Dkt. Hussein Mwinyi adai Mzee Mwinyi hakuagiza azikwe Mkuranga

Dkt. Hussein Mwinyi adai Mzee Mwinyi hakuagiza azikwe Mkuranga

Zanzibar wana katiba yao ambayo haiwatambui watu wa Tanganyika kama ndugu zao

Mwinyi sio mnzazbar ni mtanganyika wa mkuranga

Mtu wa Tanganyika haruhusiwi kumiliki ardhi zanzibar lakini wanzazibar wanaruhusiwa huku Tanganyika

Mnzazbar anaruhusiwa kugombea uongozi Sehemu yeyote ile Tanzania lakini sisi Tanganyika ni Tanganyika tu
Hakuna uraia wa Zanzibar wala uraia wa Tanganyika.

Kuna uraia wa Tanzania tu.

Kwa hivyo, unaposema "Mtanganyika", hii dhana ni ya uzushi tu. Hakuna uraia wa "Mtanganyika".

Hakuna hata kabila la "Mtanganyika".

Haya. Tuseme kuna watu wa bara na Wazanzibari. Na Wazanzibari wabaguzi kweli, wanabagua watu wa bara.

Kama Wazanzibari wanabagua watu wa bara, na kina Mwinyi wameona sawa tu, wamelowea huko Zanzibar, wameoa huko, wameamua wazikwe huko, wewe tatizo lako nini?

Yani wewe leo unataka kusema unawapenda kina Mwinyi kuliko wanavyojipenda wenyewe?
 
Ina maana hamjui kuwa Mkuranga na pwani nzima imewahi kuwa himaya ya Zanzibar chini ya Sultan?.

Naona watu wanahusudu mipaka ya mkoloni mzungu wanadharau mipaka ya mkoloni mwarabu.
 
Tuna Uhakika gani kuwa na yeye hafanyi siasa …
Hili ni suala la burden of proof.

Wanaosema kwamba Mzee Mwinyi aliacha wosia azikwe Mkuranga, watoe proof kwenye hilo.

Wakishindwa, sio tu wanafanya siasa, bali pia wanafanya siasa za majitaka.

Hussein Mwinyi hawezi kutoa proof kwamba baba yake hajasema azikwe Mkuranga, ikiwa baba yake hajasema azikwe Mkuranga.

Mnataka proof gani sasa? Mnataka Hussein Mwinyi atie ushahidi wa sauti ya baba yaje, sauti ya maneno ambayo hajayasema?

Unaweza vipi kumshutumu Hussein Mwinyi kwamba anafanya siasa kwenye maneno ambayo hayana ushahidi wala uthibitisho ambayo hajayaanzisha yeye?
 
Wamtenge mara Ngapi Wazanzibar wabaguzi …wamemziria
Familia ya Mwinyi ina haki ya kuamua ndugu zao wazikwe wapi, bila kunyanyapaliwa. Hii ni haki ya kibinadamu, ni haki ya kufa na kuzikwa kwa heshima unazotaka, sehemu unayotaka.

Ni jambo la basic dignity and decency tu ambalo linatakiwa lipite malumbano yote ya siasa.

Tuna mambo mengi sana ambayo tunaweza kushikana mashati kisiasa, lakini si hili la kuzika.

Naona kama Watanzania wengi wanaoleta siasa kwenye mazishi wanakosa ustaarabu, wanakosa social graces, wanakosa kile Wafaransa wanachokiita "savoir faire", wanakosa kujua mipaka ya proper conduct iko wapi, wanakisa kujua kioi kinafaa kusemwa, wapi, kwa wakati gani, kwa namna gani.

Wanakosa kujua hoja ni ipi na kipi ni kiroja.

Familia ya Mwinyi haina umasikini wa scandals, tafuteni scandals nyingine mzishikie bango. Ziko nyingi tu, za huyo Mwinyi baba na Mwinyi mtoto.

Tukifika kwenye kuweka siasa katika mazishi, tena za uzushi na majungu tu, tutakuwa tunafanya siasa chafu sana.
 
Kwanza radio Mbao zinasema kazikwa kwao ..kule wamezika kitu tu
Mule mule.

Habari za uzushi, majungu, redio mbao, uchawi, mnazipenda kweli.

Kwa sababu hizi hazitaki kazi ya uthibitisho.

Ni za uvivu tu, unasema lolote tu.

Habari za uthibitisho hamzipendi.

Kwa sababu zinataka kazi ya kuthibitisha.
 
Nakazia 📌🔨🔩🔧
Habari ya ooh nilikuwa natania mara sikujua au ningejua hatuzitaki sisi!
Na hapo wakipigwa wapigwe tu, maana hamna jinsi.

