4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Amejichongea mwenyewe. Utanunuaje gari la 400m wakati kuna shule za msingi darasa moja wanakaa watoto zaidi ya 200 badala ya 45? Tena hapo hapo Geita mjini? Huo ni uzembe mkubwa wa kufikiri na kutenda.Huyo kachongewa na msukuma.
Kuna upuuzi mwingi sana unafanyika huko Halmashauri, CAG anagundua lakini hakuna kinachofanyika. Hii ya 460M ambapo DED alipata baraka zote is just the tip of the iceberg.Fedha zikatumwa GPSA na wakanunua GPSAPamoja na mlolongo wote huo Jumba bovu kapewa mtu mmoja
Amejichongea mwenyewe. Utanunuaje gari la 400m wakati kuna shule za msingi darasa moja wanakaa watoto zaidi ya 200 badala ya 45? Tena hapo hapo Geita mjini? Huo ni uzembe mkubwa wa kufikiri na ku
Amejichongea mwenyewe. Utanunuaje gari la 400m wakati kuna shule za msingi darasa moja wanakaa watoto zaidi ya 200 badala ya 45? Tena hapo hapo Geita mjini? Huo ni uzembe mkubwa wa kufikiri na kutenda.
Ndio maana nilisema hata angenunua kabombadia kakusafiria nje ya mkoa, kama utaratibu ulifuatwa basi hana kosa.Bajeti ya kununua lile gari ilipitishwa na Bunge la Jamhuri
Utekelezaji wake uliridhiwa na Baraza la Madiwani...
Acha kupotosha, Bagamoyo kulikuwa na wizi wa kutupwa, DT mpaka leo mgorofa wake unauzwa ila haujapata mnunuaji, so nyamaza kabisa.Kuwa DED maeneo anayotoka mtawala ni kazi ngumu sana
Nakumbuka ma DED wa Bagamoyo...
Acha kupotosha, Bagamoyo kulikuwa na wizi wa kutupwa, DT mpaka leo mgorofa wake unauzwa ila haujapata mnunuaji, so nyamaza kabisa.
Kwa Geita Mji hali ni shwari hakuna wizi pale.Kuna upuuzi mwingi sana unafanyika huko Halmashauri, CAG anagundua lakini hakuna kinachofanyika. Hii ya 460M ambapo DED alipata baraka zote is just the tip of the iceberg
Huyu DED kafukukuzwa baada ya info kuleak na wananchi kupiga kelele lakini kuna uozo mwingi tu ambao hufumbiwa macho. Magufuli mwenyewe alichota pesa kujenga uwanja kwake na kununua ndege bila budget lakini hakuna aliyewajibishwa
Ni tofauti kabisa na huyu DED, just imagine ni miongoni mwa wahakiki dhahabu kabla ya kusafirishwa - angekuwa mwizi hapo kungechimbika.Acha kupotosha, Bagamoyo kulikuwa na wizi wa kutupwa, DT mpaka leo mgorofa wake unauzwa ila haujapata mnunuaji, so nyamaza kabisa.
Lingeweza kukodishwa kwenye maharusi weekend likaingiza miamala kama shida ni hela tu.Kafanya yote lakini ni hilo moja ni baya kuliko aliyofanya, kwa sababu hilo gari halina faida katika manispaa hiyo, ni bora angejenga hata hoteli ingeweza kuzalisha ajira na kutoa mapato, lakini hilo gari ni kuongeza matumizi kwa kuwa ghalama ya vipuri ni bei ghali ukizingatia njia za geita bado ni za vumbi.
Kwa hiyo ameongeza matumizi zaidi na hilo ni hasara.
Mhe Dkt. John Joseph Pombe Magufuli, mtoto wako kaunyea mkono "msamehe".
Mkurugenzi kafanya mengi...
Kwani aliosuggest linunuliwe gari la bei hiyo ni nani?Bajeti ya kununua lile gari ilipitishwa na Bunge la Jamhuri
Utekelezaji wake uliridhiwa na Baraza la Madiwani...
This DED,from what I have come to know,there is nothing to forgive him for,because he hs done nothing wrong, Every thing he did,as far as the "V8" was concerned ,was done by the book.The president and the appointing authority,should have done,due diligence,before kicking him out,the process to procure the vehicle,was done from PM office.I come before you with due respect. As a young brother and good law abiding citizen i kindly and politely ask you The fifth president of our beloved country of Tanzania His excellence to forgive the fired DED of Geita and reinstate him.
This dude needs your forgiveness as a matter of fact is a deligent and hardworking. He built garden, he pioneered many projects and fought very hard against corruption.
Give him a second chance so that he can continue to impliment what he had not finished.
Making a mistake doesn't make you guilty. But repeating the same mistakes definitely makes you guilty.
I beseech you Mr. President forgive this dude and reinstate him to his post for the betterness of Geita and the nation in General.
Best regards
Unajua Kuna kitu mnachanganya hapa, Even process ilifuatwa kitu kikubwa kilicho angaliwa hapa how comes DED kumiliki gari la mil400 la kutembelea kweli?This DED,from what I have come to know,there is nothing to forgive him for,because he hs done nothing wrong, Every thing he did,as far as the "V8" was concerned ,was done by the book.The president and the appointing authority,should have done,due diligence,before kicking him out,the process to procure the vehicle,was done from PM office...