Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
- Thread starter
-
- #21
Hawatakujibu,Tundu lisu amefanya nini cha maana kwa watanzania?
Wewe amekuunyima hata u afisa tarafa,unaota kuwa rais?JF members, and Tanzanians!
Dkt John Pombe Magufuli amefanya mengi mazuri kwa taifa letu la Tanzania - ni ngumu kutaja kwa jina kila alichofanya lakini kwa uchache - elimu, afya, barabara na vivuko, uwajibikaji, makusanyo na kodi, matumizi ya fedha za umma na kukomesha Ufisadi ni miongoni mwa vita aliyoshinda nchini.
Vita ambayo bado ni ngumu kutokana na ongezeko la idadi ya watu ni pamoja AJIRA kwa vijana, mkakati wa kuwainua WAKULIMA, habari na vyombo vya habari, uwiano mkubwa wa mishahara ya watumishi wa Umma, kukawizwa kwa pensheni za wastaafu, na Katiba ya Warioba.
SASA
Dkt John Pombe Magufuli akiridhia nimpokee kijiti cha urais baada ya muda wake kufikia mwisho kikatiba basi maeneo niliyotaja hapo juu nitayapa kipaumbele bila kusahau core "muungano wetu na kulinda maslahi ya watangulizi wangu ambao ni Dkt John Pombe Magufuli, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, Mzee Ally Hassan Mwinyi, na familia ya mwasisi wa taifa Mwl Nyerere".
Kwa kuwa kuisha kwa uchaguzi mmoja ndiyo mwanzo wa uchaguzi mwingine basi nasubiri kipenga kipulizwe ili nipokee kijiti hicho kwa mwaka 2025 - 2030.
Siwachoshi niwasilishe
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais Magufuli!
Msakila M Kabende
Kigoma
11/01
Kwani ana cheo gani?Kabla ya mwaka huu kuisha utajua kafanya nini.Tundu lisu amefanya nini cha maana kwa watanzania?
Naamini Mungu atamuongoza ktk hili - akikataa basi akatae lkn hisia na matendo yangu nayaweka waziSijui kamma atakubali
Ungenukuu katiba inasemaje vs wapi napwaya - nachofahamu ni kuwa ktk uongozi sitafahamu kila kitu, jambo na ili niongoze nitapaswa kuwaamini na kuwapa nafasi wasaidizi, wajuzi, na wataalam. Vinginevyo sidhani iwapo unanihukumu kwa haki🤣🤣🤣🤣🤣
Mnaifanya siasa kuwa nyepesi namna hiyo eeee?!!!
Yaani CCM yenye wanachama milioni 12....upewe wewe nafasi ya upendeleo kwa KUJINADI MWENYEWE TU ha ha ha ha ha duuuh......
Nilitegemea muda ukifika uchukue fomu na kuomba kuteuliwa Urais km wenzako wengine.....sikujua utakuja KIENYEJI NA KITOTO namna hiyo loooooh kweli MAGUFULI amefanya URAIS uonekane RAHISI....
Hongera kwake JPM na CCM ya awamu ya 5!!!
Mpaka hapo hufai kuwa rais.JF members, and Tanzanians!
Dkt John Pombe Magufuli amefanya mengi mazuri kwa taifa letu la Tanzania - ni ngumu kutaja kwa jina kila alichofanya lakini kwa uchache - elimu, afya, barabara na vivuko, uwajibikaji, makusanyo na kodi, matumizi ya fedha za umma na kukomesha Ufisadi ni miongoni mwa vita aliyoshinda nchini.
Vita ambayo bado ni ngumu kutokana na ongezeko la idadi ya watu ni pamoja AJIRA kwa vijana, mkakati wa kuwainua WAKULIMA, habari na vyombo vya habari, uwiano mkubwa wa mishahara ya watumishi wa Umma, kukawizwa kwa pensheni za wastaafu, na Katiba ya Warioba.
