Matendo ya mzee mwinyi yanaonesha ya kwamba hakuwa na habari tena na Tanganyika.Wazazi wake wamezaliwa wapi?
Wazazi wake wamezikwa wapi?
Na yeye Mwinyi amezaliwa wapi?
Mtu kupelekwa mahali nje ya nyumbani iwe ndani nchini au nje ya nchi kwa ajili ya masomo na kutafuta maisha, hata akae muda gani, haihalalishi kuwa ndio nyumbani kweao!
Yeye baba yake ni mwarabu wa kutokea yemen.....aliyezaliwa unguja.......hao waliomuuliza...wenyewe babu zao ni wamanyema wa kongo au ujiji......na wengine baba zao ni waarabu au machotara wa kiarabu.Si dhani kwani Hao waliomuuliza wao wenyewe hawana kwao
Unatumia nguvu mahali pasipotakiwa nguvu.Chadema mbumbumbu
Umekosa kazi ndg?
Kule Wakinga walienda Kufanya Vibarua vya Kupasua Mbao Maporini Wakitokea Iringa /Njombe na Wakatajilikiemo humohumo. Unachotakiwa kujua Mbeya ni Mkoa wa Wanyakyusa na Wasafya Wengine Wenyeji wa Mbeya ni Wamalila (Songwe kwasasa), Wanyia (Songwe Kwasasa), Wandali. Haya Makabila ndiyo yenye asili ya Mbeya. Sugu ni Mkinga kwao ni Iringa (Makete).Aliyekuambia Mbeya ni ya wanyakyusa tu ni nani ?
Yeye baba yake ni mwarabu wa kutokea yemen.....aliyezaliwa unguja.......hao waliomuuliza...wenyewe babu zao ni wamanyema wa kongo au ujiji......na wengine baba zao ni waarabu au machotara wa kiarabu.
Issue ilikua madaraka 🤣🤣
Angekaa zake kimya tu, huyu jamaa Huwa hawezi Kukaa na jambo kifuani yaani yeye akisemwa kidgo tu anakimbilia kujibu wakina Charles Hilary wamshauri vizur boss wao kwamba sio Kila kitu anatakiwa kujibu mengine akae kimya awaachie wengine.Hivi Mwinyi hamnazo kiasi hiki?
Huseni ameogopa
kutengwa na wanzazibar angezikwa tu huku tanganyika. Wangemdhoofisha kisiasa wangesema huyu sio mnzazibar bali ni mtanganyika
Zanzibar wana katiba yao ambayo haiwatambui watu wa Tanganyika kama ndugu zao
Mwinyi sio mnzazbar ni mtanganyika wa mkuranga
Mtu wa Tanganyika haruhusiwi kumiliki ardhi zanzibar lakini wanzazibar wanaruhusiwa huku Tanganyika
Mnzazbar anaruhusiwa kugombea uongozi Sehemu yeyote ile Tanzania lakini sisi Tanganyika ni Tanganyika tu
Mwinyi hata sijui kwann ana waswas maana kwa siasa za Zanzibar hata asipofanya kampeni 2025 anapita asbhi na mapema tu hakuna upinzani Toka aondoke Maalim Seif, atulie tu afanye kazi wananchi wanaona kazi anayoifanya .Mambo ya akina mwinyi na uzanzibar unavuruga ,Mwinyi ni mtu wa mkuranga na itabaki hivyo
Tatizo linakuja sheria za zanzibar zinamuhitaji mnzanzibar awe Rais wa nchi
Mwinyi anakumbana na upinzani sana wa chini kwa chini ndani ya wana ccm wazanzibar toka kwenye kugombea
Hao ACT wazalendo wanatumia uraia kama fimbo ya kumchapia Mwinyi kila akinyanyua kichwa
Technically wangemzika Hayati Baba yake Mkuranga ndio ingekuwa sasa amejichimbia tanuru la moto kisiasa na yeye anakiri wasiomtakia mema ndio wanachochea
Nasikia pale Mzena alipata huduma nzuri kuliko jiweMzena alipata huduma Bora ambazo Zanzibar asingepata
Nasikia pale Mzena alipata huduma nzuri kuliko jiwe
Aliposema arudishe nyumban Zanzibar maana yake kama akifa azikwe hapo zanzibarPia katika sentensi hiyo hakuna Mzee aliposema akifia Zanzibar basi azikwe hukohuko
Rais akharibu hakuna qakurekbisha lkn wasaidizi wake wKiharibu rais aweze tengeneza.Angekaa zake kimya tu, huyu jamaa Huwa hawezi Kukaa na jambo kifuani yaani yeye akisemwa kidgo tu anakimbilia kujibu wakina Charles Hilary wamshauri vizur boss wao kwamba sio Kila kitu anatakiwa kujibu mengine akae kimya awaachie wengine.
Waulize wenyewe wabantu wa unguja na pemba waliowafukuza wakoloni waarabu......wanasema baba yake na babu yake walikua waarabu walowezi wa kutoka Yemeni na sio Oman..........ila mama yake ndio mbantu..........!!!Baba yake hatokei Yemen hao waliokudanganya sijui ni akina nani . yeye ni Mpemba wa Mkoani . Salim hana asili yoyote ya ushihirini.
Waliomuuliza ni wavamizi kutoka Tanganyika waliosaidiwa na Mvamizi mwenzao Laanatullahi Nyerere kukaa madarakani
Waulize wenyewe wabantu wa unguja na pemba waliowafukuza wakoloni waarabu......wanasema baba yake na babu yake walikua waarabu walowezi wa kutoka Yemeni na sio Oman..........ila mama yake ndio mbantu..........!!!
Sasa wabantu wa bara si walikua wanachukua visiwa vyao kutoka kwa wakoloni wa kiarabu..........na wabantu woote wa unguja na pemba si wametokea bara?????
Au wewe unajua wabantu wa zanzbar wametokea wapi???
NB: TATIZO LAKO WEWE UMETOKEA VIZAZI VYA WATUMWA WAKIBANTU KWA WAARABU WA ZANZBAR NDIO MAANA UNAMLAUMU KARUME NA NYERERE KUWAFUKUZA WAARABU........🤣🤣🤣🤣🤣 NAONA UWATUKANA KIARABU KWA JAZIBA 🤣🤣
Teteteteeeeeee itakuwa uko Ulaya au MarekaniMwinyi hata sijui kwann ana waswas maana kwa siasa za Zanzibar hata asipofanya kampeni 2025 anapita asbhi na mapema tu hakuna upinzani Toka aondoke Maalim Seif, atulie tu afanye kazi wananchi wanaona kazi anayoifanya .
Wew mwenyewe upo zenji ila babu yako alitoka tabora kwa wanyamwezi na akawa mtumwa wa waarabu zenji......bahati nzuri hawakumuhasi.....ndio maana leo upo.Niwaulize nani na ni jamaa yangu , Nyie watu mumezidi . Nyinyi wakristo wa Tanganyika mnaumwa sana na Zanzibar , kila wakati mnaweweseka Zanzibar mpaka kule Kagame anawapiku kiuchumi , kwa muda mfupi tu nchi imefika mbali , nyinyi bado na Zanzibar tu .
Unafikiri kila mtu mweusi ni mbantu au ni mwafrika ??
Elimu hii ya ngumbaro aliyowapa Laanatullahi Nyerere ni shida