Tatizo la hawa watu wengi, wanafanya mzaha, majungu, uzushi, siasa za majitaka mpaka kwenye mazishi.

Na ukiwasoma bila kuwaelewa, unaweza kufikiri wana point. Gigisu zinashonwa kwa kudarizi.

Na kuna watu wanachotwa kirahisi, kwa kukosa uchambuzi, wanawaamini.

Lakini, kimsingi hizi habari ni figisu, majungu, uzushi, siasa za majitaka tu.

Kibaya ninkwamba, kina Mwinyi, baba na mtoto, hawana umasikini wa scandals za kuwasema. Wana scandals kibao. Lakini, watu wenye uwezo mdogo wa kuchambua mambo, wameona hiki ka mazishi ndilo la muhimu.

Mwishowe Watanzania wakichambua wanaona hawa watu ni wehu tu, mtu mwenye akiki tumamu hutakiwi kumuandama mtu yeyote kwa uchaguzi wa sehemu ya kumzika baba yake.

Watu wameshindwa hata kuiachia familia ya Mwinyi uhuru izike mzee wao kwa amani. Mpaka Hussein Mwinyi anakuja kutoa statement, mtu yuko msibani.

Halafu, hawahawa watu wasiojua uhuru ni nini, wasioweza hata kuipa familia ya Mwinyi uhuru wa kuzika mzee wao kwa amani, watakuja kudai katiba mpya, watadai hii ya sasa haiwapi uhuru.

Unadai vipi uhuru wa katiba mpya wakati huwezi hata kumpa Hussein Mwinyi uhuru wa kumzika baba yake kwa amani?

Hivi, hawa watu wanaelewa hata uhuru ni nini?
 
Wabongo ni watu wa hovyo sana, wakibinywa kende waseme huo wosia wa kuzikwa mkuranga uwapi wataanza kulialia. Kumbaaafu zao.
 
Wabongo ni watu wa hovyo sana, wakibinywa kende waseme huo wosia wa kuzikwa mkuranga uwapi wataanza kulialia. Kumbaaafu zao.
Ni mambo ya aibu kabisa.

Bob Marley katika wimbo wake "Rat Race" aliimba "In the abundance of water, the fool is thirsty".

Katikati ya maji kibao, mjinga ana kiu.

Mwinyi baba na mwana wana scandals kibao tu ambazo watu wangeweza kuziongelea kuonesha udhaifu wao.

Lakini, wajinga wameshindwa kuziibua hizo, wameibua habari ya uzushi, ya majungu, ya siasa za majitaka, kuhusu wosia wa Mwinyi kutaka kuzikwa Mkuranga ambao mpaka sasa tunaona ni wa uzushi tu.

In the abundance of water, the fool is thirsty.


View: https://youtu.be/5Qe23LVs2O4?si=J5Xte8GOSABMiU_V
 
Ni mambo ya aibu kabisa.

Bob Marley katika wimbo wake "Rat Race" aliimba "In the abundance of water, the fool is thirsty".

Katikati ya maji kibao, mjinga ana kiu.

Mwinyi baba na mwana wana scandals kibao tu ambazo watu wangeweza kuziongelea kuonesha udhaifu wao.

Lakini, wajinga wameshindwa kuziibua hizo, wameibua habari ya uzushi, ya majungu, ya siasa za majitaka, kuhusu wosia wa Mwinyi kutaka kuzikwa Mkuranga ambao mpaka sasa tunaona ni wa uzushi tu.

In the abundance of water, the fool is thirsty.


View: https://youtu.be/5Qe23LVs2O4?si=J5Xte8GOSABMiU_V

Ni upuuzi kabisa mkuu.
Ajabu kuna wafuasi wao bendera fata upepo wanawaamini na kuzikuza hizi habari za uzushi.
 
Ni upuuzi kabisa mkuu.
Ajabu kuna wafuasi wao bendera fata upepo wanawaamini na kuzikuza hizi habari za uzushi.
Kibaya zaidi ni kwamba, kwa watu serious, ukianza kuchanganya mambo na kutuletea habari za upuuzi, siku nyingine hata ukituletea habari serious tunaanza kukuangalia na kujiuliza, huyu kweli anamaanisha haya mambo serious? Anayaelewa? Au kakariri tu anasema bila kuyaelewa?

Leo mtu akiniletea habari za figisu kuhusu Hussein Mwinyi na mazishi ya baba yake Zanzibar, habari ambazo zipo ndani kabisa ya uhuru wa kifamilia katika familia ya Mwinyi, na ukiingilia hilo utaonekana hujui maana ya msingi kabisa ya uhuru, nitakuona huelewi uhuru ni nini, katika level ya msingi kabisa.

