Dkt. Kigwangalla: Mo Dewji siyo rafiki yangu tena atabaki kuwa jamaa tu, hajasababisha nipoteze Uwaziri

Fikiria kama angefanikiwa kukopeshwa zile tukutuku......malipo yangekuwa ni " full sound" baada ya kitumbua cha uwaziri kuingia mchanga!
Ingembidi Mo asubiri kipindi cha uwaziri kikome ndio aulizie 'deni' lake, tena mbaya zaidi angepewa uwaziri wa michezo ndio wangekuwa 'wamemalizana' rasmi, Mo akiulizia 'deni' anapigwa fine kwa 'Mnyama' anajilipa mwenyewe!!
 
Hamisi anapenda ubishi na visasi kama Magufuli. Watu wa kanda ile muna shida gani? Mimi mtu wa ukanda wa Pwani nimeolea kule kanda ya Ziwa nazijua vizuri tabia za wakwe zangu na shemeji zangu.
 
Kigwangala hukutakiwa kwenda kwenye vyombo vya habari na kueleza hayo hapo sasa unaonekana una Nongwa
 
Kweli maendeleo hayana vyama.
 
Bado ana frustrations tumpe wakati
Sidhani km ana tatizo kukosa uwaziri kwa sababu alijua kabisa si ajira ya kudumu.Na sii yy wa kwanza kupita apo wizarani.Ila jua tu ndugu yey alishachuma za kumtosha .ata mkimtukana,mkimbeza haisaidii.
 
Kwa hiyo Kigs amemkoa mo? maana yake mo atajuta saana kukosa urafiki na Kigs?.labda kama ni urafiki wa kichawi au kinganga. otherwise Mo atakuwa amefurahi maana najua alikuwa anahitaji kupunguza marafiki wa ain ya kigs
 
Mwenye hela hanuniwi hajamuona Patel alivyo angwa & chomwa kwa heshima kubwa.

MO kasha kuwa next level saizi yake ni akina msukuma,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…