Dkt. John Pombe Magufuli akikubali tu, niko tayari kumpokea kijiti hicho 2025

Dkt. John Pombe Magufuli akikubali tu, niko tayari kumpokea kijiti hicho 2025

JF members, and Tanzanians!

Dkt John Pombe Magufuli amefanya mengi mazuri kwa taifa letu la Tanzania - ni ngumu kutaja kwa jina kila alichofanya lakini kwa uchache - elimu, afya, barabara na vivuko, uwajibikaji, makusanyo na kodi, matumizi ya fedha za umma na kukomesha Ufisadi ni miongoni mwa vita aliyoshinda nchini.

Vita ambayo bado ni ngumu kutokana na ongezeko la idadi ya watu ni pamoja AJIRA kwa vijana, mkakati wa kuwainua WAKULIMA, habari na vyombo vya habari, uwiano mkubwa wa mishahara ya watumishi wa Umma, kukawizwa kwa pensheni za wastaafu, na Katiba ya Warioba.

SASA
Dkt John Pombe Magufuli akiridhia nimpokee kijiti cha urais baada ya muda wake kufikia mwisho kikatiba basi maeneo niliyotaja hapo juu nitayapa kipaumbele bila kusahau core "muungano wetu na kulinda maslahi ya watangulizi wangu ambao ni Dkt John Pombe Magufuli, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, Mzee Ally Hassan Mwinyi, na familia ya mwasisi wa taifa Mwl Nyerere".

Kwa kuwa kuisha kwa uchaguzi mmoja ndiyo mwanzo wa uchaguzi mwingine basi nasubiri kipenga kipulizwe ili nipokee kijiti hicho kwa mwaka 2025 - 2030.

Siwachoshi niwasilishe
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais Magufuli!

Msakila M Kabende
Kigoma
11/01
Wewe amekuunyima hata u afisa tarafa,unaota kuwa rais?
 
🤣🤣🤣🤣🤣

Mnaifanya siasa kuwa nyepesi namna hiyo eeee?!!!

Yaani CCM yenye wanachama milioni 12....upewe wewe nafasi ya upendeleo kwa KUJINADI MWENYEWE TU ha ha ha ha ha duuuh......

Nilitegemea muda ukifika uchukue fomu na kuomba kuteuliwa Urais km wenzako wengine.....sikujua utakuja KIENYEJI NA KITOTO namna hiyo loooooh kweli MAGUFULI amefanya URAIS uonekane RAHISI....

Hongera kwake JPM na CCM ya awamu ya 5!!!
Ungenukuu katiba inasemaje vs wapi napwaya - nachofahamu ni kuwa ktk uongozi sitafahamu kila kitu, jambo na ili niongoze nitapaswa kuwaamini na kuwapa nafasi wasaidizi, wajuzi, na wataalam. Vinginevyo sidhani iwapo unanihukumu kwa haki
 
JF members, and Tanzanians!

Dkt John Pombe Magufuli amefanya mengi mazuri kwa taifa letu la Tanzania - ni ngumu kutaja kwa jina kila alichofanya lakini kwa uchache - elimu, afya, barabara na vivuko, uwajibikaji, makusanyo na kodi, matumizi ya fedha za umma na kukomesha Ufisadi ni miongoni mwa vita aliyoshinda nchini.

Vita ambayo bado ni ngumu kutokana na ongezeko la idadi ya watu ni pamoja AJIRA kwa vijana, mkakati wa kuwainua WAKULIMA, habari na vyombo vya habari, uwiano mkubwa wa mishahara ya watumishi wa Umma, kukawizwa kwa pensheni za wastaafu, na Katiba ya Warioba.

SASA
Dkt John Pombe Magufuli akiridhia nimpokee kijiti cha urais baada ya muda wake kufikia mwisho kikatiba basi maeneo niliyotaja hapo juu nitayapa kipaumbele bila kusahau core "muungano wetu na kulinda maslahi ya watangulizi wangu ambao ni Dkt John Pombe Magufuli, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, Mzee Ally Hassan Mwinyi, na familia ya mwasisi wa taifa Mwl Nyerere".

Kwa kuwa kuisha kwa uchaguzi mmoja ndiyo mwanzo wa uchaguzi mwingine basi nasubiri kipenga kipulizwe ili nipokee kijiti hicho kwa mwaka 2025 - 2030.

Siwachoshi niwasilishe
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais Magufuli!

Msakila M Kabende
Kigoma
11/01
Mpaka hapo hufai kuwa rais.

Kwa sababu, badala ya kuwaomba ridhaa wananchi watakaopiga kura, unamuomba ridhaa Magufuli.

Kwani unataka kuwa rais wa Magufuli au rais wa nchi?
 
Hii nchi ilibidi iongozwe na watu ambao wamefsnya mambo ya pekee kwa jamii, mtu Kama Bakheresa,Charles Kimei, Tundu Lisu, January Makamba, kuliko kuwapa watu wanaotaka kutajirika kupitia migongo ya Watz.
tundu lissu amefanya jambo gan la pekee, nlikuaga na imani na chadema but not anymore , ccm for life!
 
JF members, and Tanzanians!

Dkt John Pombe Magufuli amefanya mengi mazuri kwa taifa letu la Tanzania - ni ngumu kutaja kwa jina kila alichofanya lakini kwa uchache - elimu, afya, barabara na vivuko, uwajibikaji, makusanyo na kodi, matumizi ya fedha za umma na kukomesha Ufisadi ni miongoni mwa vita aliyoshinda nchini.

Vita ambayo bado ni ngumu kutokana na ongezeko la idadi ya watu ni pamoja AJIRA kwa vijana, mkakati wa kuwainua WAKULIMA, habari na vyombo vya habari, uwiano mkubwa wa mishahara ya watumishi wa Umma, kukawizwa kwa pensheni za wastaafu, na Katiba ya Warioba.

SASA
Dkt John Pombe Magufuli akiridhia nimpokee kijiti cha urais baada ya muda wake kufikia mwisho kikatiba basi maeneo niliyotaja hapo juu nitayapa kipaumbele bila kusahau core "muungano wetu na kulinda maslahi ya watangulizi wangu ambao ni Dkt John Pombe Magufuli, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, Mzee Ally Hassan Mwinyi, na familia ya mwasisi wa taifa Mwl Nyerere".

Kwa kuwa kuisha kwa uchaguzi mmoja ndiyo mwanzo wa uchaguzi mwingine basi nasubiri kipenga kipulizwe ili nipokee kijiti hicho kwa mwaka 2025 - 2030.

Siwachoshi niwasilishe
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais Magufuli!

Msakila M Kabende
Kigoma
11/01
Sawa umeeleweka
 
Mpaka hapo hufai kuwa rais.

Kwa sababu, badala ya kuwaomba ridhaa wananchi watakaopiga kura, unamuomba ridhaa Magufuli.

Kwani unataka kuwa rais wa Magufuli au rais wa nchi?
Dkt John Pombe Magufuli ni mwananchi namba 1, kiongozi namba 1, na mtawala namba 1.

Akiafiki atakuwa na uwezo mkubwa wa kuwaeleza wananchi wenzetu kwa nini mimi na si mwingine

Briefly, huu ni muda wa kuomba kuaminiwa na taasisi ya CCM, kisha wananchi watatupima na kufanya maamuzi kwa wakati mwingine ufuatao
 
Ukweli ni kwamba hata raundi ya 16 bora hufiki.Komalia uenyekiti wa CCM ngazi ya tawi(Kijiji/mtaa).
 
Back
Top Bottom