Dkt. John Pombe Magufuli, Dkt. Hussein Mwinyi na Maalim Seif watuzwe udaktari wa heshima

Dkt. John Pombe Magufuli, Dkt. Hussein Mwinyi na Maalim Seif watuzwe udaktari wa heshima

Siku ukitia akili kichwani UTAELEWA TU kwa sasa endelea na UMBUMBUMBU wako.
BAK, jamani hivi kweli tukio kama hili lililotokea Zanzibar hukuliona? Unataka viongozi wawe na mtima gani
 
Wanabodi, Salaam!

Kwanza nianze kwa kukupongezeni kwa uhai wenu ndani ya kundijamii hili - nafahamu kwamba pamoja na kuwa tumo watu wa itikadi tofauti za vyama vya siasa, dini tofauti, jinsia na makabila tofauti lkn bado tunatumia jukwaa hili kutoa ya akikini mwetu ili yasaidie kuijenga nchi yetu. Hongereni!

Pili nchi yetu imekuwa wakati mwingine ikipitia vipindi kadhaa vigumu hususan nyakati za uchaguzi mkuu - migogoro midogo kwa mikubwa imekuwa ikitokea miongoni mwa makundi ya wanasiasa na vyama vyao. Lkn ukomavu wa kidiplomasia walionao viongozi wetu ndiyo imekuwa kinga na msaada kwa taifa kutoingia kwenye machafuko na umwagaji damu.

Nasema haya kwa kuwa kitendo cha Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kufikia mwafaka unaotokana na mgogoro wa kiuchaguzi wa nyuma, wakati na baada ya tarehe 28 Oktoba kati ACT Wazalendo (Maalim Seif), na CCM (Dkt Magufuli na Dkt Mwinyi) cha kukubali kufanya kazi kama timu moja kinastahili pongezi nyingi sana na zawadi yenye kumbukumbu isiyofutika kwa viongozi hao.

Ndiyo sababu nashauri, napendekeza, na kuonelea kwamba viongozi hao watatu yaaani:-
(i) Dkt John Pombe Magufuli,
(ii) Dkt Hussein Mwinyi, na
(iii) Maalim Seif S Hamad - watunukiwe udaktari wa heshima kwa kukubali kumaliza mambo magumu na mazito kwa njia ya mazungumzo.

Nanyi CHADEMA, NCCR, CUF, nk jifunzeni maridhiano toka kwa wazee wetu hao. Wakati wa Mungu ukifika mtatawala - na kamwe tusisukumwe na hulka za Wabeligiji na vibaraka wengine ambao wana nia ovu kwa taifa letu

Msakila M Kabende
Bukoba
Kagera
06 Desemba, 2020.
Kweli kwa kuua wazanzibar wakati wa kampeni na kujitangaza washinda wanastahili kupewa udokta wa mauaji
 
Wanabodi, Salaam!

Kwanza nianze kwa kukupongezeni kwa uhai wenu ndani ya kundijamii hili - nafahamu kwamba pamoja na kuwa tumo watu wa itikadi tofauti za vyama vya siasa, dini tofauti, jinsia na makabila tofauti lkn bado tunatumia jukwaa hili kutoa ya akikini mwetu ili yasaidie kuijenga nchi yetu. Hongereni!

Pili nchi yetu imekuwa wakati mwingine ikipitia vipindi kadhaa vigumu hususan nyakati za uchaguzi mkuu - migogoro midogo kwa mikubwa imekuwa ikitokea miongoni mwa makundi ya wanasiasa na vyama vyao. Lkn ukomavu wa kidiplomasia walionao viongozi wetu ndiyo imekuwa kinga na msaada kwa taifa kutoingia kwenye machafuko na umwagaji damu.

Nasema haya kwa kuwa kitendo cha Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kufikia mwafaka unaotokana na mgogoro wa kiuchaguzi wa nyuma, wakati na baada ya tarehe 28 Oktoba kati ACT Wazalendo (Maalim Seif), na CCM (Dkt Magufuli na Dkt Mwinyi) cha kukubali kufanya kazi kama timu moja kinastahili pongezi nyingi sana na zawadi yenye kumbukumbu isiyofutika kwa viongozi hao.

Ndiyo sababu nashauri, napendekeza, na kuonelea kwamba viongozi hao watatu yaaani:-
(i) Dkt John Pombe Magufuli,
(ii) Dkt Hussein Mwinyi, na
(iii) Maalim Seif S Hamad - watunukiwe udaktari wa heshima kwa kukubali kumaliza mambo magumu na mazito kwa njia ya mazungumzo.

Nanyi CHADEMA, NCCR, CUF, nk jifunzeni maridhiano toka kwa wazee wetu hao. Wakati wa Mungu ukifika mtatawala - na kamwe tusisukumwe na hulka za Wabeligiji na vibaraka wengine ambao wana nia ovu kwa taifa letu

Msakila M Kabende
Bukoba
Kagera
06 Desemba, 2020.
Ukiona CCM wamefurahi kupita kiasi ujue huyo ni kuku wao hana haja ya manati
 
Wanabodi, Salaam!

Kwanza nianze kwa kukupongezeni kwa uhai wenu ndani ya kundijamii hili - nafahamu kwamba pamoja na kuwa tumo watu wa itikadi tofauti za vyama vya siasa, dini tofauti, jinsia na makabila tofauti lkn bado tunatumia jukwaa hili kutoa ya akikini mwetu ili yasaidie kuijenga nchi yetu. Hongereni!

Pili nchi yetu imekuwa wakati mwingine ikipitia vipindi kadhaa vigumu hususan nyakati za uchaguzi mkuu - migogoro midogo kwa mikubwa imekuwa ikitokea miongoni mwa makundi ya wanasiasa na vyama vyao. Lkn ukomavu wa kidiplomasia walionao viongozi wetu ndiyo imekuwa kinga na msaada kwa taifa kutoingia kwenye machafuko na umwagaji damu.

