Uchaguzi 2020 Dkt. Kavishe: Wawakilishi wa CHADEMA waliomba Tundu Lissu apunguziwe adhabu, maana yake walikiri kosa


Hizi ndo zile propaganda
 
Ameweka reheni kitu gani huko Ubelgiji?. Nchi, madini, wanyama. Maana beberu hawaaminiki hawa, wala hawanaga free lunch kabisa.
Mimi nashangaa mkuu, huyu jamaa kaacha kila kitu anampambania Lisu tu
 
Tundu Lisu nyaghamba. Huyu ni kiboko yenu wanafiki nyinyi
 
Za kutunga hizo. Tundu Lissu anaendelea na kampeni kwa sababu uamuzi yao haumuhusu.
 
Atolewe asitolewe hawezi kushinda. Tanzania ni zaidi ya Lissu na wenzake hao wabelgiji.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Lisu na beberu wake Amsterdam wana kazi sana
 
TL yeye si bingwa, aingie kwenye kampeni chacha aone cha moto.
 
Unamaanisha bob na wenzake ndo wanao m fund lissu.
 
Pimbi ni wewe na huyo mnaemuabudu.
Anaabudiwa Mwenyezi Mungu peke yake. Mkishindwa hoja pimbi mnafahamu mnakokimbilia, khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Reactions: UCD
Huyu mwanasheria huu uchaguzi una mhusu nini?

Yani anafikia hatua ya kutukana taasisi za nchi yetu kisa Lisu?

Ana maslahi gani huyu na Lisu wake?
Unaongea nini wewe?Yaani mwanasheria uchaguzi unamuhusu nini?!Hakuna wakati ambao sheria pamoja na haki za binadamu huwa zinavunjwa kama wakati wa uchaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…