Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigwa ana Ushamba fuani hivi kama wa Masanja mkandamizaji. U much know mwingi kumbe ushamba mtupu!!Anachofanya ndugu yetu kigwachox ni kuattack waziri kwa mambo yake binafsi.
Atakuwa ana matatizo ya afya ya akili!Hamis Andrew Kigwangalla
Hahaha.......!Atakuwa ana matatizo ya afya ya akili!
Lkn Mbona wote ni wale wale ma-bogus? hivi Mkenda nae u-profesa unamsaidia nini wakati alitumia influence yake kama waziri wa elimu kumsaidia mkewe Beatrice akapewa u-dean wa 'School of Economics' hapa Udsm,wakati alishindwa kwenye ushindani alikuwa mtu wa 4,wa kwanza mpaka wa 3 ambao wako competent wakaachwa kwa sababu ya kukosa Godfarther(s),hatimaye akapachikwa mkewe Beatrice,kimsingi hata Mkenda hana integrity yeyote.hawa ndo wasomi wa tz hata maadili hawana.ugonvi wa huko walikotoka wanauleta bungeni je na wale ambao hawana platform hizo inakuwaje.kigwangalla hata yeye hana credibility ya kumwongelea mwenzake kwa kuwa naye si msafi ndo maana alitumbuliwa kwenye wizara aliyekuwa anaihudumu.Tano kwa tulia kwa kumzuia asiongelee huo upuuzi bungeni na aupeleke huko huko mitandaoni.