Dkt. John Pombe Magufuli amefanikiwa - tuchangie ujenzi wa madarasa

Dkt. John Pombe Magufuli amefanikiwa - tuchangie ujenzi wa madarasa

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Wanaccm, CHADEMA, CUF, NCCR, act nk Salaam!

Hakuna ubishi kwamba jitihada za Serikali inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli za kuondoa ada shuleni, zimepelekea ufaulu wa watoto wa shule za msingi kuongezeka sana.

Sasa tafadhali katika shule za Sekondari ambazo hazina miundombinu ya madarasa ya kutoshereza wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2021 wananchi tujitoe kwa hali na mali kujenga, kuchangia ujenzi wa madarasa ili watoto waliofaulu wajipatie Elimu ya bure.

= CHADEMA mwambieni hata Tundu Lissu kuwa akitujengea hata vyumba 50 tutathamini mchango wake badala ya kitushibisha dhihaka nyakati za uchaguzi.

= ACT Wazalendo mwambieni hata Bernard Membe kuwa akitujengea hata vyumba 31 tutathamini mchango wake badala ya kitushibisha dhihaka nyakati za uchaguzi. Hiki ndiyo kipimo cha uzalendo kwa ninyi mnaojiita wanaharakati.

Maendeleo hayana vyama!
Msakila M Kabende
Kigoma
 
Wanaccm, CHADEMA, CUF, NCCR, act nk Salaam!

Hakuna ubishi kwamba jitihada za Serikali inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli za kuondoa ada shuleni, zimepelekea ufaulu wa watoto wa shule za msingi kuongezeka sana.

Sasa tafadhali katika shule za Sekondari ambazo hazina miundombinu ya madarasa ya kutoshereza wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2021 wananchi tujitoe kwa hali na mali kujenga, kuchangia ujenzi wa madarasa ili watoto waliofaulu wajipatie Elimu ya bure.

= CHADEMA mwambieni hata Tundu Lissu kuwa akitujengea hata vyumba 50 tutathamini mchango wake badala ya kitushibisha dhihaka nyakati za uchaguzi.

= ACT Wazalendo mwambieni hata Bernard Membe kuwa akitujengea hata vyumba 31 tutathamini mchango wake badala ya kitushibisha dhihaka nyakati za uchaguzi. Hiki ndiyo kipimo cha uzalendo kwa ninyi mnaojiita wanaharakati.

Maendeleo hayana vyama!
Msakila M Kabende
Kigoma
Hakuna elimu bure hiz ni kodi zetu!
 
Wanaccm, CHADEMA, CUF, NCCR, act nk Salaam!

Hakuna ubishi kwamba jitihada za Serikali inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli za kuondoa ada shuleni, zimepelekea ufaulu wa watoto wa shule za msingi kuongezeka sana.

Sasa tafadhali katika shule za Sekondari ambazo hazina miundombinu ya madarasa ya kutoshereza wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2021 wananchi tujitoe kwa hali na mali kujenga, kuchangia ujenzi wa madarasa ili watoto waliofaulu wajipatie Elimu ya bure.

= CHADEMA mwambieni hata Tundu Lissu kuwa akitujengea hata vyumba 50 tutathamini mchango wake badala ya kitushibisha dhihaka nyakati za uchaguzi.

= ACT Wazalendo mwambieni hata Bernard Membe kuwa akitujengea hata vyumba 31 tutathamini mchango wake badala ya kitushibisha dhihaka nyakati za uchaguzi. Hiki ndiyo kipimo cha uzalendo kwa ninyi mnaojiita wanaharakati.

Maendeleo hayana vyama!
Msakila M Kabende
Wanaccm, CHADEMA, CUF, NCCR, act nk Salaam!

Hakuna ubishi kwamba jitihada za Serikali inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli za kuondoa ada shuleni, zimepelekea ufaulu wa watoto wa shule za msingi kuongezeka sana.

Sasa tafadhali katika shule za Sekondari ambazo hazina miundombinu ya madarasa ya kutoshereza wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2021 wananchi tujitoe kwa hali na mali kujenga, kuchangia ujenzi wa madarasa ili watoto waliofaulu wajipatie Elimu ya bure.

