TANZIA Dkt. Ibrahim Msabaha afariki dunia

TANZIA Dkt. Ibrahim Msabaha afariki dunia

Dkt. Msabaha alikuwa rafiki wa karibu wa Hayati Edward Lowassa. Msabaha alijiuzulu uwaziri wa Afrika Mashariki mwaka 2008 pamoja na Nazir Karamagi aliyepokea mikoba ya wizara ya nishati kutoka kwa Ibrahim Msabaha kutokana na kashfa ya Richmond.
Karamagi anasemaje
 
Back
Top Bottom