Dkt. Janabi akijaribu hii kitu lazima aombe radhi

Dkt. Janabi akijaribu hii kitu lazima aombe radhi

Rozela

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
845
Reaction score
2,235
Sato mkubwa mwenye kilo 3 abanikwe naviungo na chumvi ya wastani mpaka akauke vizuri, halafu atengwe kwenye meza ya Dr Janabi na kaugali kadogo kama ngumi, pilipili iwepembeni iliyotengenezwa kwa ustadi.

Nawatakia usiku mwema.
images (25)~2.jpeg
 
Back
Top Bottom