Dkt. John Pombe Magufuli ameanza kuishiwa na rasilimali watu - siyo kawaida yake kukaimisha

Dkt. John Pombe Magufuli ameanza kuishiwa na rasilimali watu - siyo kawaida yake kukaimisha

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Wanabodi, Salaam.

Nimeona kupitia mitandao ya kijamii kuhusu utenguzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Igunga mkoani Tabora leo tarehe 28 Desemba, 2020.

Kwa ujumla iwapo Mkurugenzi huyo alikuwa na kasoro lazima atenguliwe kupisha wenye uwezo, ubunifu na wanaojali kuongeza mapato ya halmashauri, wanaoweza kutumia vizuri mapato yaliyokusanywa. Hata hivyo najiuliza na kuwauliza tu kutokana na utamaduni tuliozoezwa:-

(I). Siyo kawaida kutengua Mkurugenzi na kukaimisha nafasi hiyo - huenda ile bandika bandua imeisha kwa wenye sifa kukosekana?

(ii). Dkt John Pombe Magufuli huenda amefanya hivyo sababu yuko sikukuu za Christmas na mwaka mpya?

(iii). Athari za kukaimisha ni kubwa sababu aliyekaimishwa huwa hana hali ya kujiamini - maamuzi yake ya kutojiamini yanaweza kusababisha halmashauri kurudi nyuma kwa kasi.

Mapendekezo
Kama alivyotuzoeza ikitokea utenguzi basi na uteuzi ufanyike kwa kuwa najua kuna hazina kubwa ya wenye sifa i.e waliogombea ubunge uchaguzi mkuu, waliogombea ubunge kura za maoni, wakuu wa idara ktk sekretarieti za mikoa na halmashauri nk

Mwisho
Nimtakie afya njema yeye na wasaidizi wake lkn pia niwaombee mwaka mpya 2021 wenye fanaka.

Msakila M K
Kigoma
 
Nchi hii inaisha watu wa kushika nyazifa serikalini??

We sijui unaishi Kumhasha huko au Titye
 
Unataka upewe wewe?
We jamaa hovyo sana mwache ataweka mtu akipenda mwenyewe.
 
Tupo wengi tu mtaani.....
Siku tukihitajika tutafanya kazi pasipo kusita, wacha maisha yaendelee kwani vingine mpaji ni Mungu kupitia wanadamu.
 
Wanabodi, Salaam.

Nimeona kupitia mitandao ya kijamii kuhusu utenguzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Igunga mkoani Tabora leo tarehe 28 Desemba, 2020.

Kwa ujumla iwapo Mkurugenzi huyo alikuwa na kasoro lazima atenguliwe kupisha wenye uwezo, ubunifu na wanaojali kuongeza mapato ya halmashauri, wanaoweza kutumia vizuri mapato yaliyokusanywa. Hata hivyo najiuliza na kuwauliza tu kutokana na utamaduni tuliozoezwa:-

(I). Siyo kawaida kutengua Mkurugenzi na kukaimisha nafasi hiyo - huenda ile bandika bandua imeisha kwa wenye sifa kukosekana?

(ii). Dkt John Pombe Magufuli huenda amefanya hivyo sababu yuko sikukuu za Christmas na mwaka mpya?

(iii). Athari za kukaimisha ni kubwa sababu aliyekaimishwa huwa hana hali ya kujiamini - maamuzi yake ya kutojiamini yanaweza kusababisha halmashauri kurudi nyuma kwa kasi.

Mapendekezo
Kama alivyotuzoeza ikitokea utenguzi basi na uteuzi ufanyike kwa kuwa najua kuna hazina kubwa ya wenye sifa i.e waliogombea ubunge uchaguzi mkuu, waliogombea ubunge kura za maoni, wakuu wa idara ktk sekretarieti za mikoa na halmashauri nk

Mwisho
Nimtakie afya njema yeye na wasaidizi wake lkn pia niwaombee mwaka mpya 2021 wenye fanaka.

Msakila M K
Kigoma
Mbona wapo wengi sana hata humu JF.

Wewe huwaoni hata akina 'Mayala= Njaa, the Babtist, Magonjwa na wengi wengine wanaoshindana humu wawe kwenye mstari wa mbele?

Jaribu tu kumhimiza na wao awatupie macho. Hii kazi ya JF kila kukicha inachosha kwelikweli.
 
Anatembea na mafaili ya maafisa wote wa serikali ili ateue hapo kwa papo, hata huyo atakayekaimu anaweza kuthibitishwa pia, kwa hiyo punguza wenge.
 
Wanabodi, Salaam.

Nimeona kupitia mitandao ya kijamii kuhusu utenguzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Igunga mkoani Tabora leo tarehe 28 Desemba, 2020.