= CHADEMA mwambieni hata Tundu Lissu kuwa akitujengea hata vyumba 50 tutathamini mchango wake badala ya kitushibisha dhihaka nyakati za uchaguzi.

= ACT Wazalendo mwambieni hata Bernard Membe kuwa akitujengea hata vyumba 31 tutathamini mchango wake badala ya kitushibisha dhihaka nyakati za uchaguzi. Hiki ndiyo kipimo cha uzalendo kwa ninyi mnaojiita wanaharakati.

Maendeleo hayana vyama!
Msakila M Kabende
Kigoma
M

Wanaccm, CHADEMA, CUF, NCCR, act nk Salaam!

Hakuna ubishi kwamba jitihada za Serikali inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli za kuondoa ada shuleni, zimepelekea ufaulu wa watoto wa shule za msingi kuongezeka sana.

Sasa tafadhali katika shule za Sekondari ambazo hazina miundombinu ya madarasa ya kutoshereza wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2021 wananchi tujitoe kwa hali na mali kujenga, kuchangia ujenzi wa madarasa ili watoto waliofaulu wajipatie Elimu ya bure.

= CHADEMA mwambieni hata Tundu Lissu kuwa akitujengea hata vyumba 50 tutathamini mchango wake badala ya kitushibisha dhihaka nyakati za uchaguzi.

= ACT Wazalendo mwambieni hata Bernard Membe kuwa akitujengea hata vyumba 31 tutathamini mchango wake badala ya kitushibisha dhihaka nyakati za uchaguzi. Hiki ndiyo kipimo cha uzalendo kwa ninyi mnaojiita wanaharakati.

Maendeleo hayana vyama!
Msakila M Kabende
Kigoma
Pesa za watanzania mnazitumia vibaya;
Mf.kununua magari yenye gharama kubwa,mishahara mikubwa ya vigogo wa serikali na wabunge.Halafu mnaomba kusaidiwa.Nimekumbuka "ELIMU NI BURE",Hakuna kuchangisha wazazi.
 
Wanaccm, CHADEMA, CUF, NCCR, act nk Salaam!

Hakuna ubishi kwamba jitihada za Serikali inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli za kuondoa ada shuleni, zimepelekea ufaulu wa watoto wa shule za msingi kuongezeka sana.

Sasa tafadhali katika shule za Sekondari ambazo hazina miundombinu ya madarasa ya kutoshereza wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2021 wananchi tujitoe kwa hali na mali kujenga, kuchangia ujenzi wa madarasa ili watoto waliofaulu wajipatie Elimu ya bure.

= CHADEMA mwambieni hata Tundu Lissu kuwa akitujengea hata vyumba 50 tutathamini mchango wake badala ya kitushibisha dhihaka nyakati za uchaguzi.

= ACT Wazalendo mwambieni hata Bernard Membe kuwa akitujengea hata vyumba 31 tutathamini mchango wake badala ya kitushibisha dhihaka nyakati za uchaguzi. Hiki ndiyo kipimo cha uzalendo kwa ninyi mnaojiita wanaharakati.

Maendeleo hayana vyama!
Msakila M Kabende
Kigoma
Upuuzi mtupu.
 
LYATONGA MREMA wa TLP nae achangie mangapi mkuu?
 
Wanaccm, CHADEMA, CUF, NCCR, act nk Salaam!

Hakuna ubishi kwamba jitihada za Serikali inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli za kuondoa ada shuleni, zimepelekea ufaulu wa watoto wa shule za msingi kuongezeka sana.

Sasa tafadhali katika shule za Sekondari ambazo hazina miundombinu ya madarasa ya kutoshereza wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2021 wananchi tujitoe kwa hali na mali kujenga, kuchangia ujenzi wa madarasa ili watoto waliofaulu wajipatie Elimu ya bure.

= CHADEMA mwambieni hata Tundu Lissu kuwa akitujengea hata vyumba 50 tutathamini mchango wake badala ya kitushibisha dhihaka nyakati za uchaguzi.

= ACT Wazalendo mwambieni hata Bernard Membe kuwa akitujengea hata vyumba 31 tutathamini mchango wake badala ya kitushibisha dhihaka nyakati za uchaguzi. Hiki ndiyo kipimo cha uzalendo kwa ninyi mnaojiita wanaharakati.