Nasema haya kwa kuwa kitendo cha Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kufikia mwafaka unaotokana na mgogoro wa kiuchaguzi wa nyuma, wakati na baada ya tarehe 28 Oktoba kati ACT Wazalendo (Maalim Seif), na CCM (Dkt Magufuli na Dkt Mwinyi) cha kukubali kufanya kazi kama timu moja kinastahili pongezi nyingi sana na zawadi yenye kumbukumbu isiyofutika kwa viongozi hao.

Ndiyo sababu nashauri, napendekeza, na kuonelea kwamba viongozi hao watatu yaaani:-
(i) Dkt John Pombe Magufuli,
(ii) Dkt Hussein Mwinyi, na
(iii) Maalim Seif S Hamad - watunukiwe udaktari wa heshima kwa kukubali kumaliza mambo magumu na mazito kwa njia ya mazungumzo.

Nanyi CHADEMA, NCCR, CUF, nk jifunzeni maridhiano toka kwa wazee wetu hao. Wakati wa Mungu ukifika mtatawala - na kamwe tusisukumwe na hulka za Wabeligiji na vibaraka wengine ambao wana nia ovu kwa taifa letu

Msakila M Kabende
Bukoba
Kagera
06 Desemba, 2020.
Itasaidia nini; waswahili kwa kupenda mataito hatujambo sana, ndiyo maana utakuta mtu anaitwa Mheshimiwa Rais Dr JPM, yaani title tatu kwa mpigo!

Uliwahi kusikia rais Obama akiitwa President Dr Obama au President Professor Obama ingawa kweli alikuwa professor wa Law University of Chicago na ana Juris Doctor degree. Au uliwahi kusikia Condoleeza Rice naye akiitwa Secretary Dr Rice, au Secretary Professor Rice ingawa alikuwa na Ph.D, na alikuwa professor and Provost (Cheif Academic Officer) wa Stanford! Ila sasa njoo kwetu uwasikie, hata wale wenye digrii za kununua kama Marehemu Makongoro Mahanga, Mary Nagu, Marehemu Disas Masaburi ( Huyu alinzisha shule ikaitwa "Dr. Didas Masaburi Secondary School"!) na wengine ambao walikuwa wengi sana kabla ya enzi za jiwe! Alipokuja huyo jiwe madarakani na kuanza kufuatilia elimu za kugushi wote wakazifuta title hizo haraka sana.
 
Wanabodi, Salaam!

Kwanza nianze kwa kukupongezeni kwa uhai wenu ndani ya kundijamii hili - nafahamu kwamba pamoja na kuwa tumo watu wa itikadi tofauti za vyama vya siasa, dini tofauti, jinsia na makabila tofauti lkn bado tunatumia jukwaa hili kutoa ya akikini mwetu ili yasaidie kuijenga nchi yetu. Hongereni!

Pili nchi yetu imekuwa wakati mwingine ikipitia vipindi kadhaa vigumu hususan nyakati za uchaguzi mkuu - migogoro midogo kwa mikubwa imekuwa ikitokea miongoni mwa makundi ya wanasiasa na vyama vyao. Lkn ukomavu wa kidiplomasia walionao viongozi wetu ndiyo imekuwa kinga na msaada kwa taifa kutoingia kwenye machafuko na umwagaji damu.

Nasema haya kwa kuwa kitendo cha Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kufikia mwafaka unaotokana na mgogoro wa kiuchaguzi wa nyuma, wakati na baada ya tarehe 28 Oktoba kati ACT Wazalendo (Maalim Seif), na CCM (Dkt Magufuli na Dkt Mwinyi) cha kukubali kufanya kazi kama timu moja kinastahili pongezi nyingi sana na zawadi yenye kumbukumbu isiyofutika kwa viongozi hao.

Ndiyo sababu nashauri, napendekeza, na kuonelea kwamba viongozi hao watatu yaaani:-
(i) Dkt John Pombe Magufuli,
(ii) Dkt Hussein Mwinyi, na
(iii) Maalim Seif S Hamad - watunukiwe udaktari wa heshima kwa kukubali kumaliza mambo magumu na mazito kwa njia ya mazungumzo.

Nanyi CHADEMA, NCCR, CUF, nk jifunzeni maridhiano toka kwa wazee wetu hao. Wakati wa Mungu ukifika mtatawala - na kamwe tusisukumwe na hulka za Wabeligiji na vibaraka wengine ambao wana nia ovu kwa taifa letu

Msakila M Kabende
Bukoba
Kagera
06 Desemba, 2020.
Wewe ni punguani. Hata ukisagwa sagwa kama mchangia na ukaumbwa tena upya huwezi kuwa na akili. Wasted sperm
 
Nakukumbusha umesahau kuweka namba yako ya simu.
 
Ukiona CCM wamefurahi kupita kiasi ujue huyo ni kuku wao hana haja ya manati
No thanks!
Siku zote tunaishi kwa maridhiano - masuala ya jino kwa jino huathiri taifa (uchumi hudorora, maisha ya watu hupotea, miundombinu ya umma huharibiwa). Maalim, Mwinyi na Magufuli wametumia busara sana
 
No thanks!
Siku zote tunaishi kwa maridhiano - masuala ya jino kwa jino huathiri taifa (uchumi hudorora, maisha ya watu hupotea, miundombinu ya umma huharibiwa). Maalim, Mwinyi na Magufuli wametumia busara sana
Kwa hiyo muwe mnaharibu uchaguzi makusudi kisa mtafanya maridhiano? shame on you
 
Back
Top Bottom