Dkt. Kigwangalla amshukia Profesa Mkenda Bungeni, amtuhumu kwa kulidanganya Bunge. Amtaka ajiuzulu

Bro Kigwa sijui kwa nini ameamua kuwa mtu wa hovyo!
 
Aisee hyl hoja nilikuwa naifatilia Kisha nipandeshe uzi ghafla San tbc wakajiunga bukoba
 
Lkn Mbona wote ni wale wale ma-bogus? hivi Mkenda nae u-profesa unamsaidia nini wakati alitumia influence yake kama waziri wa elimu kumsaidia mkewe Beatrice akapewa u-dean wa 'School of Economics' hapa Udsm,wakati alishindwa kwenye ushindani alikuwa mtu wa 4,wa kwanza mpaka wa 3 ambao wako competent wakaachwa kwa sababu ya kukosa Godfarther(s),hatimaye akapachikwa mkewe Beatrice,kimsingi hata Mkenda hana integrity yeyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…