Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Kigwangalla ni maskini?!Tajiri hanuniwi shauri yake
Bado ana frustrations tumpe wakati
Ndiyo watu anaowapenda Magufuli sasa. Anataka watu wenye upeo ulio chini ya upeo wake, sasa fikiri mwenyewe ni watu wa aina gani!Huyu Waziri inakuwaga Kama akili yake siyo nzuri, kinachonishtuaga zaidi kwake ni yeye kushindwa kuandika hata sentence mbili za kiingereza kwa usahihi.
Jamaa mswahili tena bila shaka Ni mnyamwez itashangaza km atashindwa kuandika sentesi mbili Kwa kiswahili au kinyamwez lkn hicho kizungu tulijifunza kujibia mtihan tu ukishapata vyeti unabak nacho cha kuandikia barua tena kile cha kukarir ndio maana wasom wetu weng wanaungaunga tu.Huyu Waziri inakuwaga Kama akili yake siyo nzuri, kinachonishtuaga zaidi kwake ni yeye kushindwa kuandika hata sentence mbili za kiingereza kwa usahihi.
Mbwa mwenye kichaa (matatizo ya akili) ni kawaida Kubweka ovyo ovyo.Kwa huku Kubweka bweka kama Mbwa Koko kwa kila mara kwa Khamis Kigwangala kuna uwezekano mkubwa akawa anahitaji Tiba ya Akili upesi.
Inawezekana ni kwasababu yy hatumii grammar editor kama wewe na wengine wengiHuyu Waziri inakuwaga Kama akili yake siyo nzuri, kinachonishtuaga zaidi kwake ni yeye kushindwa kuandika hata sentence mbili za kiingereza kwa usahihi.
Mwehu tu, unaomba mkopo unanyimwa unanunua kwa cash, sasa kama cash ilikuwepo kwanini atake mkopo? Alizani mo ataogopa uwaziri wake?Huyo ndo mwanaume!
Aliyekuwa waziri wa maliasili na utalii Dkt. Kigwangalla amesema amefuta rasmi urafiki wake na mfanyabiashara maarufu Mo Dewji kwa sababu yeye (Kigwangalla) ni mtu wa principles.
Akizungumza na Salama Jabir wa Eatv Dkt. Kigwangalla amesema baada ya mzozo wa mkopo wa pikipiki Mo Dewji alimpigia simu zaidi ya mara tatu ili wakae chini wayamalize lakini alimkatalia kwa sababu ameshafuta urafiki na sasa watabaki kama jamaa tu kila mtu kivyake.
Dr Kigwangalla amesisitiza kuwa hajafutwa uwaziri kwa sababu ya malumbano yake na Mo Dewji bali muda wake wa kuhudumu kama waziri ulikwisha.
Kuhusu pikipiki Dr Kigwangalla amesema Mo Dewji alimnyima mkopo lakini akaamua kuzinunua kwa cash pale pale hivyo mjadala wa pikipiki ulishafungwa kiuhasibu na kibiashara.
Chanzo: EATV
Pia soma
- Mo Dewji amuomba msamaha Kigwangalla kwa kumnyima mkopo baada ya kuhojiwa uenyekiti wake Simba bila kukamilisha uwekezaji
- Uchaguzi 2020 - Baada ya Dkt. Kigwangalla kujibizana na Mo Dewji Twitter. Dkt. Bashiru amshukia Kigwangalla, amtaka am-tweet Dkt. Magufuli
- Hata baada ya kupigwa ‘stop’ na boss wake Kigwangalla bado anaendeleza bifu na ‘MO’
- Namuunga mkono Kigwangalla dhidi ya MO Dewji
Maendeleo hayana vyama!