Uchaguzi 2020 Dkt. John Magufuli bado tunamhitaji sana kama Taifa

Hiyo (iv) umeiandika wewe? Hayo mambo uliyasikia ukaungaunga - kutokana na hilo inaonyesha kuwa huna ushahidi wa yote uliyoyaorodhesha! Eti, miili ya watu kuokotwa kibiti! Hayo ndiyo madhala ya kuokoteza habari vijiweni vya kahawa!
 
Hé Will officially retire from politics in November this year after Lissu landslide victory in the coming general election.
I hope you will be visiting him at his Chato village which will be his official permanent address from then.
 
Jisemee wewe, usiwasemee wengine
 
Cha kushangaza wazungu wamempatia JPM kila tuzo, Mpaka majirani zetu wanamtaka wanamtaka akawaongoze... lakini baadhi ya wa tz. Wenye ubinafsi wanasema hafai... kweli NABII HAKUBALIKI KWAO. Ndio naweza kusema.
Kwangu Jpm hata aondoke Leo sina shida yeyote, wala kushituka.Nishamchoka...
 
When President Magufuli took over the reins of power from his predecessor Jakaya Kikwete in 2015, he promised to stick to the CCM manifesto, which implied continuity in terms of policies, but he did it in a very transformative way. It’s no wonder that the Magufuli administration has led Tanzania to achieve its goal of becoming a middle-income country 5 years earlier than it was initially projected. Thumbs up to the Bulldozer!! Magufuli5Tena
 
Shame on the author of this rubbish.
 
Nothing but propaganda at its best.
 
Kila nikiangalia, mahesabu yangu yananiambia kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 MAGUFURI anapigwa asubuhi na mapema tu

1. Kura za Kaskazini zitamkataa vibaya mno
2. Kura za kusini zitamkataa katakata
3. Kura za Waislamu ndiyo kabisaa maana teuzi zake nyingi wamezilalamikia
4.Kura za mji mikubwa kama Mbeya na Dar es salaam atazisikia katika bomba
5.Kura za Singida kwa Tundu Lissu na Nyalandu hizo asahau
6.Kura za wafanyakazi ambao hajawaongezea nyongeza za mishahara atazisikia katika bomba
7. Kura za Vijana wasio na ajira, Vijana wa vyuoni wanamwangalia wanasema hiiiiiii etc
8.Kura za Watanzania walioko kwenye social media wengi hawamkubali
9. Iringa atapigwa asubuhi na mapema tu
10.Kagera ndiyo kabisa wanasubiri wapitishe hukumu
11. Kule Kigoma kwa Mwami Zitto ndo asahau kabisa
12. Wafanyabiashara wanaosumbuliwa kodi na TRA wamenyuti hawana maneno mengi wanamsubiri kwa hamu wamsulubu
13. Wenye Magari waliogeuzwa ng'ombe wa kukamuliwa pesa na Matrafiki hawa wanamgojea kwa hamu kubwa wamuonyeshe kilichomnyoa kanga manyoya
 
We do not need this devious politician. He has murdered our fellow citizens. He is of no use to us.
 
Bora tupigwe mabomu kuliko kupigwa njaa tena miaka 5.Mabomu yanakwisha njaa huwezi imaliza huwezi ivumulia
Huna ujasiri huo, hapa unaandika tu. Mbowe mwenye chama katepeta, wewe ni nani?. Rubbish
 
Aina ya wazalendo kama Magufuli, wapo wachache.Upande ule wa Jirani, sioni naona faru John tu zimezagaa. Vibaraka wa beberu ur time has come.
 
Kama viongozi wa SADC tu walimsema kuwa he is incompetent basi atakuwa raisi wa Africa na dunia ya Chato
 
It’s no wonder that the Magufuli administration has led Tanzania to achieve its goal of becoming a middle-income country 5 years earlier than it was initially projected.


Middle income country ??!! ---- before he became president a kilo of sugar cost at 1,800/= just after he became the price skyrocketed to 2,500/= to 3,500/= in some places, and he keeps blind eyes on the menace etc, without legal salary increase to public workers in his 5 dark torturous years.
 
Huna ujasiri huo, hapa unaandika tu. Mbowe mwenye chama katepeta, wewe ni nani?. Rubbish
Ujui chochote,unadanganywa na mabosi zao, subiria mtakavyogeukwa Kama Bashir,Mugabe,ndipo utakapoelewa,wamepiga mabomu nyamongo na kilombero hakuna wananchi waliotawanyika wala kukimbia ndo mtaweza nchini nzima.Tendeni haki hofu ya nn Hali mmjenga flyover na kununua watz ndege
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…