Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
- Thread starter
-
- #21
BAK, jamani hivi kweli tukio kama hili lililotokea Zanzibar hukuliona? Unataka viongozi wawe na mtima ganiSiku ukitia akili kichwani UTAELEWA TU kwa sasa endelea na UMBUMBUMBU wako.
Kweli kwa kuua wazanzibar wakati wa kampeni na kujitangaza washinda wanastahili kupewa udokta wa mauajiWanabodi, Salaam!
Kwanza nianze kwa kukupongezeni kwa uhai wenu ndani ya kundijamii hili - nafahamu kwamba pamoja na kuwa tumo watu wa itikadi tofauti za vyama vya siasa, dini tofauti, jinsia na makabila tofauti lkn bado tunatumia jukwaa hili kutoa ya akikini mwetu ili yasaidie kuijenga nchi yetu. Hongereni!
Pili nchi yetu imekuwa wakati mwingine ikipitia vipindi kadhaa vigumu hususan nyakati za uchaguzi mkuu - migogoro midogo kwa mikubwa imekuwa ikitokea miongoni mwa makundi ya wanasiasa na vyama vyao. Lkn ukomavu wa kidiplomasia walionao viongozi wetu ndiyo imekuwa kinga na msaada kwa taifa kutoingia kwenye machafuko na umwagaji damu.
Nasema haya kwa kuwa kitendo cha Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kufikia mwafaka unaotokana na mgogoro wa kiuchaguzi wa nyuma, wakati na baada ya tarehe 28 Oktoba kati ACT Wazalendo (Maalim Seif), na CCM (Dkt Magufuli na Dkt Mwinyi) cha kukubali kufanya kazi kama timu moja kinastahili pongezi nyingi sana na zawadi yenye kumbukumbu isiyofutika kwa viongozi hao.
Ndiyo sababu nashauri, napendekeza, na kuonelea kwamba viongozi hao watatu yaaani:-
(i) Dkt John Pombe Magufuli,
(ii) Dkt Hussein Mwinyi, na
(iii) Maalim Seif S Hamad - watunukiwe udaktari wa heshima kwa kukubali kumaliza mambo magumu na mazito kwa njia ya mazungumzo.
Nanyi CHADEMA, NCCR, CUF, nk jifunzeni maridhiano toka kwa wazee wetu hao. Wakati wa Mungu ukifika mtatawala - na kamwe tusisukumwe na hulka za Wabeligiji na vibaraka wengine ambao wana nia ovu kwa taifa letu
Msakila M Kabende
Bukoba
Kagera
06 Desemba, 2020.
Ukiona CCM wamefurahi kupita kiasi ujue huyo ni kuku wao hana haja ya manatiWanabodi, Salaam!
Kwanza nianze kwa kukupongezeni kwa uhai wenu ndani ya kundijamii hili - nafahamu kwamba pamoja na kuwa tumo watu wa itikadi tofauti za vyama vya siasa, dini tofauti, jinsia na makabila tofauti lkn bado tunatumia jukwaa hili kutoa ya akikini mwetu ili yasaidie kuijenga nchi yetu. Hongereni!
Pili nchi yetu imekuwa wakati mwingine ikipitia vipindi kadhaa vigumu hususan nyakati za uchaguzi mkuu - migogoro midogo kwa mikubwa imekuwa ikitokea miongoni mwa makundi ya wanasiasa na vyama vyao. Lkn ukomavu wa kidiplomasia walionao viongozi wetu ndiyo imekuwa kinga na msaada kwa taifa kutoingia kwenye machafuko na umwagaji damu.
Nasema haya kwa kuwa kitendo cha Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kufikia mwafaka unaotokana na mgogoro wa kiuchaguzi wa nyuma, wakati na baada ya tarehe 28 Oktoba kati ACT Wazalendo (Maalim Seif), na CCM (Dkt Magufuli na Dkt Mwinyi) cha kukubali kufanya kazi kama timu moja kinastahili pongezi nyingi sana na zawadi yenye kumbukumbu isiyofutika kwa viongozi hao.
Ndiyo sababu nashauri, napendekeza, na kuonelea kwamba viongozi hao watatu yaaani:-
(i) Dkt John Pombe Magufuli,
(ii) Dkt Hussein Mwinyi, na
(iii) Maalim Seif S Hamad - watunukiwe udaktari wa heshima kwa kukubali kumaliza mambo magumu na mazito kwa njia ya mazungumzo.
Nanyi CHADEMA, NCCR, CUF, nk jifunzeni maridhiano toka kwa wazee wetu hao. Wakati wa Mungu ukifika mtatawala - na kamwe tusisukumwe na hulka za Wabeligiji na vibaraka wengine ambao wana nia ovu kwa taifa letu
Msakila M Kabende
Bukoba
Kagera
06 Desemba, 2020.
Ameweka annuani yakeNamba ya simu hujaweka mkuu
By the way: umeongea point sana[emoji106]
Anuani gani iyo,Ameweka annuani yake
Kwa nini - hivi utawala unauchukuliaje?Kweli kwa kuua wazanzibar wakati wa kampeni na kujitangaza washinda wanastahili kupewa udokta wa mauaji
Itasaidia nini; waswahili kwa kupenda mataito hatujambo sana, ndiyo maana utakuta mtu anaitwa Mheshimiwa Rais Dr JPM, yaani title tatu kwa mpigo!Wanabodi, Salaam!
