulinzi, kwaiyo pia JWTZ walipaswa kuhusika na mazishi yake.
Kwenye hili la Professor Sarungi Samia kapuyanga sana,msitetee!!
Ipo siku wa Tz wataujuwa ukweli.. tuzidi kuliombea TaifaSamia kukataa Kwenda kwenye Msiba wa Sarungi inaleta picha mbaya! Ni visasi ndani ya nafsi, Taasisi ya Ikulu haina ushauri mzuri juu ya mwenendo wa Rais, tunajua kisa ni Maria Sarungi, kifupi Rais wa Nchi kaharibu.
Kutoka X.
View attachment 3267742