Kwa ujumla iwapo Mkurugenzi huyo alikuwa na kasoro lazima atenguliwe kupisha wenye uwezo, ubunifu na wanaojali kuongeza mapato ya halmashauri, wanaoweza kutumia vizuri mapato yaliyokusanywa. Hata hivyo najiuliza na kuwauliza tu kutokana na utamaduni tuliozoezwa:-

(I). Siyo kawaida kutengua Mkurugenzi na kukaimisha nafasi hiyo - huenda ile bandika bandua imeisha kwa wenye sifa kukosekana?

(ii). Dkt John Pombe Magufuli huenda amefanya hivyo sababu yuko sikukuu za Christmas na mwaka mpya?

(iii). Athari za kukaimisha ni kubwa sababu aliyekaimishwa huwa hana hali ya kujiamini - maamuzi yake ya kutojiamini yanaweza kusababisha halmashauri kurudi nyuma kwa kasi.

Mapendekezo
Kama alivyotuzoeza ikitokea utenguzi basi na uteuzi ufanyike kwa kuwa najua kuna hazina kubwa ya wenye sifa i.e waliogombea ubunge uchaguzi mkuu, waliogombea ubunge kura za maoni, wakuu wa idara ktk sekretarieti za mikoa na halmashauri nk

Mwisho
Nimtakie afya njema yeye na wasaidizi wake lkn pia niwaombee mwaka mpya 2021 wenye fanaka.

Msakila M K
Kigoma
Huko CCM yamejaa mapooza tupu ndiyo yanayosumbua hapa jukwaani ili yapate kuteuliwa lakini ameshawapima amewaona kuwa ni wasaka tonge tu ndiyo maana anachukua vijana toka Chadema.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
itakuwa umeanza kusahau yanayoendelea, si mara ya kwanza Rais kuteua kaimu na akakaa kwenye ukaimu kwa muda mrefu: mfano ni mkurugenzi wa TAKUKURU wa sasa alikaa kwenye ukaimu muda mrefu sana.

Anayekaimishwa ana hiari ya kukataa au kukubali na kukubali maana yake ni kukubaliana na majukumu yaliyo mbele yako. Kushindwa kutekeleza majukumu yako kisa kaimu na ukakubali nafasi hiyo ni kiashiria kingine cha tamaa mbaya ya madaraka.

Kitendo hiki cha kukaimisha naona kinafaa sana kwa kuwa kinamtayarisha mtu kwa kazi hiyo na mtu anayekaimishwa ataonyesha bidii ili apewe uteuzi kamili. Ni mawazo yangu
 
We si ndio uliandika uzi kuwa mfalme hajawahi kushindwa vipi tena?
 
Yeye mwenyewe anasitahili kutumbuliwa kwa kutumia zaidi ya 50% ya budget ya ulinzi kujilinda yeye mwenywe(ikiwemo na kulipa genge la wachawi & waganga wa Dunia)
 
Huko CCM hakuna watu makini inabidi Akune kichwa Sana,wakipewa waunga mkono toka upinzani wenyeji wanalalamika ili hali ni watupu
 
Wanabodi, Salaam.

Nimeona kupitia mitandao ya kijamii kuhusu utenguzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Igunga mkoani Tabora leo tarehe 28 Desemba, 2020.

Kwa ujumla iwapo Mkurugenzi huyo alikuwa na kasoro lazima atenguliwe kupisha wenye uwezo, ubunifu na wanaojali kuongeza mapato ya halmashauri, wanaoweza kutumia vizuri mapato yaliyokusanywa. Hata hivyo najiuliza na kuwauliza tu kutokana na utamaduni tuliozoezwa:-

(I). Siyo kawaida kutengua Mkurugenzi na kukaimisha nafasi hiyo - huenda ile bandika bandua imeisha kwa wenye sifa kukosekana?

(ii). Dkt John Pombe Magufuli huenda amefanya hivyo sababu yuko sikukuu za Christmas na mwaka mpya?

(iii). Athari za kukaimisha ni kubwa sababu aliyekaimishwa huwa hana hali ya kujiamini - maamuzi yake ya kutojiamini yanaweza kusababisha halmashauri kurudi nyuma kwa kasi.

Mapendekezo
Kama alivyotuzoeza ikitokea utenguzi basi na uteuzi ufanyike kwa kuwa najua kuna hazina kubwa ya wenye sifa i.e waliogombea ubunge uchaguzi mkuu, waliogombea ubunge kura za maoni, wakuu wa idara ktk sekretarieti za mikoa na halmashauri nk

Mwisho
Nimtakie afya njema yeye na wasaidizi wake lkn pia niwaombee mwaka mpya 2021 wenye fanaka.

Msakila M K
Kigoma
acha kuishi kwa mazoea.
 
