gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,920
- 6,081
Ingembidi Mo asubiri kipindi cha uwaziri kikome ndio aulizie 'deni' lake, tena mbaya zaidi angepewa uwaziri wa michezo ndio wangekuwa 'wamemalizana' rasmi, Mo akiulizia 'deni' anapigwa fine kwa 'Mnyama' anajilipa mwenyewe!!Fikiria kama angefanikiwa kukopeshwa zile tukutuku......malipo yangekuwa ni " full sound" baada ya kitumbua cha uwaziri kuingia mchanga!