Kwanza nianze kwa kukupongezeni kwa uhai wenu ndani ya kundijamii hili - nafahamu kwamba pamoja na kuwa tumo watu wa itikadi tofauti za vyama vya siasa, dini tofauti, jinsia na makabila tofauti lkn bado tunatumia jukwaa hili kutoa ya akikini mwetu ili yasaidie kuijenga nchi yetu. Hongereni!
Pili nchi yetu imekuwa wakati mwingine ikipitia vipindi kadhaa vigumu hususan nyakati za uchaguzi mkuu - migogoro midogo kwa mikubwa imekuwa ikitokea miongoni mwa makundi ya wanasiasa na vyama vyao. Lkn ukomavu wa kidiplomasia walionao viongozi wetu ndiyo imekuwa kinga na msaada kwa taifa kutoingia kwenye machafuko na umwagaji damu.
Nasema haya kwa kuwa kitendo cha Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kufikia mwafaka unaotokana na mgogoro wa kiuchaguzi wa nyuma, wakati na baada ya tarehe 28 Oktoba kati ACT Wazalendo (Maalim Seif), na CCM (Dkt Magufuli na Dkt Mwinyi) cha kukubali kufanya kazi kama timu moja kinastahili pongezi nyingi sana na zawadi yenye kumbukumbu isiyofutika kwa viongozi hao.
Ndiyo sababu nashauri, napendekeza, na kuonelea kwamba viongozi hao watatu yaaani:-
(i) Dkt John Pombe Magufuli,
(ii) Dkt Hussein Mwinyi, na
(iii) Maalim Seif S Hamad - watunukiwe udaktari wa heshima kwa kukubali kumaliza mambo magumu na mazito kwa njia ya mazungumzo.
Nanyi CHADEMA, NCCR, CUF, nk jifunzeni maridhiano toka kwa wazee wetu hao. Wakati wa Mungu ukifika mtatawala - na kamwe tusisukumwe na hulka za Wabeligiji na vibaraka wengine ambao wana nia ovu kwa taifa letu
Msakila M Kabende
Bukoba
Kagera
06 Desemba, 2020.
Wewe ni punguani. Hata ukisagwa sagwa kama mchangia na ukaumbwa tena upya huwezi kuwa na akili. Wasted spermWanabodi, Salaam!
Kwanza nianze kwa kukupongezeni kwa uhai wenu ndani ya kundijamii hili - nafahamu kwamba pamoja na kuwa tumo watu wa itikadi tofauti za vyama vya siasa, dini tofauti, jinsia na makabila tofauti lkn bado tunatumia jukwaa hili kutoa ya akikini mwetu ili yasaidie kuijenga nchi yetu. Hongereni!
Pili nchi yetu imekuwa wakati mwingine ikipitia vipindi kadhaa vigumu hususan nyakati za uchaguzi mkuu - migogoro midogo kwa mikubwa imekuwa ikitokea miongoni mwa makundi ya wanasiasa na vyama vyao. Lkn ukomavu wa kidiplomasia walionao viongozi wetu ndiyo imekuwa kinga na msaada kwa taifa kutoingia kwenye machafuko na umwagaji damu.
Nasema haya kwa kuwa kitendo cha Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kufikia mwafaka unaotokana na mgogoro wa kiuchaguzi wa nyuma, wakati na baada ya tarehe 28 Oktoba kati ACT Wazalendo (Maalim Seif), na CCM (Dkt Magufuli na Dkt Mwinyi) cha kukubali kufanya kazi kama timu moja kinastahili pongezi nyingi sana na zawadi yenye kumbukumbu isiyofutika kwa viongozi hao.
Ndiyo sababu nashauri, napendekeza, na kuonelea kwamba viongozi hao watatu yaaani:-
(i) Dkt John Pombe Magufuli,
(ii) Dkt Hussein Mwinyi, na
(iii) Maalim Seif S Hamad - watunukiwe udaktari wa heshima kwa kukubali kumaliza mambo magumu na mazito kwa njia ya mazungumzo.
Nanyi CHADEMA, NCCR, CUF, nk jifunzeni maridhiano toka kwa wazee wetu hao. Wakati wa Mungu ukifika mtatawala - na kamwe tusisukumwe na hulka za Wabeligiji na vibaraka wengine ambao wana nia ovu kwa taifa letu
Msakila M Kabende
Bukoba
Kagera
06 Desemba, 2020.
Namba uliyoweka wewe inatoshaNakukumbusha umesahau kuweka namba yako ya simu.
No thanks!Ukiona CCM wamefurahi kupita kiasi ujue huyo ni kuku wao hana haja ya manati
Kwa hiyo muwe mnaharibu uchaguzi makusudi kisa mtafanya maridhiano? shame on youNo thanks!
Siku zote tunaishi kwa maridhiano - masuala ya jino kwa jino huathiri taifa (uchumi hudorora, maisha ya watu hupotea, miundombinu ya umma huharibiwa). Maalim, Mwinyi na Magufuli wametumia busara sana