Uchaguzi 2020 Dkt. John Magufuli bado tunamhitaji sana kama Taifa

SOMA HII KWA MAKINI KWANZA

FACT KUHUSU WATUMISHI NA MAGUFULI

Kwa kipindi Cha miaka mitano Rais Magufuli amewafanyia Nini watumishi wa Tanzania? Hili Ni swali ambalo huwa halijibiwi na kwa kutokuwa na taarifa Wapinzani wamekuwa wakipotosha baadhi ya Mambo.

1. Cha kwanza alichokifanya aliwaondoa kazini watumishi wote wa Umma waliokuwa na Vyeti fake Jumla yao ikiwa 15,508.

2. Jambo la Pili alifanya Uhakiki wa watumishi wa Umma na kugundulika kuwa Juma Watumishi hewa 19,708 walikuwa Ni hewa yaani analipwa mshahara mtu asiyekuwepo. Kwa kufanya hivyo alifanikiwa kuokoa shilingi bilioni 19. 8 kila Mwezi zilizokuwa zikipotea.

3. Jambo la tatu alilofanya kwa miaka mitano aliajiri Watumishi wapya 74,173. Kama nafasi za waalimu 13,000 zilizoombwa wataajiri mwaka huu kabla ya uchaguzi mkuu atafikisha Jumla ya watumishi 84,173 walioajiriwa kwenye awamu yake ya kwanza Kama Rais.

4. Jambo la nne lililofanyika Ni kwamba Jumla ya watumishi Waliopandishwa Vyeo katika kipindi Cha miaka mitano Hadi siku ya kulivunja Bunge walikuwa Jumla ya watumishi 306,917.

5. Jambo la tano muhimu lililofanyika kwenye awamu hii ya kwanza ya Rais Magufuli ni kulipa Madeni ya kimshahara na yasiyo ya kimshahara Jumla ya Bilioni 472.6.

6. Jambo la Sita na la muhimu Sana Ni kuwa alishusha Makato ya PAYE toka asilimia 11 Hadi asilimia 9 kwa wafanyakazi wote wa Serikali.

Watumishi wa Serikali wanaelewa ninachokiongea hapa. Wale wa story za vijiweni Karibu kwa kupinga.
 
Taifa hili lilipoteza Dira na mwelekeo Kabisa kwahiyo hakuna Kiongozi wa kuweza kututoa kwenye mkwamo huu zaid Dr John Pombe Magufuli peke yake
 
Taifa hili lilipoteza Dira na mwelekeo Kabisa kwahiyo hakuna Kiongozi wa kuweza kututoa kwenye mkwamo huu zaid Dr John Pombe Magufuli peke yake
Kariri hivyo labda wwe ndo ulikwama,

Ameua sekta binafsi
Ameua demokrasia
Ameua umoja wa kitaifa
Ameua biashara
Ameua uchumi
Ameua mzunguko wa pesa
Amelibomoa taifa
 
Is JPM Dictator? What Survey Says That?
Is yet another level of stupidity to wait for a survey to know the appalling acts of the dictator. Tanzanians always trail behind the world in choosing what’s best for them, no wonder magufuli managed to fool most people to think he’s genuine.
 
Aina ya wazalendo kama Magufuli, wapo wachache.Upande ule wa Jirani, sioni naona faru John tu zimezagaa. Vibaraka wa beberu ur time has come.
Mzalendo uangalia vipaumbele vya wananchi na sio vyake
 
Labda watumishi wa shetani na sio Hawa washindiao mihogo
 
Magufuli has introduced ways to save money, waged a war on corruption, and got rid of so-called government ghost workers. how can you call someone like this Dictator?
 
Ajui chochote kuhusu modern world, watu na maendeleo, Uhuru na maendeleo, sema we ndo unamuhitaji
 
Magufuli has introduced ways to save money, waged a war on corruption, and got rid of so-called government ghost workers. how can you call someone like this Dictator?
If you save money and invest in white elephant project is there any difference between save and waste money
 
Kama 5 yrs tu amejenga kwao mahoteli na uwanja wa ndege kijijini kwake akipewa 10 year si atahamishia hazina yetu kwao
 
Mkuu Pascal Mayalla seriously? Dissapointed to read this from you tena ulitilia maanani wewe ni mwandishi wa habari!
 
If you save money and invest in white elephant project is there any difference between save and waste money
A possession that is useless, when you get down to the nitty gritty, Tanzania has a lot to show in the way of effective projects. we may be making arguments but are you aware of the great projects that have been implemented and that are still being implemented in the wider interests of Tanzanians?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…