Baba aliyeshindwa kuiunganisha familia yake hudharauliwa hata na sisimizi
.
IMG-20201226-WA0001.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi, Salaam.

Nimeona kupitia mitandao ya kijamii kuhusu utenguzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Igunga mkoani Tabora leo tarehe 28 Desemba, 2020.

Kwa ujumla iwapo Mkurugenzi huyo alikuwa na kasoro lazima atenguliwe kupisha wenye uwezo, ubunifu na wanaojali kuongeza mapato ya halmashauri, wanaoweza kutumia vizuri mapato yaliyokusanywa. Hata hivyo najiuliza na kuwauliza tu kutokana na utamaduni tuliozoezwa:-

(I). Siyo kawaida kutengua Mkurugenzi na kukaimisha nafasi hiyo - huenda ile bandika bandua imeisha kwa wenye sifa kukosekana?

(ii). Dkt John Pombe Magufuli huenda amefanya hivyo sababu yuko sikukuu za Christmas na mwaka mpya?

(iii). Athari za kukaimisha ni kubwa sababu aliyekaimishwa huwa hana hali ya kujiamini - maamuzi yake ya kutojiamini yanaweza kusababisha halmashauri kurudi nyuma kwa kasi.

Mapendekezo
Kama alivyotuzoeza ikitokea utenguzi basi na uteuzi ufanyike kwa kuwa najua kuna hazina kubwa ya wenye sifa i.e waliogombea ubunge uchaguzi mkuu, waliogombea ubunge kura za maoni, wakuu wa idara ktk sekretarieti za mikoa na halmashauri nk

Mwisho
Nimtakie afya njema yeye na wasaidizi wake lkn pia niwaombee mwaka mpya 2021 wenye fanaka.

Msakila M K
Kigoma

Wanabodi, Salaam.

Nimeona kupitia mitandao ya kijamii kuhusu utenguzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Igunga mkoani Tabora leo tarehe 28 Desemba, 2020.

Kwa ujumla iwapo Mkurugenzi huyo alikuwa na kasoro lazima atenguliwe kupisha wenye uwezo, ubunifu na wanaojali kuongeza mapato ya halmashauri, wanaoweza kutumia vizuri mapato yaliyokusanywa. Hata hivyo najiuliza na kuwauliza tu kutokana na utamaduni tuliozoezwa:-

(I). Siyo kawaida kutengua Mkurugenzi na kukaimisha nafasi hiyo - huenda ile bandika bandua imeisha kwa wenye sifa kukosekana?

(ii). Dkt John Pombe Magufuli huenda amefanya hivyo sababu yuko sikukuu za Christmas na mwaka mpya?

(iii). Athari za kukaimisha ni kubwa sababu aliyekaimishwa huwa hana hali ya kujiamini - maamuzi yake ya kutojiamini yanaweza kusababisha halmashauri kurudi nyuma kwa kasi.

Mapendekezo
Kama alivyotuzoeza ikitokea utenguzi basi na uteuzi ufanyike kwa kuwa najua kuna hazina kubwa ya wenye sifa i.e waliogombea ubunge uchaguzi mkuu, waliogombea ubunge kura za maoni, wakuu wa idara ktk sekretarieti za mikoa na halmashauri nk

Mwisho
Nimtakie afya njema yeye na wasaidizi wake lkn pia niwaombee mwaka mpya 2021 wenye fanaka.

Msakila M K
Kigoma
Ndugu kuhusu Rasilimali watu bado ipo kubwa tu nchini karibia kila mwaka zaidi wahitimu kutoka vyuo vikuu zaidi 1000 wanaomaliza katika ngazi mbalimbali za elimu hivyo Rais bado anayofursa kubwa tu ya uteuzi ....

Sasa naomba nikupe kitu chenye tija kama wewe wa kigoma basi jua kuwa , Kuna utafiti wa madini ulifanyika hapo kigoma miezi michache iliyopita , taasisi iliyofanya utafiti ni ya Serikali ilitumia gharama nyingi baada ya kufanya utafiti na kupata majibu , wataalam walirudi tena hapo Kigoma kwa ajili ya kutoa majibu juu ya kubainisha ni aina gani ya madini yanapatikana hapo kigoma ili utafiti wa kina ufanyike lakini uongozi wa mkoa wa Kigoma haukutoa ushirikiano wa aina yoyote mpaka leo. Watalaam walifanya juhudi ili kuonana na uongozi wa mkoa wa Kigoma kwa lengo la kutoa ripoti ya utafiti lakini uongozi haukutoa ushirikiano mpaka wa leo , hivyo watalaam wa serikali wakarudi walikotoka.Serikali ipo katika kubioresha sekta ya madini lakini viongozi wa serikali pia wapo kwa ajili ya kudumaza juhudi za serikali.
 
Back
Top Bottom