SASA
Dkt John Pombe Magufuli akiridhia nimpokee kijiti cha urais baada ya muda wake kufikia mwisho kikatiba basi maeneo niliyotaja hapo juu nitayapa kipaumbele bila kusahau core "muungano wetu na kulinda maslahi ya watangulizi wangu ambao ni Dkt John Pombe Magufuli, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, Mzee Ally Hassan Mwinyi, na familia ya mwasisi wa taifa Mwl Nyerere".
Kwa kuwa kuisha kwa uchaguzi mmoja ndiyo mwanzo wa uchaguzi mwingine basi nasubiri kipenga kipulizwe ili nipokee kijiti hicho kwa mwaka 2025 - 2030.
Siwachoshi niwasilishe
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais Magufuli!
Msakila M Kabende
Kigoma
11/01
tundu lissu amefanya jambo gan la pekee, nlikuaga na imani na chadema but not anymore , ccm for life!Hii nchi ilibidi iongozwe na watu ambao wamefsnya mambo ya pekee kwa jamii, mtu Kama Bakheresa,Charles Kimei, Tundu Lisu, January Makamba, kuliko kuwapa watu wanaotaka kutajirika kupitia migongo ya Watz.
Sawa umeelewekaJF members, and Tanzanians!
Dkt John Pombe Magufuli amefanya mengi mazuri kwa taifa letu la Tanzania - ni ngumu kutaja kwa jina kila alichofanya lakini kwa uchache - elimu, afya, barabara na vivuko, uwajibikaji, makusanyo na kodi, matumizi ya fedha za umma na kukomesha Ufisadi ni miongoni mwa vita aliyoshinda nchini.
Vita ambayo bado ni ngumu kutokana na ongezeko la idadi ya watu ni pamoja AJIRA kwa vijana, mkakati wa kuwainua WAKULIMA, habari na vyombo vya habari, uwiano mkubwa wa mishahara ya watumishi wa Umma, kukawizwa kwa pensheni za wastaafu, na Katiba ya Warioba.
SASA
Dkt John Pombe Magufuli akiridhia nimpokee kijiti cha urais baada ya muda wake kufikia mwisho kikatiba basi maeneo niliyotaja hapo juu nitayapa kipaumbele bila kusahau core "muungano wetu na kulinda maslahi ya watangulizi wangu ambao ni Dkt John Pombe Magufuli, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, Mzee Ally Hassan Mwinyi, na familia ya mwasisi wa taifa Mwl Nyerere".
Kwa kuwa kuisha kwa uchaguzi mmoja ndiyo mwanzo wa uchaguzi mwingine basi nasubiri kipenga kipulizwe ili nipokee kijiti hicho kwa mwaka 2025 - 2030.
Siwachoshi niwasilishe
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais Magufuli!
Msakila M Kabende
Kigoma
11/01
Dkt John Pombe Magufuli ni mwananchi namba 1, kiongozi namba 1, na mtawala namba 1.Mpaka hapo hufai kuwa rais.
Kwa sababu, badala ya kuwaomba ridhaa wananchi watakaopiga kura, unamuomba ridhaa Magufuli.
Kwani unataka kuwa rais wa Magufuli au rais wa nchi?
Itakuwa anavuta cha CongoAcha kuvuta hayo majani kabla hujala! Vinginevyo lala ili uote ndoto ya maana!
Subiri kwanza tuimarishe uchumi wa ChatoPeleka siasa zako za Kenya huko! akikubali kwani idhini yake ndo kura za Watanzania wote!?
Mbona husemi Dodoma, Tabora au Kilimanjaro?Subiri kwanza tuimarishe uchumi wa Chato
Hawatakujibu,
Sana sana alizuia wananchi kuchangia ujenzi wa miundombinu Ikungi kisha yeye akaenda kula maisha Ubelgiji
NakuombeaNaamini Mungu atamuongoza ktk hili - akikataa basi akatae lkn hisia na matendo yangu nayaweka wazi
Nani anayefuata katiba sasa kwa Leo hii?Nachotamani ni kuwa kiongozi si mtawala wala boss - mamlaka ya kiuongozi yanatolewa na Katiba