Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Unataka kutuambia nini team kizimkazi.2021 ilianza hivihivi, miezi kama hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kutuambia nini team kizimkazi.2021 ilianza hivihivi, miezi kama hii.
Acha kuchulia wazee wetuWiki ya kufa vigogo
Uzee bonus, we jisahau tuAcha kuchulia wazee wetu
Karamagi anasemajeDkt. Msabaha alikuwa rafiki wa karibu wa Hayati Edward Lowassa. Msabaha alijiuzulu uwaziri wa Afrika Mashariki mwaka 2008 pamoja na Nazir Karamagi aliyepokea mikoba ya wizara ya nishati kutoka kwa Ibrahim Msabaha kutokana na kashfa ya Richmond.
Duh 🙄 !"Bado vigogo watano watakufa,Tena vigogo wenye majina yao"nabii Boniface victor unyakuo tv YouTube!!
Kweli kabisa !Uzee bonus, we jisahau tu
Na huko Mtwara kuna nini ?!MaKoNda kaponea chupuchupu kule mtwara
Maneno ya busara.wabongo tujifunze, wakati tunatafuta maisha tutafute Mungu pia, mali tutaziacha hata kama tukiibia sana nchi, zitabaki hapahapa, utakwenda na maji siku moja.
Dear kumbe upo.Inna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.
Duh 🙄 !Si vijana ni taifa la kesho, na miaka ya 70_90 ni ya mavuno ,tutasikia mengi.
Duh 🙄 !Huu mwaka unaondoka na wastaafu na ex government
Buzwagi 😱🙄Karamagi anasemaje
Yaan daah2024 mwaka wa mavuno.
MmeanzaHalafu ikafika tatehe 17th March
Msabaha classmate wako? Kumbe tuna vibabu humuR.i.P Classmate...😥
Mbona wewe haufi?R.i.P Classmate...😥