Maendeleo hayana vyama!
Msakila M Kabende
Kigoma

Kodi imevunja rekodi, sasa kwanini hela zisitolewe huko mnataka watu watoe? Ccm ndio mmeiba kura, hivyo jengeni madarasa.
 
Hashim Rungwe wa CHAUMA anaetushibisha UBWABWA nae achangie mangapi?
 
Wanaccm, CHADEMA, CUF, NCCR, act nk Salaam!

Hakuna ubishi kwamba jitihada za Serikali inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli za kuondoa ada shuleni, zimepelekea ufaulu wa watoto wa shule za msingi kuongezeka sana.

Sasa tafadhali katika shule za Sekondari ambazo hazina miundombinu ya madarasa ya kutoshereza wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2021 wananchi tujitoe kwa hali na mali kujenga, kuchangia ujenzi wa madarasa ili watoto waliofaulu wajipatie Elimu ya bure.

= CHADEMA mwambieni hata Tundu Lissu kuwa akitujengea hata vyumba 50 tutathamini mchango wake badala ya kitushibisha dhihaka nyakati za uchaguzi.

= ACT Wazalendo mwambieni hata Bernard Membe kuwa akitujengea hata vyumba 31 tutathamini mchango wake badala ya kitushibisha dhihaka nyakati za uchaguzi. Hiki ndiyo kipimo cha uzalendo kwa ninyi mnaojiita wanaharakati.

Maendeleo hayana vyama!
Msakila M Kabende
Kigoma
Mataga bhana!!!
 
Wananchi tunajenga nchi kupitia kodi zetu sio njia nyingine. Michango ni usanii
Waponzani ni watu wa ajabu sana,hito misaada mnayoshadadia isitishwe kutoka nje mbona ni kodi na michango ya watu kutoka taasisi mbalimbali?

Undumilkuwili ni kitu kibaya sana!!!
 
Waponzani ni watu wa ajabu sana,hito misaada mnayoshadadia isitishwe kutoka nje mbona ni kodi na michango ya watu kutoka taasisi mbalimbali?

Undumilkuwili ni kitu kibaya sana!!!
Sasa kwa nini umeni quote mimi? [emoji3][emoji3]
 
Kwanza hujaweka namba ya simu..

Pili, Pesa yangu sitoi,

Tatu, MiTANO TENA...

Huyu mada zake zote ni kumsifia Magufuli, tatizo haweki number .. 🤣 🤣 🤣 🤣 ...

Ila swala la kukosa madarasa ni aibu kwa nchi yenye mandege kibao,.. mkuu wa kaya angefanya kubalance na ku prioritize mambo
 
Wanaccm, CHADEMA, CUF, NCCR, act nk Salaam!

Hakuna ubishi kwamba jitihada za Serikali inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli za kuondoa ada shuleni, zimepelekea ufaulu wa watoto wa shule za msingi kuongezeka sana.

Sasa tafadhali katika shule za Sekondari ambazo hazina miundombinu ya madarasa ya kutoshereza wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2021 wananchi tujitoe kwa hali na mali kujenga, kuchangia ujenzi wa madarasa ili watoto waliofaulu wajipatie Elimu ya bure.

= CHADEMA mwambieni hata Tundu Lissu kuwa akitujengea hata vyumba 50 tutathamini mchango wake badala ya kitushibisha dhihaka nyakati za uchaguzi.

= ACT Wazalendo mwambieni hata Bernard Membe kuwa akitujengea hata vyumba 31 tutathamini mchango wake badala ya kitushibisha dhihaka nyakati za uchaguzi. Hiki ndiyo kipimo cha uzalendo kwa ninyi mnaojiita wanaharakati.

Maendeleo hayana vyama!
Msakila M Kabende
Kigoma
Hizo hela za kulipa covid 19 chukueni mkajenge vyoo, chadema hawna haja ya kuwa na wabunge wa viti maalum
 
Wakati ule ruksa kuvuta sigara kwenye mabasi, kuna bwana mmoja aliwasha sigara pembeni yangu watu wakiwa wanachuma dawa, nilimwambia kistaarabu si ungeshuka ukavutia nje, alinijibu shuka wewe.

Changia wewe.
 
Back
Top Bottom