Sasa basi, mtu huyo huyo asiyeelewa uhuru ni nini katika level ya msingi kabisa kiasi cha kuleta siasa za figisu kwenye mazishi, kesho keshokutwa akirudi hapa anadai katiba mpya, akisema hii iliyopo inaminya uhuru, nitajiuliza sana kama huyu mtu anasema hivyo kwa kuelewa uhuru ni nini au anadai katiba mpya kwa kukariri kikasuku tu, anaidai katiba mpya kama sehemu ya figisu za kila siku tu, hata haelewi uhuru ni nini.

Maana, ni wazi huyu mtu haelewi uhuru ni nini. Angeelewa uhuru ni nini asingeihoji familia ya Mwinyi kwenye suala la uhuru wa msingi kabisa wa kifamilia wa kuamua mzee wao azikwe wapi.

Hawa wapinzani uchwara wanajiharibia image wenyewe kwa kuparamia mambo.

Ukimnyima Hussein Mwinyi uhuru wa kumzika baba yake anavyotaka, anapotaka, bila figisu, huna haki ya kudai uhuru wa katiba mpya, hustahili kupata katiba mpya. Kwa sababu wewe huelewi uhuru ni nini, in fact huna hata ustaarabu wa msingi kabisa.
 
Kibaya zaidi ni kwamba, kwa watu serious, ukianza kuchanganya mambo na kutuletea habari za upuuzi, siku nyingine hata ukituletea habari serious tunaanza kukuangalia na kujiuliza, huyu kweli anamaanisha haya mambo serious? Anayaelewa? Au kakariri tu anasema bila kuyaelewa?

Leo mtu akiniletea habari za figisu kuhusu Hussein Mwinyi na mazishi ya baba yake Zanzibar, habari ambazo zipo ndani kabisa ya uhuru wa kifamilia katika familia ya Mwinyi, na ukiingilia hilo utaonekana hujui maana ya msingi kabisa ya uhuru, nitakuona huelewi uhuru ni nini, katika level ya msingi kabisa.

Sasa basi, mtu huyo huyo asiyeelewa uhuru ni nini katika level ya msingi kabisa kiasi cha kuleta siasa za figisu kwenye mazishi, kesho koshokutwa akirudi hapa anadai katiba mpya, akisema hii iliyopo inaminya uhuru, nitajiuliza sana kama huyu mtu anasema hivyo kwa kuelewa uhuru ni nini au anadai katiba mpya kwa kukariri kikasuku tu, anaidai katiba mpya kama sehemu ya figisu za kila siku tu, hata haelewi uhuru ni nini.

Maana, ni wazi huyu mtu haelewi uhuru ni nini. Angeelewa uhuru ni nini asingeihoji familia ya Mwinyi kwenye suala la uhuru wa msingi kabisa wa kifamilia wa kuamua mzee wao azikwe wapi.

Hawa wapinzani uchwara wanajiharibia image wenyewe kwa kuparamia mambo.

Ukimnyima Hussein Mwinyi uhuru wa kumzika baba yake anavyotaka, anapotaka, bila figisu, huna haki ya kudai uhuru wa katiba mpya, hustahili kupata katiba mpya. Kwa sababu wewe huelewi uhuru ni nini, in fact huna hata ustaarabu wa msingi kabisa.
Uko sahihi sana.

Mimi si muumini wa siasa za bongo lakini nawaelewa sana baadhi wanasiasa wanaodai bongo hakuna wapinzani.

Akili ndogo sana na siku ambayo watanzania wakiamka wataacha kusapoti huu upuuzi wa siasa za jalalani.
 
Hii ndiyo Taarifa mpya ya sasa kama ilivyoripotiwa na MwanaHalisi Digital .

Husein Mwinyi ambaye ni Rais anadai wanaoeneza hilo wamelenga kumdhoofisha kisiasa (Hakufafanua kwamba watamdhoofishaje na wala hakusema Mzee kuzikwa Zanzibar kunamuimarishaje) na wala hakusema pia kama Mzee Mwinyi aliagiza akazikwe Zanzibar .

Zaidi soma hapa.

View attachment 2925536View attachment 2925539View attachment 2925540
Hata kwa akili ya kawaida sana yule Mzee asingeweza kuagiza eti akifariki akazikwe Mkuranga !
Ana watoto 12 na wajukuu kibao ambao wote wanafahamika ni wazanzibari
 
Back
Top Bottom